Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,414
- 4,313
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?
Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.
Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
wanatafiti nini ikifika mwisho wa maazimisho wanapasua matofali kwa kutumia kichwa
Kwanza ni aibu kwa jeshi la nchi kujihusisha na mambo ya biashara...
Swali zuri sana.. Nadhani JKT iko chini ya JWTZHivi Suma JKT ipo chini ya JWTZ au JKT?
Tanzania ni uchumi wa frame
Nchi hii si ya kichuuzi
Ova
Pia hata kilimo mfano makotopola dodoma wanamashamba makubwa ya zazibuWamewekeza kwenye sekta nyingi nyingi tu mpaka usafi, afya, ujenzi ulinzi kupitia kitengo chao cha SUMA JKT
Fremu hizo pia zimejengwa Kigamboni ferry
Wanastahili pongezi kwa mafanikio haya na kuongeza ajira kwa vijana na wataalamu wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kwenye hizo fremu wanauza silaha za kivita?Hivi viwanda vya silaha za vita na mauaji mara nyingi vinapatikana wapi zaidi?
Kwa hali ya siasa za vita za dunia kwa sasa unadhani kuna biashara kubwa inayoizidi hiyo ya silaha?
Je suma jkt ni ajira? Maana hakuna ajira katika jkt ya kawaida
Swali zuri sana.. Nadhani JKT iko chini ya JWTZ
Kwa maeneo ya jesho, wajenge hata residential complex na watapata hela nyingi sana.Naunga mkono na miguu hoja ya Recreational centers.
Hali ya maisha ya watu wa Dar inaziitaji sana hizo kusaidia kupambana na Tatizo la maradhi ya akili/fahamu.
Maajabu ni kwamba wanatumia Bar Kama mbadala wake.
Zitajazwa frame tuuuLugalo naona wanasafisha upande wa pili, sijui ni nini wanaweka pale
Hahaha hahahahaZimamoto pia pale fire wameona isiwe tabu nao wamefungua fremu barabarani kabisa
Hivi maji chumvi ndio wapi? Nalitafuta hili eneo pasi na mafanikio
Kwa maeneo ya jesho, wajenge hata residential complex na watapata hela nyingi sana.
Ama wawape NHC ama TBA hayo maeneo waingie ubia na watu wajenge residential complex zenye maduka na recreational centers za kueleweka kuliko hizi bar na frames.
Ofcourse zilitangulia na miaka hiyo zilikuwa ziko nje ya jiji. Lakini bila shaka kutangulia siyo kigezo cha kuziacha ziendelee kukaa wakati mazingira yamebadilika.