STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Umenipa idea nzuri, maana sipo Tz ila nilikua natafuta bank gani nzuri ya kuhifadhi hela yangu ikitokezea nikija niikute hiohioMimi siku hiz nasave equity bank hawana makato kabisa.. Hata baada ya mwaka hela yako ni ile ile
Sent using Jamii Forums mobile app
au ata kama wanakata isiwe ile ya pande kubwa