Kwanini kila nikikojoa najamba?

Kwanini kila nikikojoa najamba?

Comments za humu nimecheka sana..... kuwa jamaa kashindwa kulinda mlango wa kutokea.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwahiyo kama uko kwenye choo cha public mtu akiingia na yeye anataka kujisaidia huwa unafanyaje...!
 
Wadau naomba anayejua Sayansi hii, ni lazima kila nikikojoa NIJAMBE?
Iko hivii? Kuanzia kwenye Rectum hadi kwenye mlango (anus) huwa kuna misuli inayo control kunya ama kujamba bila mpangilio.

Sasa kama sehemu hizo unazitumia kinyume na maumbile kwa nini ukojoapo ama ukohoapo usijambe?

Misuli hiyo ikichezewa ikalegea, utajambajamba na kunyakunya kipumbafupumbaf sana, ad marafiki watakutenga.

Jirekebishe na uache kabisa tabia hiyo chafu, mwishowe hali itataiti sana, itafikia utahitaji pamba ikusetiri.
 
Wadau naomba anayejua Sayansi hii, ni lazima kila nikikojoa NIJAMBE?


Wewe kila siku unashindia maharage unalalia maharage tena yasiyoiva vizuri
na unakula kama nzige utakosaje "kupumua" kila mara kwa sababu digestion inakuwa hafifu tumboni na hivyo inasababisha tumbo kujaa hewa. (Kuvimbiwa)--- constipation.🤔
 
kwq hiyo ndio unatuambia kimtindo unatoa jicho?
weka mawasiliano bas tuongee biashara
 
Huna walinda, ulitatuliwa aidha utotoni au ulitafuna mipashinaku ikapiga vile mtaro ukiwa kwenye peak usijue kuwa limechana fensi.
 
Back
Top Bottom