Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,768
My Friend, you are slumbering in beds of mediocrity! watu wanafanya mambo ya maendeleo wewe unawalaumu eti wanapenda sifa! wewe no wa ajabu kweli!
True but before this dream to be true we need to kick off CCMizi,other wz nothin nothin,nothin wll b true.CCMizi SHOULD GO 1st...am very sure kwamba, sooner or later tuna kila sababu ya kuiacha Kenya.
Na kuna watu wanatetea hayo madudu live bila chenga bila aibu yoyote...Hii Nchi inatufundisha kuwa selfish..Jiangalie wewe kwanza na familia yako bhaaasI hope haunisemi mimi,Nafivumilia sana kuwa mtanzania dada angu hii nchi ina madudu mengi sana
Tuache unafiki, tusijifanye hatufahamu chanzo cha Tanzania kuwa hapa ilipo hata baada ya miaka 50 ya Uhuru! Chanzo cha haya yote ni utawala wa Nyerere ingawaje wapo wasiotaka ukweli huu usemwe na kwamba yeyote atakayesema basi mtu huyo ana chuki na Nyerere!!! Mbaya zaidi, wapo wengine ambao wanafikia kiwango cha juu kabisa cha kushindwa kuficha upumbavu wao kwa kudai eti "Nyerere anachukiwa kwavile ni Mkristo!" RABISH!
Kiuhalisia kabisa, hivi sasa Kenya wapo kwenye second phase ya maendeleo yao. First phase, walishaifanya soon after uhuru wa nchi yao. Wakati wenzetu walianza mapema baada ya Uhuru, Tanzania ikatumia kipindi hicho katika kujishughulisha na ya wenzetu kwa kile tulichoita Kuhakikisha Ukombozi wa Afrika!!
Hata kama hilo nalo si jambo la kubeza, lakini tulitumia raslimali nyingi mno katika suala hilo. Mbaya zaidi, suala la Ukombozi Kusini mwa Afrika tulilisimamia vizuri zaidi kuliko tulivyoweza kuyasimamia mambo yetu wenyewe! Kwani, ingawaje utawala wa Nyerere ulijitahidi kufanya uwekezaji hapa nchini, lakini bado utawala huo ulishindwa kabisa kusimamia yale iliyoyaanzisha!!
Utawala wa Nyerere ulikuwa very efficiency katika kusimamia suala la ukombozi lakini ulikuwa very poor katika kusimamia mambo yake yenyewe! Matokeo yake, nchi ikageuka kuwa omba omba wa aibu, yaani hadi kufikia kuomba omba chakula na kuishia kuletewa hadi mahindi ya njano yanayosemekana yalikuwa ni chakula cha mifugo huko yalikotoka!
Wakati sie tukiitumia first phase kwa staili hiyo, wenzetu Kenya wakajikita kujenga uchumi wao! Wakatumia every available opportunity (including human resources, entrepreneurs) katika kujenga uchumi wao!! Wakajenga mashule, vyuo, viwanja vya ndege, barabara and almost every possible and necessary infrastructure. Pamoja na ugonjwa wa ufisadi uliopo in almost every African Country, lakini bado Kenya waliweza kuyasimamia waliyoyaanzisha; jambo ambalo sie lilitushinda!
Baada ya Nyerere kuondoka madarakani 1985, ndipo Tanzania ikaanza kufanya kile ambacho ilitakiwa kifanywe 20 years back!! And in fact, real move ikaanza baada ya Mkapa kuingia madarakani in 1995; huku ikiwa imeshapita zaidi ya miaka 30 ya uhuru! Kila ambacho Mkapa alijaribu kukifanya, tayari Wakenya walikuwa wameshakifanya more than 20 years back!!
Watu leo hii wanajaribu kudhihaki Treni ya Mwakyembe kwavile tu Kenya wamezindua Treni ya kisasa zaidi! So what did you expect?! Haya yanayofanywa na Mwakeymbe leo hii yalikuwa yawe yamefanyika more than 20 years back!
Ingekuwa ni kichekesho leo hii kufikiria kuwa na treni za kisasa kabisa wakati hata barabara za kupita magari ya kawaida hamna!! Itakuwa ni kichekesho kuwa na Super Highway wakati hata ordinary roads ambazo zilitakiwa kujengwa zaidi ya miaka 30 iliyopita bado hamna!
So, tu cut story short, haya yaliyopo sasa ni matunda ya sera za Nyerere! Wakati Kenya ipo kwenye second phase, or innovation phase, sie ndo kwanza tunaanza! Hata hivyo, am very sure kwamba, sooner or later tuna kila sababu ya kuiacha Kenya.
kwa nini wasiwe na mkonga mmoja kama wa kwetu?
kuwa na mikonga 5 maana yake nini ?
sisi tuko wengi zaidi lakini nashangaa hatuna spidi kama hawa jamaa
Kenya plans to land 5th undersea cable | balancingact-africa.com
kwa nini wasiwe na mkonga mmoja kama wa kwetu? Paw,
Silencer,
PainKiller,
Roulette,
Fang,
Buchanan,
kuwa na mikonga 5 maana yake nini ?
sisi tuko wengi zaidi lakini nashangaa hatuna spidi kama hawa jamaa
Kenya plans to land 5th undersea cable | balancingact-africa.com
Inauma kuukubali ukweli, lakini Kenya wametuacha katika vitu vingi tu
Tuache unafiki, tusijifanye hatufahamu chanzo cha Tanzania kuwa hapa ilipo hata baada ya miaka 50 ya Uhuru! Chanzo cha haya yote ni utawala wa Nyerere ingawaje wapo wasiotaka ukweli huu usemwe na kwamba yeyote atakayesema basi mtu huyo ana chuki na Nyerere!!! Mbaya zaidi, wapo wengine ambao wanafikia kiwango cha juu kabisa cha kushindwa kuficha upumbavu wao kwa kudai eti "Nyerere anachukiwa kwavile ni Mkristo!" RABISH!
Kiuhalisia kabisa, hivi sasa Kenya wapo kwenye second phase ya maendeleo yao. First phase, walishaifanya soon after uhuru wa nchi yao. Wakati wenzetu walianza mapema baada ya Uhuru, Tanzania ikatumia kipindi hicho katika kujishughulisha na ya wenzetu kwa kile tulichoita Kuhakikisha Ukombozi wa Afrika!!
Hata kama hilo nalo si jambo la kubeza, lakini tulitumia raslimali nyingi mno katika suala hilo. Mbaya zaidi, suala la Ukombozi Kusini mwa Afrika tulilisimamia vizuri zaidi kuliko tulivyoweza kuyasimamia mambo yetu wenyewe! Kwani, ingawaje utawala wa Nyerere ulijitahidi kufanya uwekezaji hapa nchini, lakini bado utawala huo ulishindwa kabisa kusimamia yale iliyoyaanzisha!!
Utawala wa Nyerere ulikuwa very efficiency katika kusimamia suala la ukombozi lakini ulikuwa very poor katika kusimamia mambo yake yenyewe! Matokeo yake, nchi ikageuka kuwa omba omba wa aibu, yaani hadi kufikia kuomba omba chakula na kuishia kuletewa hadi mahindi ya njano yanayosemekana yalikuwa ni chakula cha mifugo huko yalikotoka!
Wakati sie tukiitumia first phase kwa staili hiyo, wenzetu Kenya wakajikita kujenga uchumi wao! Wakatumia every available opportunity (including human resources, entrepreneurs) katika kujenga uchumi wao!! Wakajenga mashule, vyuo, viwanja vya ndege, barabara and almost every possible and necessary infrastructure. Pamoja na ugonjwa wa ufisadi uliopo in almost every African Country, lakini bado Kenya waliweza kuyasimamia waliyoyaanzisha; jambo ambalo sie lilitushinda!
Baada ya Nyerere kuondoka madarakani 1985, ndipo Tanzania ikaanza kufanya kile ambacho ilitakiwa kifanywe 20 years back!! And in fact, real move ikaanza baada ya Mkapa kuingia madarakani in 1995; huku ikiwa imeshapita zaidi ya miaka 30 ya uhuru! Kila ambacho Mkapa alijaribu kukifanya, tayari Wakenya walikuwa wameshakifanya more than 20 years back!!
Watu leo hii wanajaribu kudhihaki Treni ya Mwakyembe kwavile tu Kenya wamezindua Treni ya kisasa zaidi! So what did you expect?! Haya yanayofanywa na Mwakeymbe leo hii yalikuwa yawe yamefanyika more than 20 years back!
Ingekuwa ni kichekesho leo hii kufikiria kuwa na treni za kisasa kabisa wakati hata barabara za kupita magari ya kawaida hamna!! Itakuwa ni kichekesho kuwa na Super Highway wakati hata ordinary roads ambazo zilitakiwa kujengwa zaidi ya miaka 30 iliyopita bado hamna!
So, tu cut story short, haya yaliyopo sasa ni matunda ya sera za Nyerere! Wakati Kenya ipo kwenye second phase, or innovation phase, sie ndo kwanza tunaanza! Hata hivyo, am very sure kwamba, sooner or later tuna kila sababu ya kuiacha Kenya.
Na kuna watu wanatetea hayo madudu live bila chenga bila aibu yoyote...Hii Nchi inatufundisha kuwa selfish..Jiangalie wewe kwanza na familia yako bhaaas
mwehu mwandamizi wewe.bado nyerere anatawala?Tuache unafiki, tusijifanye hatufahamu chanzo cha Tanzania kuwa hapa ilipo hata baada ya miaka 50 ya Uhuru! Chanzo cha haya yote ni utawala wa Nyerere ingawaje wapo wasiotaka ukweli huu usemwe na kwamba yeyote atakayesema basi mtu huyo ana chuki na Nyerere!!! Mbaya zaidi, wapo wengine ambao wanafikia kiwango cha juu kabisa cha kushindwa kuficha upumbavu wao kwa kudai eti "Nyerere anachukiwa kwavile ni Mkristo!" RABISH!
Kiuhalisia kabisa, hivi sasa Kenya wapo kwenye second phase ya maendeleo yao. First phase, walishaifanya soon after uhuru wa nchi yao. Wakati wenzetu walianza mapema baada ya Uhuru, Tanzania ikatumia kipindi hicho katika kujishughulisha na ya wenzetu kwa kile tulichoita Kuhakikisha Ukombozi wa Afrika!!
Hata kama hilo nalo si jambo la kubeza, lakini tulitumia raslimali nyingi mno katika suala hilo. Mbaya zaidi, suala la Ukombozi Kusini mwa Afrika tulilisimamia vizuri zaidi kuliko tulivyoweza kuyasimamia mambo yetu wenyewe! Kwani, ingawaje utawala wa Nyerere ulijitahidi kufanya uwekezaji hapa nchini, lakini bado utawala huo ulishindwa kabisa kusimamia yale iliyoyaanzisha!!
Utawala wa Nyerere ulikuwa very efficiency katika kusimamia suala la ukombozi lakini ulikuwa very poor katika kusimamia mambo yake yenyewe! Matokeo yake, nchi ikageuka kuwa omba omba wa aibu, yaani hadi kufikia kuomba omba chakula na kuishia kuletewa hadi mahindi ya njano yanayosemekana yalikuwa ni chakula cha mifugo huko yalikotoka!
Wakati sie tukiitumia first phase kwa staili hiyo, wenzetu Kenya wakajikita kujenga uchumi wao! Wakatumia every available opportunity (including human resources, entrepreneurs) katika kujenga uchumi wao!! Wakajenga mashule, vyuo, viwanja vya ndege, barabara and almost every possible and necessary infrastructure. Pamoja na ugonjwa wa ufisadi uliopo in almost every African Country, lakini bado Kenya waliweza kuyasimamia waliyoyaanzisha; jambo ambalo sie lilitushinda!
Baada ya Nyerere kuondoka madarakani 1985, ndipo Tanzania ikaanza kufanya kile ambacho ilitakiwa kifanywe 20 years back!! And in fact, real move ikaanza baada ya Mkapa kuingia madarakani in 1995; huku ikiwa imeshapita zaidi ya miaka 30 ya uhuru! Kila ambacho Mkapa alijaribu kukifanya, tayari Wakenya walikuwa wameshakifanya more than 20 years back!!
Watu leo hii wanajaribu kudhihaki Treni ya Mwakyembe kwavile tu Kenya wamezindua Treni ya kisasa zaidi! So what did you expect?! Haya yanayofanywa na Mwakeymbe leo hii yalikuwa yawe yamefanyika more than 20 years back!
Ingekuwa ni kichekesho leo hii kufikiria kuwa na treni za kisasa kabisa wakati hata barabara za kupita magari ya kawaida hamna!! Itakuwa ni kichekesho kuwa na Super Highway wakati hata ordinary roads ambazo zilitakiwa kujengwa zaidi ya miaka 30 iliyopita bado hamna!
So, tu cut story short, haya yaliyopo sasa ni matunda ya sera za Nyerere! Wakati Kenya ipo kwenye second phase, or innovation phase, sie ndo kwanza tunaanza! Hata hivyo, am very sure kwamba, sooner or later tuna kila sababu ya kuiacha Kenya.
NasDaz What I see here is poor analysis na hapo sijui nawezaje kukusaidia maana unaandika vitu vingi ambavyo haviko correlative na thread maana badala ya kutuambia kwanini Kenya ipo pale ilipo wewe unatuletea historia na bado unataka tuwe vilema na watumwa wa historia. Nimekwambia with precion certainity kwamba je, Nyerere aliweka social and economic overhead capital au la? Hutaki kujibu lakini unatulazimisha kuwa hakuweka misingi ya uchumi. Misingi yako nini? What is your empirical analysisto back your argument? All you have ended up beating about a bush. Tumekupa misingi ya kama mabwawa ya kuzalisha umeme wewe unasema watu wangapi walikuwa wanatumia umeme. Nafikiri hujui mu;tiplier's effecet. Unatakiwa kuanzia hapo ili ujenge hoja yenye mashiko. Ulitaka Nyerere aongeze population iendane na overheads alizoweka? Poor thinking. Yeye aliona miaka mingi mbele 30 ndio maana akajenga mabwawa ya kuzalisha umeme na viwanda zaidi ya 400. Si kweli vilikuwa havizalishi. General tyre ilikuwa inauza matairi South of the Sahara mpaka utawala wa Mwinyi ulipoinyongonyeza na wengine waliofuata wakaizika. Sasa kama kilikuwa kinasewrve internal market and external hiyo inafanya kuwa hakikuwa efficient? Unaniambia kulikuwa na magari mangapi. Kwanza hoja sio magari mangapi na wala hakuna nayesema uwepo wa magri mengi is indicator of economic development. Kukua kwa uchumi ni indicators zake au nimekwambia economic/social overheads capital ambazo wakati wa Mwalimu zilikuamong wepo na zilikuwa tangible. Waliofuta wakaua. Zilizosalia kama Sigara, TBL, Urafiki Textile, Bandari na vingine vichache walipobinafsisha ndivyo wanavitumia kutamba kuwa ubinafsishaji una manufaa. Oh! Kumbe. Msingevikuta mgeuza nini?
Na jingine unaitumia mno Kenya. Kenya tunayoisifia ni Kenya ya kina Kibaki na yeye anasema he wants to leave two legacies sustainable economic growth and vibrant infrastructure among others. Sio wewe unatuambia radio na television and for your information simu, television na computer ni infant developments na ndio maana kuziweka kama maendeleo ni miaka ya 2000 ndio sekta hizi zimeanza kuchangia katika maendeleo ya mataifa mbalimbali. Chukua angalizo.
Lingine narudia misafara ya bidhaa-consumer goods ni propaganda kwa wale wanaotaka kutuaminisha kinyume na "one swallow does not make summer". Tatu kumfanya Nyerere kuwa persona issue you have said as I have nothing to gain ukimsema vibaya au vizuri. Cha msingi na naendelea kusisitiza don't blaime your failures to the dead. What have you done. Your stance that Nyerere took us 20 years behind, what is your benchmark.You can't build your phenomenology without logic system of positive philosophies, ideas and framework
mwehu mwandamizi wewe.bado nyerere anatawala?
NasDaz,
..nakubaliana na mtazamo wa Bigaraone kwamba tunafanya makosa kumlaumu Nyerere kwa matatizo yetu ya sasa ya kiuchumi.
..tusipokuwa makini hata Congo-Kinshasa watatupita kiuchumi huku tumebaki kumlaumu Nyerere.
..Mozambique ambao walipata uhuru mwaka 1975 na uchumi wao uliharibiwa na civil war sasa hivi wako sawa na sisi, au wametuzidi.
..juzi nimesikia Waziri Kigoda akidai kwamba sasa hivi tuna viwanda 700+.
..sasa kila Raisi baada ya Nyerere angejenga viwanda 400, leo hii tungekuwa na walau viwanda 1200.
..Nyerere alijenga UDSM, Muhimbili, na Sokoine univ-- vyuo vikuu 3. sasa kila Raisi baada yake angejenga vyuo vikuu 3 leo hii Tanzania ingekuwa na vyuo vikuu 12 vya taifa[state universities].
..kwenye suala la miradi ya umeme nalo ni hivyo hivyo. kila Raisi baada ya Nyerere angekuja na mradi mkubwa wa umeme kama ule wa Mtera leo hii kusingekuwa na matatizo ya umeme.
..
Kuendelea kumlaumu Nyerere sidhani kama panatoa mwanga wa kutupatia suluhisho la matatizo yetu kama nchi. Rwanda imepiga hatua sana licha ya changamoto ya vita, Tanzania ingeweza kuwa mabli sana kama hao viongozi wa baada ya Nyerere wangesimama kwenye nafasi zao.