mathewa
JF-Expert Member
- Sep 5, 2012
- 784
- 1,180
Nazdas
kusema kuwa matatizo tuliyonayo leo yamesababishwa na nyerere unakuwa unakosea.
Kwanza kipindi cha nyerere kulikuwa na viwanda vingi sana ambavyo waliofuata walishindwa kuviendeleza.
Kipindi cha nyerere thaman ya shiling ya tanzania ilikuwa iko juu tofauti na sasa.
Tatizo la tz sio nyerere bali ni ubinafsi wa viongozi wetu walioshindwa kuendeleza msingi mzuri alioacha nyerere. Viwanda walivyobinafsisha vingi havifanyi kazi. Wameingia mikatabaa ya kifisadi tu, watu wananunua mashirika ya umma halafu wanang'oa mashine wanauza kiwanda wanafufunga. Nyerere aliweza kujenga reli ya tazara lakini mpaka leo waliomfuatia wameshindwa kujenga reli nyingine mpya na zilizokuwepo wanaziua
kusema kuwa matatizo tuliyonayo leo yamesababishwa na nyerere unakuwa unakosea.
Kwanza kipindi cha nyerere kulikuwa na viwanda vingi sana ambavyo waliofuata walishindwa kuviendeleza.
Kipindi cha nyerere thaman ya shiling ya tanzania ilikuwa iko juu tofauti na sasa.
Tatizo la tz sio nyerere bali ni ubinafsi wa viongozi wetu walioshindwa kuendeleza msingi mzuri alioacha nyerere. Viwanda walivyobinafsisha vingi havifanyi kazi. Wameingia mikatabaa ya kifisadi tu, watu wananunua mashirika ya umma halafu wanang'oa mashine wanauza kiwanda wanafufunga. Nyerere aliweza kujenga reli ya tazara lakini mpaka leo waliomfuatia wameshindwa kujenga reli nyingine mpya na zilizokuwepo wanaziua