Kwanini Makamu wa Rais hasemi "Bwana Asifiwe"?

Kwanini Makamu wa Rais hasemi "Bwana Asifiwe"?

..unayosema ni kweli.

..lakini wanasiasa wanaotumia "a'salaam aleikum", "asarama-reko," hapa Tz wamewalenga Waislamu.

..Ni vyema tukaachana na salamu za Kidini tukawa na salamu za KITAIFA/KITANZANIA.
Hapo Sawa. Siyo hao washrki wanaosema eti Ile ya salaam aleikhum ndo ya Mungu!!!!!
 
Ubaguzi wake umetoka wapi????? Yeye ni muislamu na uislamu umetutaka tusalimiane salam yetu "Assalaam alaikum=iwe juu yenu amani" , na sio shikamoo, bwana yesu asifiwe n.k.
Kwa hiyo kwenye mkutano au kikao Cha Serikali anasalimia waislamu wa Tanzania au Wananchi wa Tanzania? Yeye Ni makamu wa Rais wa Tanzania au Makamu wa Rais wa Waislamu?

Busara hapo Ni itafutwe Salam ya kitaifa au vinginevyo tukubaliane kila kiongozi awe anasalimia kwa Imani ya dini yake tu Basi...mfano Magu apige zake Tumsifu Yesu Kristu...Kwisha..asiongeze Wala asipuunguze.
 
Hapo kwenye mazishi napenda sanaaaa😆 siyo wakiristo watakuacha ulie had machozi yakukauke😆😆 ila sasa kama ulikuwa unabipu haujafa, ndugu yangu utafufuka huku ukisikia tope jekundu likipga juu😅😅😅
Mi mkristo kindaki ndaki Ila kiukweli mi nawakubali mbayaaa hawa jamaa yaani hii dini raha sanaa...mtu akifa bhana inatakiwa azikwe chap faster as possible , sio anafanyiwa ibada nyingi nyingi zisizoeleweka , mara anasubiriwa sjui Fala Nani Nani yupo ulaya, ....hata kwenye ndoa nyie bhana mkipendana mnaita shehe chap anamaliza mchezo unaenda na jiko lako na mahali sio issue Sana ....Kwa wakristo sasa daaah aiseee mchakato wa kuoa ni mzigo mzito , utaombwa mpak hela ya mafuta na mchungaji yaan ujinga ujinga mwingi tuu, ndo mana Wana wanaishi na mademu gheto na kanisani wanaacha kusali sku akipata hela anaibuka church na style ya kubariki ndoa 😀😀😋
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
 
Na kwny kutoa roho, ni kujilipua tu BOOM, kisha yalaaah...!!!

Wamemaliza kazi Mtu anaenda kupokea bikira zake 72 akhera

Takibiiir
Hata kwenye zile ishu zetu hawajivungagi...chapa mboko Sana, alkasusu kwa Sana.
 
Mi mkristo kindaki ndaki Ila kiukweli mi nawakubali mbayaaa hawa jamaa yaani hii dini raha sanaa...mtu akifa bhana inatakiwa azikwe chap faster as possible , sio anafanyiwa ibada nyingi nyingi zisizoeleweka , mara anasubiriwa sjui Fala Nani Nani yupo ulaya, ....hata kwenye ndoa nyie bhana mkipendana mnaita shehe chap anamaliza mchezo unaenda na jiko lako na mahali sio issue Sana ....Kwa wakristo sasa daaah aiseee mchakato wa kuoa ni mzigo mzito , utaombwa mpak hela ya mafuta na mchungaji yaan ujinga ujinga mwingi tuu, ndo mana Wana wanaishi na mademu gheto na kanisani wanaacha kusali sku akipata hela anaibuka church na style ya kubariki ndoa [emoji3][emoji3][emoji39]
Kwani ndoa ya kiislamu nayo ni ndoa? [emoji3][emoji3][emoji3]
Usinichekeshe mie lol.
 
Mi mkristo kindaki ndaki Ila kiukweli mi nawakubali mbayaaa hawa jamaa yaani hii dini raha sanaa...mtu akifa bhana inatakiwa azikwe chap faster as possible , sio anafanyiwa ibada nyingi nyingi zisizoeleweka , mara anasubiriwa sjui Fala Nani Nani yupo ulaya, ....hata kwenye ndoa nyie bhana mkipendana mnaita shehe chap anamaliza mchezo unaenda na jiko lako na mahali sio issue Sana ....Kwa wakristo sasa daaah aiseee mchakato wa kuoa ni mzigo mzito , utaombwa mpak hela ya mafuta na mchungaji yaan ujinga ujinga mwingi tuu, ndo mana Wana wanaishi na mademu gheto na kanisani wanaacha kusali sku akipata hela anaibuka church na style ya kubariki ndoa 😀😀😋
Haka kamtindo ka kubariki ndoa kamevuma ck hiz 😆😆😆
 
mtoa mada nadhani hujafuatilia ziara zake zote,mbona huwa anatoa Salam zote?tena huwa anazipatia kweli kirafudhi,kuliko hata wenye Imani zao.
 
Haka kamtindo ka kubariki ndoa kamevuma ck hiz 😆😆😆
Sa hv imebaki kulalamika Tu kanisani ooh vijana hawaoi, huku Wana wanachakaza mdogo mdogo kitaa ....sababu ndoa zimekuwa mzigo mzito mno ukifata mlolongo wa kanisani aiseee utaumizwa kichwa ...Wana wanaona hapa ingiza demu gheto ukimwelewa agiza Mzee akatoe mahali alaf mtoto atotoe chap mnarudi church na Tai ndefu full suti mnatoa Toa michango sku mbili tatu af mnatangaza kubarki ndoa maisha yanasonga fresh
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Nimpongeze Makamu.Asalaam Alaykum maana yake amani iwe juu yenu.Hata ukienda kule alikozaliwa Yesu na wale wanaomfuata katika eneo hilo salaam yao ndiyo hiyo. Leo hii ndugu yangu umetoka huko kwenu Ileje halafu unawapangia watu jinsi ya kusalimu.Hata hivyo Bwana asifiwe, ni Bwana yupi ?
 
Nakumbuka rafiki yangu mmoja ni Padre aliwahi niambia nawapenda Waislam kwa mambo yafuatayo , kufunga Ramadhan mwezi mzima, kuswali swala Tano kila siku, ndoa zao na namna wanavyozikana.

Akasema sisi Wakristo KUSALI kila siku tumachiwa sisi tunaokaa abayasian na bado hata jumapili au jumamosi wachache wanaohudhuria, kufunga katika kipindi cha kwaresma bado aslimia kubwa ya Wakristo wale ambao wa naamini kwaresma hawafungi hata kwa kujizuia kufanya machafu, kuhusu ndoa hakuna ukiritimba mrefu na endapo mkishindwana kwa bahati mbaya basi kila mmoja haraka huendelea na maisha yake kwa kuanzisha Familia nyingine na mwisho kuzikana ni jambo la haraka halina protocol nyingi hata kama hujawahi kugusa msikitini watakuzika kwa taratibu zote ukajuane na Mungu wako mbele ya safari.....
 
Kwa nini huyo rafiki yako Padre habadilishi dini ahamie huko upande wa pili?
Nakumbuka rafiki yangu mmoja ni Padre aliwahi niambia nawapenda Waislam kwa mambo yafuatayo , kufunga Ramadhan mwezi mzima, kuswali swala Tano kila siku, ndoa zao na namna wanavyozikana.

Akasema sisi Wakristo KUSALI kila siku tumachiwa sisi tunaokaa abayasian na bado hata jumapili au jumamosi wachache wanaohudhuria, kufunga katika kipindi cha kwaresma bado aslimia kubwa ya Wakristo wale ambao wa naamini kwaresma hawafungi hata kwa kujizuia kufanya machafu, kuhusu ndoa hakuna ukiritimba mrefu na endapo mkishindwana kwa bahati mbaya basi kila mmoja haraka huendelea na maisha yake kwa kuanzisha Familia nyingine na mwisho kuzikana ni jambo la haraka halina protocol nyingi hata kama hujawahi kugusa msikitini watakuzika kwa taratibu zote ukajuane na Mungu wako mbele ya safari.....
 
Hiyo salam haibagui inahusu viumbe wote na kama hujui nini maana ya salam hiyo nikujuze maana yake ni "Amani na iwe juu yenu" sasa tafakari mwenyewe hii Amani anawatakia kina nani je wewe si mmoja wao?
JITOE KAMA UNAWEZA😃😃😃
Mto mada ameuliza kuhusu Bwana asifiwe... Wewe sijui umeongea vitu gani
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Hiii inajenga picha kwamba wanaomsikiliza ni wa dini yake pekee kwa mtazamo wake.
 
Hapo cha msingi siku akihudhuria hafla fulani, na wewe hudhuria huku ukiwa na dela lako la CCM na kapelo au kilemba chenye picha ya Rais wako Magufuli!

Halafu jitahidi kujipenyeza mpaka mbele kabisa aliko! Wakati akianza tu kusalimia, kimbia [emoji126] kwa spidi ya swala na kwenda kumnasa kibao usoni! Hakika baada ya hapo, hatokuja arudie tena kuto kutamka hizo salamu unazo zipenda wewe.
Alaf baadae atakuja kuwa DC
 
Nina mke mkorofi jaman sjui Kwa nn tuu[emoji3]
Ndoa ambayo mda wwte kila mtu anashka njia yake, mkiachan kila mtu anaweza kufunga tena nyingne na mtu mwingne,
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom