Professor mjinga
Member
- Oct 24, 2020
- 72
- 50
Cha mihimu katika maisha nikuipambania kesho yako
Sawa mkuu ila kumbuka kesho yako inaandaliwa leo hii ndugu yanguCha mihimu katika maisha nikuipambania kesho yako
Sawa mkuu ila kumbuka kesho yako inaandaliwa leo hii ndugu
Mgambo wana fundishwa zaidi mafunzo ya kijeshi jkt wanafundishwa uzalendo kubwa zaidi ni skills za maishaSawa mkuu ila kumbuka kesho yako inaandaliwa leo hii ndugu yangu
JKT na Mgambo wote wanafundishwa uzalendo na ukakamavuMgambo wana fundishwa zaidi mafunzo ya kijeshi jkt wanafundishwa uzalendo kubwa zaidi ni skills za maisha
Nadhani FETA Mbegani wanatoa haya mafunzoMimi binafsi natamani kama VETA wangeanzisha program ya kufundisha kozi fupi za namna ya kutengeneza out board injini za boti,marekebisho ya fiber boat, usukaji wa zana za uvuvi hii program ikifanyika mikoa yenye maziwa,mabwawa,mito mikubwa na bahari ingesaidia sana kuwapa skills vijana wengi na wangejiajiri.
Mpaka sasa Tanzania hakuna chuo au taasisi yoyote inayofundisha ufundi wa injini ndogo za petrol za boti. Mafundi wengi wanatumia uzoefu na wengine wamiliki wanarekebisha wenyewe.
FETA iwe Mbegani au Nyegezi wao hutoa mafunzo ya uvuvi kuanzia ngazi ya cheti.Nadhani FETA Mbegani wanatoa haya mafunzo
Jkt ni advance pale utapata mbinu za maisha kulima kufunga n.kJKT na Mgambo wote wanafundishwa uzalendo na ukakamavu
Huko jkt kuna pesa au ndio mlango wa ajira?!Kwa msisitizo tu ni kwamba kijana yoyote ambae ni raia wa kuzaliwa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ambae amemaliza kidato cha sita anapaswa kujiunga JKT kwa mujibu wa sheria.
Hiyo haijalishi umemaliza Mzizima, Al Haramain au Feza boys au Girls.
Iwe ni kwa mujibu kwa sheria ya JMT.
Na hata iwe kwa sababu mbalimbali kijana huyo hakuweza kujiunga huo basi iwe ni deni na atumukie kwa muda utakaofaa.
Nchi kama Israeli, Korea Kusini, Kazakhstan na zingine wanafanya hivyo.
Hii yaondoa matatizo kama kutokuwa mzalendo, uzembe wa kufikiri na ushawishi wa kujiunga na makundi kama yale ya kule Kibiti.
Enzi zetu sisi kaka na dada zenu tulikuwa tukikutana pamoja JKT na bila kujali tajiri au maskini au mtoto wa mkulima wote tulinyoa nywele na kuwa na madenge sawa.
JKT ndipo ndipo misingi ya umoja, amani na upendo baina ya wana wa nchi inapojengwa.
Wengine wanaobadilika kama tunaowaona leo hii na wamepitia JKT ni kwa kudanganywa na vijienti vya hapa na pale.
BarikiwaShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini mafunzo ya mgambo yasiwe "compulsory" kwa wanafunzi wote waliohitimu kidato cha sita ambao hawakuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya J.K.T?
View attachment 1610352
JKT yatangaza majina ya vijana waliohitimu Kidato cha Sita 2020 wanaotakiwa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2020, kutoka shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria. Sanjari na uchaguzi huo, JKT limewapangia makambi watakayo kwenda kupatiwa mafunzo na wanatakiwa...www.jamiiforums.com
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, inafahamika vema na watanzania wengi ya kuwa lengo la kuwapeleka hawa wadogo wetu JKT ni kuwajengea uzalendo, ukakamavu pamoja na mentality ya kujitegemea.
Ninafahamu fika ya kuwa serikali haiwezi kupeleka graduates wote wa kidato cha sita kwenda mafunzo ya JKT kutokana na ufinyu wa budget, lakini inapaswa kukumbuka pia kwa kutokufanya hivyo inakuwa imetengeneza kundi lingine kuwa la vijana waliokosa fursa adhimu ya kupata mafunzo ya ukakamavu na uzalendo huko vyuoni na mtaani.
View attachment 1610365
Kuna mtoto mmoja wa mama yangu mdogo yeye hakubahatika kupata nafasi ya kuchaguliwa kwenda huko sasa kwa namna anavyogombana na baba yake kila siku ilikuwa mpaka kero.
Kijana mdogo wa kiume yeye akilala usiku kuja kuamka kesho yake basi ni saa nne au tano asubuhi. Mtoto hajui kufagia uwanja wala kufuta madirisha ya nyumbani kwao mpaka huwa ninajiuliza sasa watoto kama hao ambao ndio tunategemea watakuja kuwa taifa la kesho ndio wanakuwa lelemama kiasi hiki sijui Tanzania ya mwaka 2050 itakuwa na watu wazima wa aina gani?
ANGALIZO: Mimi Infantry Soldier sio askari jeshi wala mtumishi wa ofisi yoyote ya serikali bali ni raia mwema ninayeipenda sana Tanzania. Hili jina nilijpa tu kutokana na changamoto kadhaa nzito nilizowahi kuzipitia katika maisha yangu. Hakika umasikini ni m-baya.
View attachment 1610364
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Maoni ya mdau
=====
Asante mkuuBarikiwa
Sasa kama nafasi ni chache za kupeleka vijana JKT kwanini wengine wasicheze mgambo wapate mafunzo ya ukakamavu na uzalendo kuliko kukosa vyote?Jkt ni advance pale utapata mbinu za maisha kulima kufunga n.k
Mkuu, usilazimishe ideologies zako ndio ziwe imani ya kila mtu. Wewe unaona nchi hii hakuna haki ila wapo wanaona haki ipo na inatendeka...Huko jkt kuna pesa au ndio mlango wa ajira?!
Nchi hii hakuna HAKI na hilo ndilo tatizo kubwa, sio kutokwenda JKT.
Itakuwa kinyume na malengo mgambo na jkt kila kitengo kina malengo yakeSasa kama nafasi ni chache za kupeleka vijana JKT kwanini wengine wasicheze mgambo wapate mafunzo ya ukakamavu na uzalendo kuliko kukosa vyote?
Elimu ya uzalendo na ukakamavu ni malengo yanayofanana kwa wote JKT na MgamboItakuwa kinyume na malengo mgambo na jkt kila kitengo kina malengo yake
Mgambo iwe compulsory? Vijana wetu wakasote kuwa jeshi la akiba?Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini mafunzo ya mgambo yasiwe "compulsory" kwa wanafunzi wote waliohitimu kidato cha sita ambao hawakuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya J.K.T?
View attachment 1610352
JKT yatangaza majina ya vijana waliohitimu Kidato cha Sita 2020 wanaotakiwa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2020, kutoka shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria. Sanjari na uchaguzi huo, JKT limewapangia makambi watakayo kwenda kupatiwa mafunzo na wanatakiwa...www.jamiiforums.com
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, inafahamika vema na watanzania wengi ya kuwa lengo la kuwapeleka hawa wadogo wetu JKT ni kuwajengea uzalendo, ukakamavu pamoja na mentality ya kujitegemea.
Ninafahamu fika ya kuwa serikali haiwezi kupeleka graduates wote wa kidato cha sita kwenda mafunzo ya JKT kutokana na ufinyu wa budget, lakini inapaswa kukumbuka pia kwa kutokufanya hivyo inakuwa imetengeneza kundi lingine kuwa la vijana waliokosa fursa adhimu ya kupata mafunzo ya ukakamavu na uzalendo huko vyuoni na mtaani.
View attachment 1610365
Kuna mtoto mmoja wa mama yangu mdogo yeye hakubahatika kupata nafasi ya kuchaguliwa kwenda huko sasa kwa namna anavyogombana na baba yake kila siku ilikuwa mpaka kero.
Kijana mdogo wa kiume yeye akilala usiku kuja kuamka kesho yake basi ni saa nne au tano asubuhi. Mtoto hajui kufagia uwanja wala kufuta madirisha ya nyumbani kwao mpaka huwa ninajiuliza sasa watoto kama hao ambao ndio tunategemea watakuja kuwa taifa la kesho ndio wanakuwa lelemama kiasi hiki sijui Tanzania ya mwaka 2050 itakuwa na watu wazima wa aina gani?
ANGALIZO: Mimi Infantry Soldier sio askari jeshi wala mtumishi wa ofisi yoyote ya serikali bali ni raia mwema ninayeipenda sana Tanzania. Hili jina nilijpa tu kutokana na changamoto kadhaa nzito nilizowahi kuzipitia katika maisha yangu. Hakika umasikini ni m-baya.
View attachment 1610364
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Maoni ya mdau
=====
Hakuna kubahatika kuingia jkt kwa aliemaliza f6. Kubahatika ni kupata ulichokihitaji sana bila kutarajia. Ni wachache waitwao kwa mujibu na kwenda kwa furaha. Wanakwenda tu kwa kuwa ni sheria.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini mafunzo ya mgambo yasiwe "compulsory" kwa wanafunzi wote waliohitimu kidato cha sita ambao hawakuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya J.K.T?
View attachment 1610352
JKT yatangaza majina ya vijana waliohitimu Kidato cha Sita 2020 wanaotakiwa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2020, kutoka shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria. Sanjari na uchaguzi huo, JKT limewapangia makambi watakayo kwenda kupatiwa mafunzo na wanatakiwa...www.jamiiforums.com
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, inafahamika vema na watanzania wengi ya kuwa lengo la kuwapeleka hawa wadogo wetu JKT ni kuwajengea uzalendo, ukakamavu pamoja na mentality ya kujitegemea.
Ninafahamu fika ya kuwa serikali haiwezi kupeleka graduates wote wa kidato cha sita kwenda mafunzo ya JKT kutokana na ufinyu wa budget, lakini inapaswa kukumbuka pia kwa kutokufanya hivyo inakuwa imetengeneza kundi lingine kuwa la vijana waliokosa fursa adhimu ya kupata mafunzo ya ukakamavu na uzalendo huko vyuoni na mtaani.
View attachment 1610365
Kuna mtoto mmoja wa mama yangu mdogo yeye hakubahatika kupata nafasi ya kuchaguliwa kwenda huko sasa kwa namna anavyogombana na baba yake kila siku ilikuwa mpaka kero.
Kijana mdogo wa kiume yeye akilala usiku kuja kuamka kesho yake basi ni saa nne au tano asubuhi. Mtoto hajui kufagia uwanja wala kufuta madirisha ya nyumbani kwao mpaka huwa ninajiuliza sasa watoto kama hao ambao ndio tunategemea watakuja kuwa taifa la kesho ndio wanakuwa lelemama kiasi hiki sijui Tanzania ya mwaka 2050 itakuwa na watu wazima wa aina gani?
ANGALIZO: Mimi Infantry Soldier sio askari jeshi wala mtumishi wa ofisi yoyote ya serikali bali ni raia mwema ninayeipenda sana Tanzania. Hili jina nilijpa tu kutokana na changamoto kadhaa nzito nilizowahi kuzipitia katika maisha yangu. Hakika umasikini ni m-baya.
View attachment 1610364
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Maoni ya mdau
=====
Mimi mbona sijashauri chochote kuhusu wauza magari mkuu?...Mfumo wa ufundishaji ulioushauri una walakini. Hao wauza magari wanaokuja kutoa mafunzo wamethibitishwa na nani?
Hahaha hivyo nikubali ideology zako za kupeleka watu jkt na mgambo?!Mkuu, usilazimishe ideologies zako ndio ziwe imani ya kila mtu. Wewe unaona nchi hii hakuna haki ila wapo wanaona haki ipo na inatendeka...
MhhhUnampeleka mtu JKT akitoka huko hana kazi miaka 10 yuko mtaani, halafu unataka awe mzalendo, sawa hatuhamasishi ujambazi, wala uasi.
Tuambie kihana kasoma kamaliza chuo ana degree moja, hana ajira, ana deni la mkopo, ana ndoto za maisha anayotaka yeye, hiyo JKT inamsaidia nini?! Au inamsaidiaje aishi?!
Mnataka akalime sijui, mara ajiajiri huo ni upuuzi tu, frustration zinataka solution siyo panadol.