Kwanini mamba hamfanyii fujo Kiboko?

THEIR FEAR AND RESPECT TO HIPPOS ^IS^!??? PRINTED IN THEIR DNA.

Why unaharibu Kiswahili hivyo!???
 
Jina kiboko limetokana na vile mamba hawezi kumfanya chochote akiwa hai (kiboko akijifia analiwa na mamba)

Nadhani umepata picha kuwa kiboko Ni kiboko
 
Huwa najiuliza sana, Mamba anakula nyama na Kiboko anakula nyasi, lakini wanaishi sehemu moja. Kwa tabia ya Mamba anakula mnyama yoyote anayekatiza mbele yake. Sasa mbona hamtafuni Kiboko na yuko nae muda mwingi?
Some time huwa mamba anavizia anakamata mtoto, na kuna wakati wanalianzishaga, kuna Video moja jivi ngoja niisake nilikuwa nayo ikionyesha Kiboko wakileteana nodma na Mamba,
 
Mamba akikosea step akawatibua viboko kwa namna yoyote ile, hilo dimbwi halitakalika...lazima watafute kwingine pa kukaa. Nafikiri mabifu yao huwa hayachukui muda mrefu, baada ya hasira kushuka watarudi kukaa pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…