matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,581
- 15,350
Wakuu nimekuwa nikifuatilia jamaa wanasema hakuna foleni kabisa wala msongamano kihivyo.
Najiuliza:
Je, sisi wabongo mambo ya kusafiri nje sio hobby yetu?
Swali lingine la uzushi, hawa Idara ya Uhamiaji kwanini eti ili Mtanzania apate Passport lazima awe na kama sababu au ushahidi wa huko anakokwenda?
Kwanini isingekuwa tu kama vitambulisho vya taifa, maana kila mtu anaweza kwenda mahali popote wakati wowote kutegemeana na fursa.
Najiuliza:
Je, sisi wabongo mambo ya kusafiri nje sio hobby yetu?
Swali lingine la uzushi, hawa Idara ya Uhamiaji kwanini eti ili Mtanzania apate Passport lazima awe na kama sababu au ushahidi wa huko anakokwenda?
Kwanini isingekuwa tu kama vitambulisho vya taifa, maana kila mtu anaweza kwenda mahali popote wakati wowote kutegemeana na fursa.