Kwanini mamba hamfanyii fujo Kiboko?

Haaa haaa! Unajua kitu chochote kwenye maisha ni kujiamini na kuamini unaweza..
 
Hoja yako ni irrelevant mkuu,swali La mtoa hoja lina maana,simba kunawakati hula tembo lakini kwamwe huwezi kuta mamba akila kiboko kwanini?
Kuna kipindi wanakula,hasa viboko waliokufa kea jua kali kiangazi,unakuta maji yamepungua sana.
 
simba wenyewe wanamuogopa Nat Geo niliona simba wanamrukiarukia mgongoni ila akiwageukia wanatimua mbio wote.
 
Thiredi ufungwe.
Nasema uongo ndugu zangu??
 
Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
Mamba akitaka kuhamia nchi kavu milele ni HAJARIBU kugusa nyama ya KIBOKO
 
Mamba mikwara mingi halafu namfananisha na mchezaji anaye chagua pitch

Yani mchezaji aliyezoa kucheza vizuri akiwa pale kwa mkapa ndio huyo huyo anayeigharimu timu kwenye viwanja vya mikoani

Mamba nje ya maji anaweza kupiga hadi na kicheche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…