Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 531
kwanini hukuona aibu foden kupewa tuzo mbele ya mount na saka wakati anazidiwa kila kitu!!!?Aibu nimeona mimi
de bruyne mbele ya salah na stats zinamkataa!!?
NB: Uzuri tuzo zilitoka kabla ubingwa haujaamuliwa hivyo point ya ubingwa haina mashiko