Kwanini maeneo ya jeshi kama Lugalo na External kumejengwa bar na frame nyingi sana?



Naunga mkono na miguu hoja ya Recreational centers.

Hali ya maisha ya watu wa Dar inaziitaji sana hizo kusaidia kupambana na Tatizo la maradhi ya akili/fahamu.


Maajabu ni kwamba wanatumia Bar Kama mbadala wake.
 
Pia hata kilimo mfano makotopola dodoma wanamashamba makubwa ya zazibu

Ukienda ruvu wanafunga sana

Mlale songea wanalima sana mahindi n.k
 
Kuna Uzi humu Jf unalaumu vitambi Kwa baadhi ya maofisa wa jeshi na hii ndio sababu.Karibu mikoa yte nliyozurura iwe Kambi ya FFU,jeshi,au polisi Kuna bar ambazo zimepewa majina mazuri mazuri kama police mess n.k.Na Kuna nyama choma na bia za bei ya punguzo na ukiwa polisi unaruhusiwa Kukopa.
Sasa vitambi vitaachaje kuchomoza?
 
Naunga mkono na miguu hoja ya Recreational centers.

Hali ya maisha ya watu wa Dar inaziitaji sana hizo kusaidia kupambana na Tatizo la maradhi ya akili/fahamu.


Maajabu ni kwamba wanatumia Bar Kama mbadala wake.
Kwa maeneo ya jesho, wajenge hata residential complex na watapata hela nyingi sana.

Ama wawape NHC ama TBA hayo maeneo waingie ubia na watu wajenge residential complex zenye maduka na recreational centers za kueleweka kuliko hizi bar na frames.
 
Kwa maeneo ya jesho, wajenge hata residential complex na watapata hela nyingi sana.

Ama wawape NHC ama TBA hayo maeneo waingie ubia na watu wajenge residential complex zenye maduka na recreational centers za kueleweka kuliko hizi bar na frames.

Tatizo hayo maeneo. Wanajeshi wanapewa kipaumbele wenyewe kwa kuuziwa kwa bei nafuu. Imagine ubungo ya leo hii mwanajeshi anauziwa kiwanja kilichopimwa kwa milioni 10

Hao wanajeshi wakishauziwa na wao wanauza
 
Kipindi majeshi mengine duniani yana ongoza kwa kufanya tafiti za silaha mpya na mambo mengine ya kijamii huku kuna jeshi liko "bize" kujenga maduka, kuonea raia, kuvunja matofali na kuiba wake za watu, kupanga ni kuchagua
 
Ofcourse zilitangulia na miaka hiyo zilikuwa ziko nje ya jiji. Lakini bila shaka kutangulia siyo kigezo cha kuziacha ziendelee kukaa wakati mazingira yamebadilika.


Sio lazima wahame, wanaweza kubadili matumizi na kuweka kitu chenye manufaa kwa wote jeshi na wananchi Kama vocational training centers, vyuo vidogo vya tafiti na gunduzi mbali mbali, hospitals etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…