bobby_Barbosa_9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2019
- 622
- 1,252
Swali dogo,Issue ni kuwa kawin PL
Kwenye football always the first is the first waliobaki wote ni loser ....hii haijalishi ni namna gani mwenzio kachukua ubingwa ....
Ndio maana katika historia ya vitabu msimu wa 2021/2022 city ndio ataongelewa kama bingwa na sio liverpool, Liverpool ni loser na habari zake zimeishia pale that is football ...!
Ni kama uefa ,hata kama umefika final kama hujachukua Hilo kombe wewe ni loser tu ,haijalishi ulimiliki mchezo ,umekosa penalty ,umegonga mwamba mara kumi ,issue ni kuwa kama hujachukua kombe habari yako imeishia hapo na habari ya mjini itakuwa kwa yule aliyeshinda ....
Ukija H2H ya pep na klop msimu huu ni
Liverpool Vs man city (2-2)
Man city Vs Liverpool (2-2)
Yaani kifootball hiyo tuzo ni ya pep ,ila wameamua kumpoza klopp tu .....
1.Kwanini kdb kapewa tuzo mbele ya salah?
Ukisema kwasababu kdb kachukuwa kombe, Basi ujibu swali la pili
2.msimu wa 2019/2020 Liverpool alichukuwa epl lakini tuzo ya mchezaji bora akapewa kdb ambae alikuwa hana epl. Kwanini?