Kama vipi, Kigoma ipewe hadhi ya kuwa nchi ijitawale

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
Wana bodi salam

Nyumbani kwetu kigoma. Nimezaliwa na kukulia hapo kabla ya kuanza kusafiri kwenda nje ya mkoa wa Kigoma.

Kigoma ni mkoa ulio jirani na nchi za Rwanda na Burundi. Kwa nilivyo tembea, sijawahi kuona mkoa wowote ulio jirani na nchi nyingine wakazi wake wananyanyaswa na kubaguliwa kama wakazi wa Kigoma.

Arusha na Kilimanjaro wana mpaka na Kenya, lkn wananchi wa huko hawanyanyaswi.

Mara wana mpaka na Kenya lkn wananchi wake hawanyanyaswi

Mbeya na Songwe zina ujirani na Malawi na Zambia lkn wananchi wake hawajui kunyanyaswa na mamlaka za Tanzania.

Mtwara wako mpakani lkn hautasikia wananyanyaswa na kubaguliwa kama ilivyo kwa wakazi wa mkoa wa kigoma.

Huwa najiuliza shida ni nini? Je, Tanzania inaogopa mataifa ya Rwanda na Burundi na hivyo kuwachukulia wakaazi wa nchi hizo kuwa hatari?

Fikiria ubaguzi ufuatao:-

1. NIDA-Katika mikoa ambayo wameandikisha watu wachache, Kigoma huenda inaongoza. Kigoma kusajili line wachache wanasajili kwa majina yao, wengi hutumia usajili wa waliofanikiwa kupata Nida. Hii ni kinyume na sheria. Sababu? Eti wanaepuka kuandikisha wakimbizi.

2. Uhamiaji. Kigoma ni mkoa pekee ambao idara ya uhamiaji wana vizuizi vya kukagua vitambulisho. Natambua pale Bunda wapo, lkn hukagua wanaotoka sirari zaidi.

Kigoma, ukitoka pande yoyote ya nchi, kuingia mkoa wa kigoma, utadaiwa kitambulisho au passport. Ni kama unaingia nchi nyingine kabisa.

Vivyo hivyo ukitoka kigoma kwenda mikoa mingine, huvuki mkoa bila kuonesha kitambulisho. Ni kama vile kigoma ni nchi na hivyo taratibu za kuvuka na kuingia kigoma, zinatumika sawasawa kama kuvuka na kuingia nchini nyingine za kigeni.

Kama ndivyo, kwa nini kigoma isiwe nchi ili tupambane na maisha yetu wenyewe?

Haiingii akilini tume ya uchaguzi kwa kuwa mnataka wapiga kura, wakazi wa kigoma huandikishwa bila ubaguzi sana lakini kwenye NIDA achilia mbali kupata passport waanze kubaguliwa. Mnatukera sisi wa kigoma.

Mnaboa sana
 
Wana bodi salam

Nyumbani kwetu kigoma. Nimezaliwa na kukulia hapo kabla ya kuanza kusafiri kwenda nje ya mkoa wa kigoma.

Kigoma ni mkoa ulio jirani na nchi za Rwanda na Burundi. Kwa nilivyo tembea, sijawahi kuona mkoa wowote ulio jirani na nchi nyingine wakazi wake wananyanyaswa na kubaguliwa kama wakazi wa kigoma.

Arusha na Kilimanjaro wana mpaka na kenya, lkn wananchi wa huko hawanyanyaswi.

Mara wana mpaka na Kenya lkn wananchi wake hawanyanyaswi

Mbeya na Songwe zina ujirani na Malawi na Zambia lkn wananchi wake hawajui kunyanyaswa na mamlaka za Tanzania.

Mtwara wako mpakani lkn hautasikia wananyanyaswa na kubaguliwa kama ilivyo kwa wakazi wa mkoa wa kigoma.

Huwa najiuliza shida ni nini? Je, Tanzania inaogopa mataifa ya Rwanda na Burundi na hivyo kuwachukulia wakaazi wa nchi hizo kuwa hatari?

Fikiria ubaguzi ufuatao:-

1. NIDA-Katika mikoa ambayo wameandikisha watu wachache, kigoma huenda inaongoza. Kigoma kusajili line wachache wanasajili kwa majina yao, wengi hutumia usajili wa waliofanikiwa kupata nida. Hii ni kinyume na sheria. Sababu? Eti wanaepuka kuandikisha wakimbizi.

2. Uhamiaji. Kigoma ni mkoa pekee ambao idara ya uhamiaji wana vizuizi vya kukagua vitambulisho. Natambua pale Bunda wapo, lkn hukagua wanaotoka sirari zaidi.

Kigoma, ukitoka pande yoyote ya nchi, kuingia mkoa wa kigoma, utadaiwa kitambulisho au passport. Ni kama unaingia nchi nyingine kabisa.

Vivyo hivyo ukitoka kigoma kwenda mikoa mingine, huvuki mkoa bila kuonesha kitambulisho. Ni kama vile kigoma ni nchi na hivyo taratibu za kuvuka na kuingia kigoma, zinatumika sawasawa kama kuvuka na kuingia nchini nyingine za kigeni.

Kama ndivyo, kwa nini kigoma isiwe nchi ili tupambane na maisha yetu wenyewe?

Haiingii akilini tume ya uchaguzi kwa kuwa mnataka wapiga kura, wakazi wa kigoma huandikishwa bila ubaguzi sana lakini kwenye NIDA achilia mbali kupata passport waanze kubaguliwa. Mnatukera sisi wa kigoma.

Mnaboa sana
 
Ku

Kukaguliwa ndio kubaguliwa? Kwani lini kukagua vitambulisho ikawa kinyume cha sheria
Mipaka mingine hakuna mambo haya. Ni kigoma tu. Utoke dsm, utaombwa kitambulisho, utoke mwanza utaombwa, utoke kigoma kwenda popote huvuki hadi uoneshe kitambulisho
 
Tuliruhusu WARUNDI wakae pale kwa moyo wote!

Wanapotaka kuja huku interior great care must be taken that's why kuna Barrier KILA mahali na ukaguzi juu!!

Nadhani UNAJUA ni kiasi GANI tumewaachia ndugu zetu WARUNDI wake hapo kutafuta life!!!


Ni kwa usalama wetu Boss!labda ungeishambulia ofisi za nida ziwe reliable sana pande hizo!!

Tuna wapenda kigoma ndio maana tukawapa Makam wa Rais sio kwa bahati mbaya mkuu!!

Mungu ibariki Tanzania yetu!!
 
Wana bodi salam

Nyumbani kwetu kigoma. Nimezaliwa na kukulia hapo kabla ya kuanza kusafiri kwenda nje ya mkoa wa kigoma.

Kigoma ni mkoa ulio jirani na nchi za Rwanda na Burundi. Kwa nilivyo tembea, sijawahi kuona mkoa wowote ulio jirani na nchi nyingine wakazi wake wananyanyaswa na kubaguliwa kama wakazi wa kigoma.

Arusha na Kilimanjaro wana mpaka na kenya, lkn wananchi wa huko hawanyanyaswi.

Mara wana mpaka na Kenya lkn wananchi wake hawanyanyaswi

Mbeya na Songwe zina ujirani na Malawi na Zambia lkn wananchi wake hawajui kunyanyaswa na mamlaka za Tanzania.

Mtwara wako mpakani lkn hautasikia wananyanyaswa na kubaguliwa kama ilivyo kwa wakazi wa mkoa wa kigoma.

Huwa najiuliza shida ni nini? Je, Tanzania inaogopa mataifa ya Rwanda na Burundi na hivyo kuwachukulia wakaazi wa nchi hizo kuwa hatari?

Fikiria ubaguzi ufuatao:-

1. NIDA-Katika mikoa ambayo wameandikisha watu wachache, kigoma huenda inaongoza. Kigoma kusajili line wachache wanasajili kwa majina yao, wengi hutumia usajili wa waliofanikiwa kupata nida. Hii ni kinyume na sheria. Sababu? Eti wanaepuka kuandikisha wakimbizi.

2. Uhamiaji. Kigoma ni mkoa pekee ambao idara ya uhamiaji wana vizuizi vya kukagua vitambulisho. Natambua pale Bunda wapo, lkn hukagua wanaotoka sirari zaidi.

Kigoma, ukitoka pande yoyote ya nchi, kuingia mkoa wa kigoma, utadaiwa kitambulisho au passport. Ni kama unaingia nchi nyingine kabisa.

Vivyo hivyo ukitoka kigoma kwenda mikoa mingine, huvuki mkoa bila kuonesha kitambulisho. Ni kama vile kigoma ni nchi na hivyo taratibu za kuvuka na kuingia kigoma, zinatumika sawasawa kama kuvuka na kuingia nchini nyingine za kigeni.

Kama ndivyo, kwa nini kigoma isiwe nchi ili tupambane na maisha yetu wenyewe?

Haiingii akilini tume ya uchaguzi kwa kuwa mnataka wapiga kura, wakazi wa kigoma huandikishwa bila ubaguzi sana lakini kwenye NIDA achilia mbali kupata passport waanze kubaguliwa. Mnatukera sisi wa kigoma.

Mnaboa sana
Mpo tayari kupigana vita na kushinda ? Mkiweza hilo mnaweza kuwa na Republic of Kigoma wakati wowote.
 
Nchi ya Tanzania kiuhalisia iliishia Tabora, kigoma au buha ilikua ni nchi ya pekee ambayo ilitawaliwa kwanza na mbelgiji lakini baada ya mbeligiji kuachia baadhi ya makoloni ndio kigoma ikajikuta iko mikononi mwa mjermani,
 
Back
Top Bottom