FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 603
- 397
Kumbe unajua kuwa vyombo vya usalama vinaendelea na uchunguzi, sasa wewe Mwigulu Kiherehere cha nini?Mungu mkubwa vyombo vya usalama vinawohoji woote walioshiriki kumuua kikatili kijana wa kitanzania. Mwenyezi Mungu amlaani huyo aliyetoa nyumba yake tena iliyorithi kutoka kwa baba yake mtu muadilifu rafiki wa baba wataifa itumike kupanga mauaji ya raia.
Nimesikitishwa sana, Mwigulu is a bloody vampire,hebu tuchunguze kama anahusika pia kwenye tukio la kutekwa doctor ulimboka
Mods naomba msiufute ukweli huu, maana naona siku hizi mmeanza kuingiwa na kauoga wa Hard facts.
Angalieni, tangu Mh Mwigulu apeewe wadhifa mkubwa ndani ya chama chake na kusimamia chaguzi ndogo, mambo yamekuwa kama yafuatavyo;
1. Igunga, alikuwa ndie mratibu wa kampeni hiyo kwa chama chake, tumeshuhudia mauaji ya kutisha ambayo hatujapata kuyaona katika chaguzi zote tangu nchi kupata Uhuru.
2. Arumeru, alikuwa tena mratibu wa kampeni hiyo, tumeshuhudia mauaji ya kutisha kushinda yale ya Igunga.
3. Jimboni Kwake, ikumbukwe CDM kabla kwenda jimboni kwa Mwigulu jana, walishafanya mikutano mikubwa ya kutikisa ardhi DSM, Mtwara, Lindi, na wala hakukuwa na tafrani yoyote, hata kule jimboni kwa Mh Membe aliwakaribisha Makamanda nyumbani kwake, wakala chakula pamoja, walipoondoka ndipo na yeye akapanda jukwaani kujibu mapigo, lakini jana kuanza tu jimboni kwa huyu Mwigulu, tayari ameuawa mtu.
Hivi Ni lazma uwe Great Thinker ndio uweze kuunganisha dots hizi kupata picha halisi ya connection ya huyu jamaa na mauaji haya?
Bwana yupi? I,m not a naive belivier, so stop associating me in your stupidity!Tumia hata akili yako kidogo ndugu katika Bwana
Hata alipokuwa ''jimboni'' Benki Kuu Gavana wake aliuawa
Mods naomba msiufute ukweli huu, maana naona siku hizi mmeanza kuingiwa na kauoga wa Hard facts.
Angalieni, tangu Mh Mwigulu apeewe wadhifa mkubwa ndani ya chama chake na kusimamia chaguzi ndogo, mambo yamekuwa kama yafuatavyo;
1. Igunga, alikuwa ndie mratibu wa kampeni hiyo kwa chama chake, tumeshuhudia mauaji ya kutisha ambayo hatujapata kuyaona katika chaguzi zote tangu nchi kupata Uhuru.
2. Arumeru, alikuwa tena mratibu wa kampeni hiyo, tumeshuhudia mauaji ya kutisha kushinda yale ya Igunga.
3. Jimboni Kwake, ikumbukwe CDM kabla kwenda jimboni kwa Mwigulu jana, walishafanya mikutano mikubwa ya kutikisa ardhi DSM, Mtwara, Lindi, na wala hakukuwa na tafrani yoyote, hata kule jimboni kwa Mh Membe aliwakaribisha Makamanda nyumbani kwake, wakala chakula pamoja, walipoondoka ndipo na yeye akapanda jukwaani kujibu mapigo, lakini jana kuanza tu jimboni kwa huyu Mwigulu, tayari ameuawa mtu.
Hivi Ni lazma uwe Great Thinker ndio uweze kuunganisha dots hizi kupata picha halisi ya connection ya huyu jamaa na mauaji haya?
Kwa maana hiyo usahihi ni kuwa Mwigulu anahusika kwa kuwatumia vijana viroba walewe na kuleta fujo. Kuhusika moja kwa moja ni kama na yeye angeingia front. But what's wrong with Mwigulu? Igunga mtu aliuwawa na mwingine kuporwa mke, Arumeru mtu aliuwawa na sasa jimboni kwake. ICC ya Ocampo ilikuwa na nguvu sana tofauti na huyu mama wa sasa.
Mwigulu kila anachojihusisha nacho kinakufa/kuuawa....and so is CCM....soon!
Na wanapaswa kuadhibiwa vikali ili liwe fundisho kwa hichi chama cha chadema kinachotaka kuvuruga amani ya nchi
yan mwingulu una diriki kumtaja mungu wewe muaji!Mchungaji pole, hata wakimfichia aibu hapa Mwenyezi Mungu atamuumbua tu.