Kwanini mahusiano yako ya mwisho yalifeli?

Kwanini mahusiano yako ya mwisho yalifeli?

HB.com

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
608
Reaction score
645
A. Kulumbana Sana
B. No sex
C. Kucheat
D. Kukosa muda na mpenzi wako
E. Pesa
F. Mahusiano yalikua yana boa
G. Addiction ya vilevi au madawa

Naomba kuwasilisha
 
woiii mpaka leo sijaielewa japokuwa i had my weakness ila nahisi alikuza mambo 4 years down to the toilet just like that
 
Kwangu mm hayo yote sio tatzo. Ila wengi huwa nawaacha kwasababu ya kunifanya mtoto,.. always Mimi sijali Kama sijui anacheat ama anafanya Nini ila napenda mtu nikimkanya awe anakanyika but wengi wao wanajitetea kizembe yani unaona kabisa bidada anadanganya kwa hoja za kitoto..... Kwa kuwa mm npo Makin Sana basi huwa najifanya Kama nimeelewa vile kumbe kichwan mwangu nimetegesha karevange na mwisho wa siku wao ndo wanaumia
 
Imperfect timing
Bad behaviours
Fear to show true feelings

Nobody wants to go deep to show the love
Kila mtu tunaishi kwa woga...fearing pain..u js dont let a mf close

In the end
Nobody is winning
Everybody is losing

Sm things i js left them to God for answers..ts beyond me typa shit
 
Dah me nimepata mpnz juzi tukameet Jana Leo kanilia wa mbuzi...zile attention zooote kushineh...hakuna ata cha salamu ukisikia wahuni kurap msibani basi ndo huyu najihisi nnamapepo...@mshanajr nisaidie kwann mahusiano yangu hayakai nkipata mwanaume lazima alale mbele huenda nnapepo spiritual husband jaman....[emoji48][emoji48][emoji48]
 
Dah me nimepata mpnz juzi tukameet Jana Leo kanilia wa mbuzi...zile attention zooote kushineh...hakuna ata cha salamu ukisikia wahuni kurap msibani basi ndo huyu najihisi nnamapepo...@mshanajr nisaidie kwann mahusiano yangu hayakai nkipata mwanaume lazima alale mbele huenda nnapepo spiritual husband jaman....[emoji48][emoji48][emoji48]
Poleee
 
Dah me nimepata mpnz juzi tukameet Jana Leo kanilia wa mbuzi...zile attention zooote kushineh...hakuna ata cha salamu ukisikia wahuni kurap msibani basi ndo huyu najihisi nnamapepo...@mshanajr nisaidie kwann mahusiano yangu hayakai nkipata mwanaume lazima alale mbele huenda nnapepo spiritual husband jaman....[emoji48][emoji48][emoji48]
Kama uko below 23 Ni pm walahi please
 
Sijakua kwenye mahusiano zaidi ya miaka mitatu sasa.
Ngoja nione hii uhusiano mpya utakavyokua japo hauna until forever ends ila I pray ukae kae kidogo mpaka nitakapompata wa I do
 
A. Kulumbana Sana
B. No sex
C. Kucheat
D. Kukosa muda na mpenzi wako
E. Pesa
F. Mahusiano yalikua yana boa
G. Addiction ya vilevi au madawa

Naomba kuwasilisha
Mimi nahisi vyote tu hapo vilihusika tena vyenye na mimi nilikuwa na mambo yangu kichwani nikamwambia tu tafuta mwanamke atayekufaa mimi sikufai
 
Dah me nimepata mpnz juzi tukameet Jana Leo kanilia wa mbuzi...zile attention zooote kushineh...hakuna ata cha salamu ukisikia wahuni kurap msibani basi ndo huyu najihisi nnamapepo...@mshanajr nisaidie kwann mahusiano yangu hayakai nkipata mwanaume lazima alale mbele huenda nnapepo spiritual husband jaman....[emoji48][emoji48][emoji48]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kama mazuri ila pole mwaya
 
Back
Top Bottom