[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Nilimdanganya kuwa na kazi nzuri kumbe hamna akaja kunigundua kosa lake kuniuliza nikamgeuzia kibao kuwa ananipendea kazi bidada akaona isiwe tabu akasepa.
Pesaa nomaa...PESA
PESA PESA,
Mizinga ilinizidi Kwa kweli
Nimependa hapo pa good separation..None of the above.
Nadhani tulifikia mwisho wa kilichokuwa kimetufanya tuwe wote..
Hence tukafanya good separation.
Kwa sasa kila mtu anaishi maisha yake.
Hahaha...ulizingua bahariaMimi yote sababu ni ulevi tu
Nakumbuka wa mwisho nilimwambia ungekua mzuri kama safari ya baridi ningekuoa..alimind sana
Dah me nimepata mpnz juzi tukameet Jana Leo kanilia wa mbuzi...zile attention zooote kushineh...hakuna ata cha salamu ukisikia wahuni kurap msibani basi ndo huyu najihisi nnamapepo...@mshanajr nisaidie kwann mahusiano yangu hayakai nkipata mwanaume lazima alale mbele huenda nnapepo spiritual husband jaman....[emoji48][emoji48][emoji48]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Hahaha...ulizingua baharia
wewe jamaa bwanaMimi yote sababu ni ulevi tu
Nakumbuka wa mwisho nilimwambia ungekua mzuri kama safari ya baridi ningekuoa..alimind sana
A. Kulumbana Sana
B. No sex
C. Kucheat
D. Kukosa muda na mpenzi wako
E. Pesa
F. Mahusiano yalikua yana boa
G. Addiction ya vilevi au madawa
Naomba kuwasilisha
Ex darling ole wako.Kitakachoua mahusiano yangu kwa sasa ni B...dadeq!!
Ninakuombea rafiki[emoji1787]Mimi yote sababu ni ulevi tu
Nakumbuka wa mwisho nilimwambia ungekua mzuri kama safari ya baridi ningekuoa..alimind sana
Yani siamini sijakuona kwenye uzi wangu flani hivi leoNinakuombea rafiki[emoji1787]
Blow job?Kitakachoua mahusiano yangu kwa sasa ni B...dadeq!!
Nipo jamani, huo zi unasemaje? Sijauona.Yani siamini sijakuona kwenye uzi wangu flani hivi leo
Upoo?
Hahaha basiii...ingia chit chat utaukutaNipo jamani, huo zi unasemaje? Sijauona.