Kwanini katika Nchi zote Afrika, ni Kenya tu!

Kwanini katika Nchi zote Afrika, ni Kenya tu!

Kwa nini unasema mshindani wetu mkubwa ni Kenya? kivipi?
Nijuavyo mimi Bandari yetu hutumiwa (zaidi) na Nchi za Zambia, Malawi, Kongo, Burundi na Rwanda na hii ni kwa sababu za Kijiografia na sasa hivi Zambia na Malawi wanataka kuhamia Beira Msumbiji pale Miundo mbinu yote itakapo kamilika, kama bado haijakamilka hivyo anayekula Ugali wetu hapa kwenye upande wa Bandari ni Beira (Msumbiji) na SIYO Mombasa, kwa maana tunagawana wateja wa Malawi na Zambia, sasa Kenya tunagawana wateja gani? Momabsa wateja wao wakuu ni Uganda na Sudani na labda Ethiopia!

Kumbuka hapo naongelea Mizigo yenye Ujazo mkubwa na SIYO kufurushi kimoja kimoja!
Na kwa nini tusiweze kushindana au kuwa na Malengo ya kuwa na Bandari kama Durban au Djibouti? ukichukulia Durban ni Bandari Bora Afrika kama moja ya Bora Duniani?

Lazima ujipime najirani yako bwana
 
In terms of efficiency and performance Kenya wapo juu. Kwa mfano kwenye sector ya bandari kufanya clearing Mombasa it takes only 3 days lakini bandari ya Dar it takes over 3 weeks kwa nn tusitafute kufanya kama wao? Kwenye sector ya anga tayari Kenya wameleta Boeing Dreamliners kwa Africa nzima zipo Kenya na Ethiopia tu sisi Tanzania hata jumbo jets hatuna kwa nn tusijipime nao? Mounding mbinu kwa aliye tembea kenya atakubaliana nami angalia the Thika super highway Tanzania hakuna kitu kama hicho. Leo hii angalia hata ile uchumi supermarket pale quality centre ni wakenya hao na sasa hivi wamechukua na eneo la shoprite pale kariakor wanafungua Nakumatt shopping malls wakenya hao kwa nn tusijipema nao?
 
Hivi ni kwanini ktk nchi zooote barani Afrika zaidi ya 50, Watz wengi hupenda kujipima na kujilinganisha na Kenya tu?
Na hii ni kuanzia Viongozi mpaka Wananchi yaani kwa mfano kuna nchi nyingi sana Afrika ambazo zinaizidi Nchi yetu kiuchumi kwamba zina Uchumi mkubwa kuliko wetu, sasa ni kwa nini tuwe tunajilinganisha na Kenya tu?

Hata kwenye malengo ya Nchi utasikia Viongozi (wetu) mwaka fulani tutaipita Kenya, hata kama tukijenga Kiwanja cha mpira utasikia ni kikubwa AM nzima (na hapo wanamaanisha nchi mbili tu UG na hasa Kenya), hata kama ni ukumbi wa Disko tu utasikia ni mkubwa hata Kenya hamna, kwanini tusiseme hiki Kiwanja ni kikubwa Afrika Nzima?


Hata kwenye bandari lengo ni kuizidi Bandari ya Mombasa tu, sasa kwanini isiwe kuwa na Bandari kubwa na yenye ufanisi kushinda zote Afrika nzima? yaani tushindane na Beira, Durban, Djibouti n.k ni kwa nini Kenya tu?

Ukija kwenye Reli ni hivyo Mshindani na wakujilinganisha naye ni Kenya tu! Kwanini isiwe Kongo, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Ethiopia n.k

Ukija kwenye Utalii ni hivyo hivyo lengo SIYO kupata watalii wengi kuliko nchi zote Afrika, hapana bali ni kuwa na Watalii wengi kuliko Kenya, sasa ni kwanini? Kwa nini Siyo lkuliko Zimbabwe au AK au Misri?

Kuna anaye jua sababu hasa, ni kwa nini Kipimo chetu ni Kenya tu? Na je kama tukifanikiwa kuwazidi Kenya Kiuchumi, tutakuwa tumefanikiwa nini hasa?

Kwa Sababu Kenya imeizidi Kiuchumi na kimaendeleo Tanzania ndio maana kila kitu tukisema tunafananisha na majirani zetu wa Kenya. Tusipojifananisha na nchi jirani ya Kenya tutajifananisha na nchi gani?
 
i agree 100%, public participation is vital. But this guy is saying that huko kenya hata a bar maid, or bus conductor works strategically towards achieving that vision 2030 of theirs. When i ask how role does a bar maid or a shoe shiner plays in achieving the 2030 targets, that's when it gets interesting.

Man, you can do better than this, I've debated with Tanzanians and I can tell between idiotic debaters with nothing but empty political rhetoric against intelligent and well exposed individuals. jMali am sure you can do better, I've seen you debate elsewhere, you're damn good.
 
Last edited by a moderator:
tz kuna zaidi ya bandari 5 sema ufisadi tu¡-
cheki baazi ya bandari zilizopo tz bagamoyo tanga dsm mtwara na zanzibari tupewe nn sisi jamani
 
Wakenya ndio wenye kelele, kwani umezisikia nchi nyingine zikipiga kelele. Wao ndio wanajiona wanaweza kutusumbua, tunachofanya ni kujibu tu. Wewe huoni Uchumi wa Ethiopia ni mkubwa kuliko hata wa kenya lakini husikii waethiopia wakitupigia kelele?
i have always envied these two economies (Kenya and Ethiopia) which are largely based on agriculture (the hard way in my opinion) but still manage to be a force in africa.
Ethiopia seems to have a slight advantage over Kenya given its staggering population of about 90 million souls, which is more than double that of Kenya at 41 million, given that GDP is calculated as the population times market value of the goods and services produced per person in the country.
Ethiopia covers an area twice that of Kenya (about 1.1 million and 580,000sqkm respectively) with a 13% arable land in Ethiopia and 9.5% in Kenya.
My take is that these two economies has held up pretty good, not really in the league of oil producing countries (the easy way) but somewhere in-between.
 
i agree 100%, public participation is vital. But this guy is saying that huko kenya hata a bar maid, or bus conductor works strategically towards achieving that vision 2030 of theirs. When i ask how role does a bar maid or a shoe shiner plays in achieving the 2030 targets, that's when it gets interesting.
I think what he meant was that everyone is playing their little part, just like that tiny brick in a skyscraper.
 
ni kwasababu ndie jirani yetu pekee aliyetuzidi, ndio kipimo cha karibu cha ushindani. Mfano: bandari ya mombasa inashindana na bandari zetu hapa EAC, hakuna zingine, hatuwezi kushindana na Durban au Djibouti. Siku zote unashindana na jirani yako, ndio maana hata Nduli Kagame anadai eti "angekuwa na bandari ya Dar.....", kwa nini asiseme bandari ya Durban?

Looh! Kagame naye kumbe ni nduli! Umenikumbusha mbali enzi za 'Joka, Joka hilo liliingia chumbani, likameza kila kitu Amini sasa ...'
 
I think what he meant was that everyone is playing their little part, just like that tiny brick in a skyscraper.

I think they play their role through providing quality services to the customers and paying tax as well!
 
wakenya wali fanya dhuluma nyingi tz na mpaka sasa bado hufanya.
Lakini bado hawajafanikiwa kuirudisha ntz nyuma kama wanavyotaraji.
 
Hivi ni kwanini ktk nchi zooote barani Afrika zaidi ya 50, Watz wengi hupenda kujipima na kujilinganisha na Kenya tu?
Na hii ni kuanzia Viongozi mpaka Wananchi yaani kwa mfano kuna nchi nyingi sana Afrika ambazo zinaizidi Nchi yetu kiuchumi kwamba zina Uchumi mkubwa kuliko wetu, sasa ni kwa nini tuwe tunajilinganisha na Kenya tu?

Hata kwenye malengo ya Nchi utasikia Viongozi (wetu) mwaka fulani tutaipita Kenya, hata kama tukijenga Kiwanja cha mpira utasikia ni kikubwa AM nzima (na hapo wanamaanisha nchi mbili tu UG na hasa Kenya), hata kama ni ukumbi wa Disko tu utasikia ni mkubwa hata Kenya hamna, kwanini tusiseme hiki Kiwanja ni kikubwa Afrika Nzima?


Hata kwenye bandari lengo ni kuizidi Bandari ya Mombasa tu, sasa kwanini isiwe kuwa na Bandari kubwa na yenye ufanisi kushinda zote Afrika nzima? yaani tushindane na Beira, Durban, Djibouti n.k ni kwa nini Kenya tu?

Ukija kwenye Reli ni hivyo Mshindani na wakujilinganisha naye ni Kenya tu! Kwanini isiwe Kongo, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Ethiopia n.k

Ukija kwenye Utalii ni hivyo hivyo lengo SIYO kupata watalii wengi kuliko nchi zote Afrika, hapana bali ni kuwa na Watalii wengi kuliko Kenya, sasa ni kwanini? Kwa nini Siyo lkuliko Zimbabwe au AK au Misri?

Kuna anaye jua sababu hasa, ni kwa nini Kipimo chetu ni Kenya tu? Na je kama tukifanikiwa kuwazidi Kenya Kiuchumi, tutakuwa tumefanikiwa nini hasa?




uwezo wetu wa kufikiri umeishia hapo.
 
Kenyans Are Very Arrogant By Nature.Ni Watu Wapendao Kujitapa Na Kuwananga Watz Kwa Majina Mengi, Hii Imeleta Hofu Na Kutojiamin Kwa WTz.
 
Mawazo mafupi tu mkuu. Kama unapiga TZ 11 unatamani uwe na baiskeli kama jirani yako. Haiji kichwani kwamba kuna watu wana magari
 
The question is superfluosly founded and colloquially phrased.
 
Kwa muono wangu mimi kenya ni nchi ambayo imewekeza zaidi kuliko nchi ziningine Tanzania na Tunashabiana kwa mambo mengi sana na ndio maana watu wengi hupenda kufanya mlinganisho wa mambo kadha wa kadha na kenya .
 
Wakenya ndio wenye kelele, kwani umezisikia nchi nyingine zikipiga kelele. Wao ndio wanajiona wanaweza kutusumbua, tunachofanya ni kujibu tu. Wewe huoni Uchumi wa Ethiopia ni mkubwa kuliko hata wa kenya lakini husikii waethiopia wakitupigia kelele?
Nina wasiwasi kwamba kweli uchumi wa Ethiopia ni mkubwa kuliko wa Kenya. Lakini hata hivyo, mimi ninaamini kwamba bandari ya Bagamoyo haijengwi kwa lengo la kuipiku Mombasa, bali ni kwasababu ya biashara ya gesi kati ya wachina na watz.
 
Back
Top Bottom