Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI