Kwanini mahusiano yako ya mwisho yalifeli?

Kwanini mahusiano yako ya mwisho yalifeli?

Sisi ambao tuliachwa kwa sababu tuliferi fom 4,au fom 6 tunakoment wapi..... asikwambie mtu kuachwa kwa sababu hukufanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani na cha ajabu aliyekuacha sasa unamzidi kimaendeleo na kila kitu licha ya kuwa alienda ughaibuni kusoma mm nikabaki bongo narekebisha makosa
 
Aisee kumbe, nilikuwa nimesahau kuwa kuna machaguo. Kwani wifi anakunyima?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Khantwe bwana!

Kwani we unapenda kumpa BJ? I can't imagine you..[emoji23][emoji23]

Halafu nimepata line ya chuo TTCL [emoji123]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Khantwe bwana!

Kwani we unapenda kumpa BJ? I can't imagine you..[emoji23][emoji23]

Halafu nimepata line ya chuo TTCL [emoji123]
[emoji3][emoji3][emoji3] naona umenigeuzia kibao, mimi mbona niliuliza waliniambia haiwezekani kama sio mwanachuo, nifanyie mpango na mimi basi[emoji13][emoji13][emoji13]
 
[emoji3][emoji3][emoji3] naona umenigeuzia kibao, mimi mbona niliuliza waliniambia haiwezekani kama sio mwanachuo, nifanyie mpango na mimi basi[emoji13][emoji13][emoji13]
Sijasajili(hata mimi nimeambiwa hawasajili tena), nimepata jamaa haitumii.
 
[emoji3][emoji3] kwa hiyo 31 December haina kazi, tuwe tunaazimana basi [emoji85][emoji85]
Sijasajili(hata mimi nimeambiwa hawasajili tena), nimepata jamaa haitumii.
 
Sijakua kwenye mahusiano zaidi ya miaka mitatu sasa.
Ngoja nione hii uhusiano mpya utakavyokua japo hauna until forever ends ila I pray ukae kae kidogo mpaka nitakapompata wa I do
Kama hakushiriki kukutafutia simu mpya baada ya ile nyingine kuibiwa. Huyo hakufai.
 
Kama hakushiriki kukutafutia simu mpya baada ya ile nyingine kuibiwa. Huyo hakufai.
Nimeibiwa simu Friday nikaonana nae Saturday akaniletea simu. Huyu ananifaa kwa kweli sema mimi sasa ndo tabu
 
Nimeibiwa simu Friday nikaonana nae Saturday akaniletea simu. Huyu ananifaa kwa kweli sema mimi sasa ndo tabu
Uwe kwenye open relationship sasa ili na wakina Dreka tuweze ku fit in ikitokea mushkeri.
 
Back
Top Bottom