CRDB kutokuonyesha kiwango cha makato kabla ya kufanya muamala kwa App au SIM Banking ni wizi na uhujumu uchumi

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,154
CRDB kupitia app yao au njia ya code *150*03# hawaonyeshi kiwango cha pesa utakachokatwa mara ukikubali kufanya huo muamala. Huu ni wizi na uhujumu uchumi kwa watumiaji wa CRDB.

Ili upate laki 1 kwenye simu unaweza kushituka wamekula elfu 5 na ukitoa kwa wakala let's say tigopesa wakikukata elfu 4500 unakuwa ushakatwa elfu 10 ili tu uipate laki moja.

Wekeni kiwango cha makato wazi ili mtu aamue kuendelea au kusitisha muamala.
 
Tafuta taarifa yako ya kibenk uwe una angalia mihamala yako kama ina tatizo na makato yame kuwaje kila ukifanya kutoa pesa

Nazani pia ukitoa pesa dirishani au kwenye ATM huwa wana kupa taarifa za makato...
 
Tafuta taarifa yako ya kibenk uwe una angalia mihamala yako kama ina tatizo na makato yame kuwaje kila ukifanya kutoa pesa

Nazani pia ukitoa pesa dirishani au kwenye ATM huwa wana kupa taarifa za makato...
Ndugu hujanielewa.
Nataka nomtumie maza elfu 50 kijijini, ninachotaka waweke kabisa makato yawe wazi kabla ya kumaliza muamala.
Mini statement zipo ila utaomba Mini statement ya muamala ambao hujafanya?
 
Back
Top Bottom