Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,539
DuuhNiliweka Mimba
DuuhNiliweka Mimba
😂😂😂F...mwanaume haelewek anajidai yuko bize eti mwanamuziki na sijawah jua anaimba nn had leo nkaona isiwe tabu acha aende
Nilitageti miaka ya mbele aje kuwa wife kabisa, akanipa conditions hataki kuishi na ndugu zangu hata wanaonitegemea...ohoo...nikaona isiwe tabu, nenda tu.A. Kulumbana Sana
B. No sex
C. Kucheat
D. Kukosa muda na mpenzi wako
E. Pesa
F. Mahusiano yalikua yana boa
G. Addiction ya vilevi au madawa
Naomba kuwasilisha
kuwa real mkuuNilimdanganya kuwa na kazi nzuri kumbe hamna akaja kunigundua kosa lake kuniuliza nikamgeuzia kibao kuwa ananipendea kazi bidada akaona isiwe tabu akasepa.
Ilikuwa 2016 hiyo.kuwa real mkuu
now ushabadirika😊Ilikuwa 2016 hiyo.
Najitahidi kuwa real atleast saizi nimedumu 3yrs[emoji1] [emoji1]now ushabadirika[emoji4]
Unasubiri mwanamziki mwingineF...mwanaume haelewek anajidai yuko bize eti mwanamuziki na sijawah jua anaimba nn had leo nkaona isiwe tabu acha aende
maendeleo makubwa sana hayo mkuu😂Najitahidi kuwa real atleast saizi nimedumu 3yrs[emoji1] [emoji1]