Hayo ni malezi mabaya ya wazazi wala hayahitaji mtu aende depo ndiyo ajue kufagia, kufua kupika. Mimi sikupita depo, ila hizo kazii zote nazielewa bila matatizo na wakati home tulikuwa na mabinti wa kutosha. Lakini still ulikuwa huwezi kula ukaacha sahani au ukaitupa kwenye karo eti mpaka mabinti wakaoshe, unless umekuta kuna vyombo vingine. Nguo za Mzee tulikuwa tunazifua sisi vijana wa kiume.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini mafunzo ya mgambo yasiwe "compulsory" kwa wanafunzi wote waliohitimu kidato cha sita ambao hawakuchaguliwa kujiunga na ma
=====
Sawa mkuu...Hayo ni malezi mabaya ya wazazi wala hayahitaji mtu aende depo ndiyo ajue kufagia, kufua kupika. Mimi sikupita depo, ila hizo kazii zote nazielewa bila matatizo na wakati home tulikuwa na mabinti wa kutosha.
Alafu inaonekana mzee wenu alikuwa mtu mmoja "very strict"...Lakini still ulikuwa huwezi kula ukaacha sahani au ukaitupa kwenye karo eti mpaka mabinti wakaoshe, unless umekuta kuna vyombo vingine. Nguo za Mzee tulikuwa tunazifua sisi vijana wa kiume.
Ni mtu poa sana ila ana kanuni flani za kibabe. Yani kuna vitu hata mtu ulikuwa huwezi vifikiria.Alafu inaonekana mzee wenu alikuwa mtu mmoja "very strict"...
Hakika mzee wenu alikuwa ni moja kati ya akina baba bora.Mambo mengine ni malezi tu ya familia hayahitaji mtu kwenda depo. Home kwetu kwanza unaanzaje kulala mpaka saa tatu, we hata kufikiria huwezi unless mshua kasafiri.
Inaonekana Uturuki nao wapo mbali kidogo kwa upande wa technology...kwa jinsi mturuki anavyotumia drone zake kuopiga armenia mwenye vifaru vikuubwa kwa drone napata picha kabisa askar wajao wa ulimwengu huu ni wacheza game za tv.
inafahamika vema na watanzania wengi ya kuwa lengo la kuwapeleka hawa wadogo wetu JKT ni kuwajengea uzalendo, ukakamavu pamoja na mentality ya kujitegemea.View attachment 1610365View attachment 1610364
Ndio mkuu...1. kuhitimu jkt ndio kuwa mkakamavu
Mafunzo ya JKT humjengea kijana mentality ya uzalendo na kujitegemea2.mentality ya mtu tunaweza i determine kwa mtu kipitia jkt
Ivi uzalendo unapimwa kwa kuhitimu mafunzo ya jkt
Nchii wale wote tuliowahi kusikia ni mafisadi wa hii nchi wote wamepitia jkt.Mafunzo ya JKT humjengea kijana mentality ya uzalendo na kujitegemea
Mbona hata shetani kabla ya kuasi alikuwa ndiye malaika mkuu huko Mbinguni? Kwani Mungu ndiye aliyemfundisha uasi au ni yeye tu na tamaa zake?Nchii wale wote tuliowahi kusikia ni mafisadi wa hii nchi wote wamepitia jkt.
Basi hili swala halina umuhimu kama litakuwa ndio chanzo chakuzalisha uasi kama ulivyosemaMbona hata shetani kabla ya kuasi alikuwa ndiye malaika mkuu huko Mbinguni? Kwani Mungu ndiye aliyemfundisha uasi au ni yeye tu na tamaa zake?
Hata hao baadhi ya mafisadi waliopitia JKT kisha kuziasi itikadi za kizalendo mimi ninawafananisha na shetani tu...
Wewe ndiye uliyesema, mimi sijasemaBasi hili swala halina umuhimu kama litakuwa ndio chanzo chakuzalisha uasi kama ulivyosema
Hapa sasa pamegeuka simba vs yanga chamsingi kila mtu aondoke na ushindiWewe ndiye uliyesema, mimi sijasema
Sawa bossHapa sasa pamegeuka simba vs yanga chamsingi kila mtu aondoke na ushindi