Kwanini kauli zake sio za kweli?

Kwanini kauli zake sio za kweli?

"Soko la tarime litajengwa kabla ya huu mwaka kuisha" kassim majaliwa September mwaka Jana wilayani Tarime. Sahivi n November ya mwaka mwingine eneo hilo limegeuka open space .
 
Huyu haaminiki, kumbuka alimwacha mgonjwa akiwa mahututi wodini Dar akaenda kuhamasisha kilimo cha parachichi Njombe
Haa Haa
Umepiga Mshono Vibaya Mno Haaminiki Kabisa
Unataka Kumuona Rais Magomeni? Haa
 
"Soko la tarime litajengwa kabla ya huu mwaka kuisha" kassim majaliwa September mwaka Jana wilayani Tarime. Sahivi n November ya mwaka mwingine eneo hilo limegeuka open space .
Zote Kauli Zake! Haa
 
"Soko la tarime litajengwa kabla ya huu mwaka kuisha" kassim majaliwa September mwaka Jana wilayani Tarime. Sahivi n November ya mwaka mwingine eneo hilo limegeuka open space .
Mwendo kasi SGR itaanza kuoperate July 2021
 
Ni janga kama majanga mengine kwenye Taifa langu ambalo viongozi wengi wao hawana dira kwa wananchi wao
 
Huyu tokea ile siku alosimama msikitini tena pale mbele anaposimama shehe kusalisha sina imani na kauli zake tena.
Wanasiasa ni bora muwe mnasema uongo kwenye majukwaa ya siasa lakini sio kwenye nyumba za ibada.
 
Ni pale anaposema msiwasikilize wapotoshaji halafu kwa mbaaaaaaaaali namsikia JPM akinena achana na CHANJO
 
Back
Top Bottom