Mtu akishakufa kinachobaki ni kumwombea ili apate pumziko la milele huko aendako!
Mabaya yake ataenda kuyakuta mbele ya safari, hata ukiyasema wakati ashakufa itasaidia nini?
Mtu akishakufa kinachobaki ni kumwombea ili apate pumziko la milele huko aendako!
Mabaya yake ataenda kuyakuta mbele ya safari, hata ukiyasema wakati ashakufa itasaidia nini?
Mtu akishakufa kinachobaki ni kumwombea ili apate pumziko la milele huko aendako!
Mabaya yake ataenda kuyakuta mbele ya safari, hata ukiyasema wakati ashakufa itasaidia nini?
Madame B said:Naunga mkono
Mkuu mabaya ya mtu huwa yanajulikana kuliko yale mazuri!Inasemekana yanasemwa mazuri tu ili jamii iliyo baki ijifunze.
Lakini,si na mabaya nayo yangesemwa ili kuiasa jamii?
na kwanini basi tusimzike kimya kimya ili kama ni mwema au mbaya ikajulikane mbele ya safari,huo uzuri unaozungumzwa na kuacha ubaya unasaidia nini ?Mtu akishakufa kinachobaki ni kumwombea ili apate pumziko la milele huko aendako!
Mabaya yake ataenda kuyakuta mbele ya safari, hata ukiyasema wakati ashakufa itasaidia nini?
Mtu akifa huwa anaenda kupumzika?
Ndo mana yake.
Yeah manake ameshauacha mwili wake!Mtu akifa huwa anaenda kupumzika?
lakini tungekuwa tunasema ukweli daima naamini ukimwi ungeisha maana wanaokufa kwa ukimwi hutajwa kufa kwa magonjwa tofauti kwenye historia zao.philipo kidwanga inawezekana kumzika kimya kimya ila ni kiherehere cha waliobaki ndio huwa kinawafanya waseme seme!
Huko kwenye plane za juu ambazo sio physical!kwa kuwa we umekua wa mwanzo kunijibu, nieleze wafu huenda kupumzika wapi?
Sio kweli! Aliyekufa kwa ukimwi huwa anajulikana hata kama kwenye historia ya marehem watasema amekufa kwa TB! Kitakachofanya ukimwi uishe ni watu kuamua kurudi kwenye maadili au UTU wao na sio historia ya marehemu!lakini tungekuwa tunasema ukweli daima naamini ukimwi ungeisha maana wanaokufa kwa ukimwi hutajwa kufa kwa magonjwa tofauti kwenye historia zao.
kumbe huko kuna hotel za kitalii.Ndo mana yake.
amini hii miaka ya mwanzo imewapoteza watu wengi sana hasa pale marehemu alipoacha mke mzuri sana.Sio kweli! Aliyekufa kwa ukimwi huwa anajulikana hata kama kwenye historia ya marehem watasema amekufa kwa TB! Kitakachofanya ukimwi uishe ni watu kuamua kurudi kwenye maadili au UTU wao na sio historia ya marehemu!
Huko kwenye plane za juu ambazo sio physical!
Yeah manake ameshauacha mwili wake!