Mliopita JKT tunaomba mtupe ushuhuda

Jbst

JF-Expert Member
Nov 29, 2020
1,924
3,951
Nanukuu "Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewataka Wazazi na Walezi wa Vijana kupuuza taarifa za uzushi unaolenga kuwatia hofu Vijana waliopangiwa kuhudhuria Mafunzo ya JKT katika makambi mbalimbali kutokwenda kuripoti makambini, kwa kile kinachodaiwa kuwa eti, mafunzo ya JKT ni mateso, yana unyanyasaji na udhalilishai hususani kwa Vijana wa jinsia ya kike.

JKT imesema taarifa hizo ni uzushi kwani mafunzo hayo ni muhimu sana kwa ustawi wa Vijana na Taifa kwa ujumla “Hivi karibuni JKT ilitoa wito kwa Vijana wote waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita mwaka 2023, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria lakini kumezuka taharuki kubwa katika mitandao ya Kijamii kutoka kwa baadhi ya Watu wenye nia ovu wasilolitakia mema Taifa
letu”

“Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria na yale ya Kujitolea yamelenga kumjengea kijana wa kitanzania uzalendo, ukakamavu, nidhamu na kuleta umoja wa kitaifa na yanaendeshwa kwa kuzingatia mila, desturi na tamaduni za kitanzania”

“JKT katika kuhakikisha Vijana hao wanakuwa salama wakati wote, Makambi na Vikosi vote vya JKT vina Baba na Mama Mlezi (Patron a Matron) ambao wamewekwa mahususi ili kusimamia ustawi wa Vijana wa kiume na wa kike kwa kipindi chote wanapokuwa makambini”
Mwisho.

Ningependa kufahamu maisha ya huko ila bahati mbaya sikufanikiwa kufika, wale mliopita JKT tunaomba machache yaliyopo huko.
 
Nanukuu "Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewataka Wazazi na Walezi wa Vijana kupuuza taarifa za uzushi unaolenga kuwatia hofu Vijana waliopangiwa kuhudhuria Mafunzo ya JKT katika makambi mbalimbali kutokwenda kuripoti makambini, kwa kile kinachodaiwa kuwa eti, mafunzo ya JKT ni mateso, yana unyanyasaji na udhalilishai hususani kwa Vijana wa jinsia ya kike.

JKT imesema taarifa hizo ni uzushi kwani mafunzo hayo ni muhimu sana kwa ustawi wa Vijana na Taifa kwa ujumla “Hivi karibuni JKT ilitoa wito kwa Vijana wote waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita mwaka 2023, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria lakini kumezuka taharuki kubwa katika mitandao ya Kijamii kutoka kwa baadhi ya Watu wenye nia ovu wasilolitakia mema Taifa
letu”

“Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria na yale ya Kujitolea yamelenga kumjengea kijana wa kitanzania uzalendo, ukakamavu, nidhamu na kuleta umoja wa kitaifa na yanaendeshwa kwa kuzingatia mila, desturi na tamaduni za kitanzania”

“JKT katika kuhakikisha Vijana hao wanakuwa salama wakati wote, Makambi na Vikosi vote vya JKT vina Baba na Mama Mlezi (Patron a Matron) ambao wamewekwa mahususi ili kusimamia ustawi wa Vijana wa kiume na wa kike kwa kipindi chote wanapokuwa makambini”
Mwisho.

Ningependa kufahamu maisha ya huko ila bahati mbaya sikufanikiwa kufika, wale mliopita JKT tunaomba machache yaliyopo huko.
Mbona hakuna manyanyaso yoyote cha msingi ukifika pale jivue ubishoo.
ukisikia kazi piga zoezi piga ukiona unazidiwa kajifiche.
Msingi mbio mimi nimeshamkimbia mkuu wa kambi. kesho yake wananikamata na kunipeleka kwake akasema muacheni ya jana yalishapita ila nikaja kuingia 18 zake alooo usiku mzima nilikaa kwenye maji machafu na mvua inanyesha. Imagine unatetemeka mpka unalizoea baridi alafu asubuhi watu wanakukuta bado umekaa na ili uweze kufika sehemu ya uji inabidi usote au wanaita mtambao kichwa chini unajivuta kama nyoka. Kwa mtu mwenye kulalamika angeona kaonewa ila sio siri nilikua mkorofi sana jkt nishashauriana na wenzangu tutoroke nikiamini ramani ya eneo naijua maana niliangalia siku moja kwenye google map sasa usiku tunatoroka nikaona hapa sitoboi wenzangu wako mbele mm nikarudi kimbembe ni muda wa kuingia kulala ikabidi nijipe adhabu ya kukaa tena kwenye maji mpka maafande walipokuja wakaniruhusu niondoke ila waliotoroka walijikuta wanazunguka eneo a kambi kama siku mbili hawaoni waendako wakarudi wametepeta 😂😂😂😂 yaani kule kunavituko sana wanaolalama wanateswa hawakua na nia ya kujifunza tu
 
Ukweli watoto wa sikuhizi mliolelewa na madeko... Kama unataka kwenda jizatiti ujue nini utaenda jifunza na kama itakua na faida ktk Maisha yako.. Hapo ndio unaweza Pata motivation ya kwenda au kuacha. Maana kule madeko hamna... Kazi na nidhamu ndio kipaumbele... Kaa tafakari, chukua hatua😂😂
 
Mbona hakuna manyanyaso yoyote cha msingi ukifika pale jivue ubishoo.
ukisikia kazi piga zoezi piga ukiona unazidiwa kajifiche.
Msingi mbio mimi nimeshamkimbia mkuu wa kambi. kesho yake wananikamata na kunipeleka kwake akasema muacheni ya jana yalishapita ila nikaja kuingia 18 zake alooo usiku mzima nilikaa kwenye maji machafu na mvua inanyesha. Imagine unatetemeka mpka unalizoea baridi alafu asubuhi watu wanakukuta bado umekaa na ili uweze kufika sehemu ya uji inabidi usote au wanaita mtambao kichwa chini unajivuta kama nyoka. Kwa mtu mwenye kulalamika angeona kaonewa ila sio siri nilikua mkorofi sana jkt nishashauriana na wenzangu tutoroke nikiamini ramani ya eneo naijua maana niliangalia siku moja kwenye google map sasa usiku tunatoroka nikaona hapa sitoboi wenzangu wako mbele mm nikarudi kimbembe ni muda wa kuingia kulala ikabidi nijipe adhabu ya kukaa tena kwenye maji mpka maafande walipokuja wakaniruhusu niondoke ila waliotoroka walijikuta wanazunguka eneo a kambi kama siku mbili hawaoni waendako wakarudi wametepeta yaani kule kunavituko sana wanaolalama wanateswa hawakua na nia ya kujifunza tu
Sasa hapo umejifunza nn mkuu?
 
Sasa hapo umejifunza nn mkuu?
Nimejifunza mengi ambayo sikuweka kwenye reply yangu nimejifunza ukakamavu uzalendo japo nchi inapigwa sana nimejifunza kuwa mvumilivu lakini pia nimeweka connection na wanangu ambao leo wapo sehemu tofauti usalama jw magereza polisi yaani sehemu kibao na wananisave kulingana na kazi zangu. Ya kujifunza ni mengi na faida zipo kibao huwezi linganisha mtu aliepita jkt na ambae hajapita.
 
Ukweli watoto wa sikuhizi mliolelewa na madeko... Kama unataka kwenda jizatiti ujue nini utaenda jifunza na kama itakua na faida ktk Maisha yako.. Hapo ndio unaweza Pata motivation ya kwenda au kuacha. Maana kule madeko hamna... Kazi na nidhamu ndio kipaumbele... Kaa tafakari, chukua hatua
Mkuu mimi nahitaji kufahamu tu yalipo huko kwasababu sikufanikiwa kupita huko, umri wangu kwasas sio wa kwenda huko
 
Back
Top Bottom