Kwanini katika Nchi zote Afrika, ni Kenya tu!

Kwanini katika Nchi zote Afrika, ni Kenya tu!

I like your 2 cent analysis. so in 15 years other EA countries will be sleeping as tz becomes a "superpower". kichekesho hichi. I hope ndoto ikiisha you will come down to earth.

What are you gonna do catching up the race? We still have alot to exhaust than what you have.
 
Kwasababu Kenya ni manyang'au ha ha ha ha ha.
 
When China surpassed Taiwan, Taiwan didn't cease to be a developed country, so when Tanzania becomes EA biggest Economy it won't be because of anything under Kenya Control, the fact that you think, it's in anyways related to Kenya, is giving yourself more importance than there is really.

Only time Kenya is a major factor in TZ development is when you post that in JF and really believe that to be the case.How naive.

eti tz potential waiting to happen, my foot!!!!!!!!!!!!!!! tumechoka na hiki kistory mwenyewe mleta mada anajiuliza mbona nyie tz kipimo chenu kenya. sina wakati kupoteza pitia pitia JF rudi uniambie mtz kama hakuyasemea ya kenya kama usingizi atapata usiku huo!!!!!
 
Sasa, wewe uko darasa la kwanza shule ya msingi idete, unataka kushindana ukwanza na mwingine alioko darasa la kwanza ila mguruhati?
Unankumbusha nilishikaga upili darasa la 5 na mdogo wangu nae akawa wa 2 darasa la 3. Dogo mmoja akapayuka assembly WAMEIGILIZIANA!!
 
Hivi ni kwanini ktk nchi zooote barani Afrika zaidi ya 50, Watz wengi hupenda kujipima na kujilinganisha na Kenya tu?
Na hii ni kuanzia Viongozi mpaka Wananchi yaani kwa mfano kuna nchi nyingi sana Afrika ambazo zinaizidi Nchi yetu kiuchumi kwamba zina Uchumi mkubwa kuliko wetu, sasa ni kwa nini tuwe tunajilinganisha na Kenya tu?

Hata kwenye malengo ya Nchi utasikia Viongozi (wetu) mwaka fulani tutaipita Kenya, hata kama tukijenga Kiwanja cha mpira utasikia ni kikubwa AM nzima (na hapo wanamaanisha nchi mbili tu UG na hasa Kenya), hata kama ni ukumbi wa Disko tu utasikia ni mkubwa hata Kenya hamna, kwanini tusiseme hiki Kiwanja ni kikubwa Afrika Nzima?


Hata kwenye bandari lengo ni kuizidi Bandari ya Mombasa tu, sasa kwanini isiwe kuwa na Bandari kubwa na yenye ufanisi kushinda zote Afrika nzima? yaani tushindane na Beira, Durban, Djibouti n.k ni kwa nini Kenya tu?

Ukija kwenye Reli ni hivyo Mshindani na wakujilinganisha naye ni Kenya tu! Kwanini isiwe Kongo, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Ethiopia n.k

Ukija kwenye Utalii ni hivyo hivyo lengo SIYO kupata watalii wengi kuliko nchi zote Afrika, hapana bali ni kuwa na Watalii wengi kuliko Kenya, sasa ni kwanini? Kwa nini Siyo lkuliko Zimbabwe au AK au Misri?

Kuna anaye jua sababu hasa, ni kwa nini Kipimo chetu ni Kenya tu? Na je kama tukifanikiwa kuwazidi Kenya Kiuchumi, tutakuwa tumefanikiwa nini hasa?


Rushwa kwao ipo kwa asilimia ndogo ukilinganusha na hapa kwa MAGAMBA
 
kijakazi wa II ukitoka kujiuliza juu ya tz dhidi ya kenya,pia jiulize kwani USA hujilinganisha ktk kila jambo na Russia au china?.ni hizo nchi mbili tu,why?.
 
Last edited by a moderator:
umemaliza mkuu,tumeoleana na pia tunaongea lugha moja kwa kiasi kukubwa kushinda majirani zetu wote waliotuzunguka.

CC lawmaina78

Duh! asante kwa kuniita huku mkuu. Post kama hizi niwe nakua tagged hata kabla haijaanza. Haya sasa wacha nisome comments zote na kutoa msimamo wangu.
 
Tanzania ingekuwa na watu kumi wanaojiuliza maswali kama muanzisha mada, jameni ingekua mbali sana kiuchumi. Nimekua Bongo na kuona uwezo wake, uwezo wa kuwa nchi bora Afrika. Lakini hili la kuona Kenya katika kila hatua ndio tatizo kubwa. Nimeona hadi hata kwenye blogs za viongozi wenu, Kenya inatajwa sana zaidi hata ya Tanzania yenyewe.

Jameni kama taifa inafaa muwe na maono na malengo yenu yaliyoelekezwa mbali. Sisi Kenya tume elekeza maono yetu yote kwenye vision2030, ambayo kila Mkenya anahamasishwa kuielewa tena kwa undani. Inafunzwa hadi vyuoni. Huwezi pata kazi inayohusu usimamizi kwenye sekta yoyote Kenya bila kuhojiwa uelewa wako wa hii vision. Unakuta tunaongea kuihusu hadi kwenye bar tukinywa mabia. Makampuni yote yameelekeza maono yao kulingana na ono hili la taifa.

Sasa ingia Bongo, Tanzania inayo TDV vision 2025. Fanya utafiti tu kwa watu watano, usiende Mazense, bali tafuta wasomi na jamaa waliotulia Mikocheni n.k. halafu waulize swali rahisi tu kila mmoja kivyake, kwamba akutajie nguzo tano za hiyo vision 2025 ya nchi, watakushangaa sana. Haya muulize swali lingine labda kuhusu miundo mbinu, kwanza ataanza na bandari inayojengwa ya Bagamoyo, na jinsi hio bandari itakavyofunika yetu ya Mombasa. Hamna lengo lingine la maana zaidi ya vile Tanzania itaipita Kenya.

Ieleweke Kenya hata kama tunashindana na ninyi kiaina, malengo yetu hayahusiani na ninyi. Tunafahamu changamoto tunazo, nchi yetu ni ndogo na nusu yake ni kame tupu tofauti na yenu yenye rotuba kila sehemu. Lakini tunajituma bila kupoteza muda wa kulalamika kuhusu mapungufu yetu.

Kwa wale kama akina Kimweri na JokaKuu huimba kila siku kuhusu bandari ya Bagamoyo na jinsi itaimaliza Kenya, waelewe mipango yetu haihusiani kabisa na ushindani wa hiyo bandari. Kuna hata uwezekano mkubwa Wakenya tutanufaika sana na kwa kuitumia hiyo bandari ya Bagamoyo.

Sasa mipango yetu iko kama hivi
- Tunatengeneza bandarri ya Lamu kwa nia ya kutumika na Kenya, South Sudan and Ethiopia.
- Bandari ya Mombasa tayari tunaiyachia Uganda na kaskazini mwa DRC.
- Bandari ya Lamu ina miradi minginine ndani yake kama bomba za mafuta, Reli, Barabara kuu, resort city(isiolo), power lines fiber optic cables kati ya Kenya, Ethiopia, Uganda na South sudan.
- Kuna uwekano mkubwa wa kuunganisha bandari ya Lamu hadi Cameroon na atlantic ocean. Hiyo itatuwezesha kufuatilia mizigo ya West African ambayo inazunguka cape of good hope kutoka Uchina na Asia. Ongezea Kenya airways ambayo mipango yake ni kuwa indispensable logistics hub for east and central africa.




Bandari ya Bagamoyo labda itashindana na Durban. na ukiunganisha uwezo wake na wa Mombasa na Lamu hadi na hata ya Dar, Afrika Mashariki itakua eneo muhimu sana
 
Last edited by a moderator:
Tanzania ingekuwa na watu kumi wanaojiuliza maswali kama muanzisha mada, jameni ingekua mbali sana kiuchumi. Nimekua Bongo na kuona uwezo wake, uwezo wa kuwa nchi bora Afrika. Lakini hili la kuona Kenya katika kila hatua ndio tatizo kubwa. Nimeona hadi hata kwenye blogs za viongozi wenu, Kenya inatajwa sana zaidi hata ya Tanzania yenyewe.

Jameni kama taifa inafaa muwe na maono na malengo yenu yaliyoelekezwa mbali. Sisi Kenya tume elekeza maono yetu yote kwenye vision2030, ambayo kila Mkenya anahamasishwa kuielewa tena kwa undani. Inafunzwa hadi vyuoni. Huwezi pata kazi inayohusu usimamizi kwenye sekta yoyote Kenya bila kuhojiwa uelewa wako wa hii vision. Unakuta tunaongea kuihusu hadi kwenye bar tukinywa mabia. Makampuni yote yameelekeza maono yao kulingana na ono hili la taifa.

Sasa ingia Bongo, Tanzania inayo TDV vision 2025. Fanya utafiti tu kwa watu watano, usiende Mazense, bali tafuta wasomi na jamaa waliotulia Mikocheni n.k. halafu waulize swali rahisi tu kila mmoja kivyake, kwamba akutajie nguzo tano za hiyo vision 2025 ya nchi, watakushangaa sana. Haya muulize swali lingine labda kuhusu miundo mbinu, kwanza ataanza na bandari inayojengwa ya Bagamoyo, na jinsi hio bandari itakavyofunika yetu ya Mombasa. Hamna lengo lingine la maana zaidi ya vile Tanzania itaipita Kenya.

Ieleweke Kenya hata kama tunashindana na ninyi kiaina, malengo yetu hayahusiani na ninyi. Tunafahamu changamoto tunazo, nchi yetu ni ndogo na nusu yake ni kame tupu tofauti na yenu yenye rotuba kila sehemu. Lakini tunajituma bila kupoteza muda wa kulalamika kuhusu mapungufu yetu.

Kwa wale kama akina Kimweri na JokaKuu huimba kila siku kuhusu bandari ya Bagamoyo na jinsi itaimaliza Kenya, waelewe mipango yetu haihusiani kabisa na ushindani wa hiyo bandari. Kuna hata uwezekano mkubwa Wakenya tutanufaika sana na kwa kuitumia hiyo bandari ya Bagamoyo.

Sasa mipango yetu iko kama hivi
- Tunatengeneza bandarri ya Lamu kwa nia ya kutumika na Kenya, South Sudan and Ethiopia.
- Bandari ya Mombasa tayari tunaiyachia Uganda na kaskazini mwa DRC.
- Bandari ya Lamu ina miradi minginine ndani yake kama bomba za mafuta, Reli, Barabara kuu, resort city(isiolo), power lines fiber optic cables kati ya Kenya, Ethiopia, Uganda na South sudan.
- Kuna uwekano mkubwa wa kuunganisha bandari ya Lamu hadi Cameroon na atlantic ocean. Hiyo itatuwezesha kufuatilia mizigo ya West African ambayo inazunguka cape of good hope kutoka Uchina na Asia. Ongezea Kenya airways ambayo mipango yake ni kuwa indispensable logistics hub for east and central africa.




Bandari ya Bagamoyo labda itashindana na Durban. na ukiunganisha uwezo wake na wa Mombasa na Lamu hadi na hata ya Dar, Afrika Mashariki itakua eneo muhimu sana



1. Naomba unisaidie kitu kimoja, huko kwenu kenya mwenye kazi ya kuimplement national vision ni nani? mkenya wa kawaida role yake ni nini katika hiyo vision 2030? mfano mwalimu wa shule ya msingi, kondakta wa matatu, juakali, etc, what are their roles? Maana unasema wasomi wetu Tanzania hawafahamu vision 2025, may be so, but daktari anayefanya muhimbili, au engineer wa barabara akishajua mikakati ya vision 2025 yeye atafanya nini? how does he participate in that? Hizi "visions" anaye-implement ni nani? serikali? au ordinary kenyan citizens? mkishaongelea vision 2030 kwenye baa, halafu?

2. Tanzania haifanyi mipango yake kwa kushindana na kenya. Tofautisha kujilinganisha na kushindanisha. Mfano: hatujengi bandari alimradi tu ili iwe kubwa kuliko kenya, halafu tujisifie kuwa bandari yetu ni kubwa kuliko kenya. tunajenga kwa malengo yetu. lakini tukishajenga au wakati tunajenga si mbaya kama tutalinganisha na ukubwa wa bandari ya kenya.

cc: Ngongo JokaKuu
 
Last edited by a moderator:
1. Naomba unisaidie kitu kimoja, huko kwenu kenya mwenye kazi ya kuimplement national vision ni nani? mkenya wa kawaida role yake ni nini katika hiyo vision 2030? mfano mwalimu wa shule ya msingi, kondakta wa matatu, juakali, etc, what are their roles? Maana unasema wasomi wetu Tanzania hawafahamu vision 2025, may be so, but daktari anayefanya muhimbili, au engineer wa barabara akishajua mikakati ya vision 2025 yeye atafanya nini? how does he participate in that? Hizi "visions" anaye-implement ni nani? serikali? au ordinary kenyan citizens? mkishaongelea vision 2030 kwenye baa, halafu?

2. Tanzania haifanyi mipango yake kwa kushindana na kenya. Tofautisha kujilinganisha na kushindanisha. Mfano: hatujengi bandari alimradi tu ili iwe kubwa kuliko kenya, halafu tujisifie kuwa bandari yetu ni kubwa kuliko kenya. tunajenga kwa malengo yetu. lakini tukishajenga au wakati tunajenga si mbaya kama tutalinganisha na ukubwa wa bandari ya kenya.

cc: Ngongo JokaKuu

- Na anza na kukujibu hilo la bandari ya Bagamoyo. Hakuna sehemu nimesema inajengwa kwa ajili ya ushindani dhidi ya Kenya. JK ana mipango mizuri kwa ajili ya nchi yenu, tatizo ni wengi wenu bado hamjaingiana na mipango yenyewe. Unakuta wengi wenu mnaangalia bandari kwa kiushindani zaidi ya umuhimu wake kiuchumi Tanzania na EAC yote Kenya ikiwemo.
- Sasa nikujibu hilo la vision 2030, wengi wetu tumeisoma ndani na nje, na kujadili na kulainisha mipango yetu binafsi kuambatana na malengo na maono yaliopo kwenye vision 2030. Wengi tayari tumeshajitafutia sehemu ambapo majukumu yetu yatafanikisha shughuli yote. Na kila siku tunajipima dhidi ya malengo haya.

Sawa dereva wa Daladala atakua hajui umuhimu wake katika kufanikisha malengo ya taifa, lakini kwa jinsi moja au nyingine, kazi yake inabadilika kuambatana na hiyo vision. Usafirishaji wa umma upo kwenye vision na mikakati inafanyika
- Mojawapo wa shughuli zinazofanyika katika kuwahusisha wananchi wa kaiwaida kufanikisha ni wengi wanapewa mafunzo upya katika shughuli zao za juakali. Fuatilia sana usome taarifa tayari chuo kimeanzishwa chenye lengo la kuwafundisha wote upya. Kuna mambo mengi yanafanyika kwa ajili ya Vision 2030 na mengi tunakamilisha japo kwa changamoto kibao, hata katiba yetu mpya ni moja tu ya hayo.
 
- Na anza na kukujibu hilo la bandari ya Bagamoyo. Hakuna sehemu nimesema inajengwa kwa ajili ya ushindani dhidi ya Kenya. JK ana mipango mizuri kwa ajili ya nchi yenu, tatizo ni wengi wenu bado hamjaingiana na mipango yenyewe. Unakuta wengi wenu mnaangalia bandari kwa kiushindani zaidi ya umuhimu wake kiuchumi Tanzania na EAC yote Kenya ikiwemo.
- Sasa nikujibu hilo la vision 2030, wengi wetu tumeisoma ndani na nje, na kujadili na kulainisha mipango yetu binafsi kuambatana na malengo na maono yaliopo kwenye vision 2030. Wengi tayari tumeshajitafutia sehemu ambapo majukumu yetu yatafanikisha shughuli yote. Na kila siku tunajipima dhidi ya malengo haya.

Sawa dereva wa Daladala atakua hajui umuhimu wake katika kufanikisha malengo ya taifa, lakini kwa jinsi moja au nyingine, kazi yake inabadilika kuambatana na hiyo vision. Usafirishaji wa umma upo kwenye vision na mikakati inafanyika
- Mojawapo wa shughuli zinazofanyika katika kuwahusisha wananchi wa kaiwaida kufanikisha ni wengi wanapewa mafunzo upya katika shughuli zao za juakali. Fuatilia sana usome taarifa tayari chuo kimeanzishwa chenye lengo la kuwafundisha wote upya. Kuna mambo mengi yanafanyika kwa ajili ya Vision 2030 na mengi tunakamilisha japo kwa changamoto kibao, hata katiba yetu mpya ni moja tu ya hayo.

Huo ni uongo wa mchana mchana. Hizi "visions" dunia nzima zinatekelezwa na serikali sio wananchi wa kawaida. Nenda hata US, china halafu muulize raia wa kawaida if anajua mipango ya Obama ni nini, na nafasi yake katika mipango hiyo ni nini halafu uone atakujibu nini.
Watu pekee wanaotekeleza "visions" na targets za vision ni watendaji serikalini. Hawa ndio ambao kazi zao zinapangiliwa in line with the objectives and time-frame ya vision husika. Hebu niambie wewe kwa mfano: what are your objectives/target zako binafsi this month ambazo ni sehemu ya vision 2030? NOTHING!
Mimi na wewe nafasi yetu ni kuibana serikali itekeleze "vision" ya taifa, na si kuhusika nayo. What a utopian society you have in kenya!
 
Huo ni uongo wa mchana mchana. Hizi "visions" dunia nzima zinatekelezwa na serikali sio wananchi wa kawaida. Nenda hata US, china halafu muulize raia wa kawaida if anajua mipango ya Obama ni nini, na nafasi yake katika mipango hiyo ni nini halafu uone atakujibu nini.
Watu pekee wanaotekeleza "visions" na targets za vision ni watendaji serikalini. Hawa ndio ambao kazi zao zinapangiliwa in line with the objectives and time-frame ya vision husika. Hebu niambie wewe kwa mfano: what are your objectives/target zako binafsi this month ambazo ni sehemu ya vision 2030? NOTHING!
Mimi na wewe nafasi yetu ni kuibana serikali itekeleze "vision" ya taifa, na si kuhusika nayo. What a utopian society you have in kenya!

I will switch to English because Mods insists so, I thought my Swahili was getting better and better it's pity to learn it was the opposite.

Development of this vision was an all-inclusive and participatory stakeholder consultative process, involving Kenyans from all parts of the country.
Every successive regime must align its manifesto towards achieving this vision. A consultative approach was undertaken through workshops with stakeholders from all levels of the public service, the private sector, civil society, the media and NGOs while in rural areas, provincial consultative forums were also held exhaustively throughout the country.
Anyway, you might not be too familiar to concepts of national visions that are non-partisan and apolitical. May be the article from the lady below will open your eyes a little The Citizens Role in Attaining Vision 2030 in KEnya
 
I will switch to English because Mods insists so, I thought my Swahili was getting better and better it's pity to learn it was the opposite. Development of this vision was an all-inclusive and participatory stakeholder consultative process, involving Kenyans from all parts of the country. Every successive regime must align its manifesto towards achieving this vision. A consultative approach was undertaken through workshops with stakeholders from all levels of the public service, the private sector, civil society, the media and NGOs while in rural areas, provincial consultative forums were also held exhaustively throughout the country. Anyway, you might not be too familiar to concepts of national visions that are non-partisan and apolitical. May be the article from the lady below will open your eyes a little The Citizens Role in Attaining Vision 2030 in KEnya
1. By mods you mean moderators or what? 2. Differentiate between coming up with the national vision and implementing it. During formulating the vision ordinary people (tanzanians, kenyans etc), must be consulted of course, but when it comes to implementing it is the gov role not the people anymore. For example if the goal is to build 3450 schools next year, what's mama mboga's role? apart from knowing and talking about it? if ordinary Tanzanians don't have a clue about vision 2025 does that mean our gov is not pursuing it?
 
1. By mods you mean moderators or what? 2. Differentiate between coming up with the national vision and implementing it. During formulating the vision ordinary people (tanzanians, kenyans etc), must be consulted of course, but when it comes to implementing it is the gov role not the people anymore. For example if the goal is to build 3450 schools next year, what's mama mboga's role? apart from knowing and talking about it? if ordinary Tanzanians don't have a clue about vision 2025 does that mean our gov is not pursuing it?

Yes moderators, I think there is a strategy of involving English speakers in the forums.

Ofcourse there is a national delivery secretariat whose purpose is to ensure every project and national en-devours are focused towards achieving the common vision. The secretariat and board comprises of multi-sectoral members drawn form various institutions across the country. We have CEO from Equity Bank, principal secretaries from every ministry, Microsoft Corporation - East & South Africa, Safaricom etc etc goeas to show you it's an ambitious programme.

Everybody is involved in one way or another, devoted teacher at the local school who goes out of her way to prepare our kids for a globally competitive future; that nursing officer who is outstanding in their commitment and devotion to serve humanity; or the innovative entrepreneur whose local project delivers economic growth to the community.

Personally am a software engineer, I don't need to spell out everything am doing as an individual to make Kenya become the preferred destination for outsourcing in Africa, but note that outsourcing has been identified in the Vision 2030 as a key pillar and driver of social and economic improvement through job and wealth creation. But most important thing is, I've a roadmap and milestones to achieve for greater good of the nation and Africa at large.
 
eti tz potential waiting to happen, my foot!!!!!!!!!!!!!!! tumechoka na hiki kistory mwenyewe mleta mada anajiuliza mbona nyie tz kipimo chenu kenya. sina wakati kupoteza pitia pitia JF rudi uniambie mtz kama hakuyasemea ya kenya kama usingizi atapata usiku huo!!!!!

So unachukua sample space ya mleta mada mmoja kwenye website yenye mebers laki moja inayotembelewa na chini ya asilimia 1 ya watanzania wote kama kipimo cha sentiments za watanzania. Unajua combined probability ya hiyo set of events to make any educated assumptions? You must have a very tinny brain, or nothing at all between your ears.

Nothing about TZ economy is rocket science,its an economy growing at a pace of 7+ percentage and predictate to grow at 8+ fo rthe next 10 years. if you are just so-so at math you can find cumulative GDP 10 years later.

If you can't comprehend that, go blame you math teacher for your misery.
 
Tanzania ingekuwa na watu kumi wanaojiuliza maswali kama muanzisha mada, jameni ingekua mbali sana kiuchumi. Nimekua Bongo na kuona uwezo wake, uwezo wa kuwa nchi bora Afrika. Lakini hili la kuona Kenya katika kila hatua ndio tatizo kubwa. Nimeona hadi hata kwenye blogs za viongozi wenu, Kenya inatajwa sana zaidi hata ya Tanzania yenyewe.

Hizi mimi huita yadayada yada, yani wewe kiongozi wa Bongo asimame kwenye jukwaa kuomba kura aanze kuitaja Kenya Ileje,mbinga, narung'ombe,kimanzichana, are you retarteded? Ni lini mtajifunza kuwa echo chamber y akurudia kitu mara kwa mara na uhalisia ni vitu viwili tofauti?hujaona humu ndani kila post inasema CDM inachukua nchi halafu wanaishia kupat amadiwani wawili kati ya 40.wanashinda halmashauri 5 kati ya mia 2, hujifunzi?

Jameni kama taifa inafaa muwe na maono na malengo yenu yaliyoelekezwa mbali. Sisi Kenya tume elekeza maono yetu yote kwenye vision2030, ambayo kila Mkenya anahamasishwa kuielewa tena kwa undani. Inafunzwa hadi vyuoni. Huwezi pata kazi inayohusu usimamizi kwenye sekta yoyote Kenya bila kuhojiwa uelewa wako wa hii vision. Unakuta tunaongea kuihusu hadi kwenye bar tukinywa mabia. Makampuni yote yameelekeza maono yao kulingana na ono hili la taifa.

Sasa ingia Bongo, Tanzania inayo TDV vision 2025. Fanya utafiti tu kwa watu watano, usiende Mazense, bali tafuta wasomi na jamaa waliotulia Mikocheni n.k. halafu waulize swali rahisi tu kila mmoja kivyake, kwamba akutajie nguzo tano za hiyo vision 2025 ya nchi, watakushangaa sana. Haya muulize swali lingine labda kuhusu miundo mbinu, kwanza ataanza na bandari inayojengwa ya Bagamoyo, na jinsi hio bandari itakavyofunika yetu ya Mombasa. Hamna lengo lingine la maana zaidi ya vile Tanzania itaipita Kenya.

Huu ndio upimbi wa kikikuyu, unataka kuleta fiksi kuwa kila mkenya anajua kilichopo kwenye vision 2030 na kukitekeleza.u are very naive.,Huko mlikokopi hizi hadithi za vision ngapi ngapi kwenyewe tu hakuna mwananchi wa kawaida mwenye habari nazo. hizi ni slogan za kwenye makongamano na kitengo cha propaganda tu, kwenye uhamasishaji, kazi ya utekelezaji ni kazi ya watendaji wa serikali husika, sio wananchi. Ndio hizi sampuli za barabara zisipojengwa wanalaumu wananchi wakati wananchi walishatoa kodi zao.

Ieleweke Kenya hata kama tunashindana na ninyi kiaina, malengo yetu hayahusiani na ninyi. Tunafahamu changamoto tunazo, nchi yetu ni ndogo na nusu yake ni kame tupu tofauti na yenu yenye rotuba kila sehemu. Lakini tunajituma bila kupoteza muda wa kulalamika kuhusu mapungufu yetu.

Nashukuru umeliweka hili wazi, vice versa is also true.

Kwa wale kama akina Kimweri na JokaKuu huimba kila siku kuhusu bandari ya Bagamoyo na jinsi itaimaliza Kenya, waelewe mipango yetu haihusiani kabisa na ushindani wa hiyo bandari. Kuna hata uwezekano mkubwa Wakenya tutanufaika sana na kwa kuitumia hiyo bandari ya Bagamoyo.

Sidhani kama kuna anayetaja progress ya bandari ya Bagamoyo bila kuulizwa, huwa mnakumbushwa huu ukweli mchungu pindi mnapou-provoke.Nani aliyekuambia bandari haitanufaisha wakenya?ofcourse itanufaisha ukanda wote wa afrika mashariki ya kati na kusini, pale bandarini hakutakuwa na nationality clause, utaenda utahudumiwa, kama wananchi wa kaskazini ya tanzania wanavyonufaika na bandari ya mombasa.its plain business 101.

Bandari ya bagamoyo haitamaliza kitu chochote, bandari yenu ya mombasa itaendelea kuwepo, just a t a lower level of relevancy.
Sasa mipango yetu iko kama hivi
- Tunatengeneza bandarri ya Lamu kwa nia ya kutumika na Kenya, South Sudan and Ethiopia.
- Bandari ya Mombasa tayari tunaiyachia Uganda na kaskazini mwa DRC.
- Bandari ya Lamu ina miradi minginine ndani yake kama bomba za mafuta, Reli, Barabara kuu, resort city(isiolo), power lines fiber optic cables kati ya Kenya, Ethiopia, Uganda na South sudan.

Unaleta hadithi za optical fibre hujui mtandao wa Optical fibre ni mkubwa kiasi gani TZ?unajenga bandari kwa ajili ya kusafirisha mafuta ambayo hata exploratoin stage hamjavuka?phew..,talk about putting the cart before the horse.
FYI, petrobas spent a few hundred million dollars in Mtwara and they didn't even get commercially viable gas.they have to start again which will take 3-4 years.So, no sane investor will build a pipe based on exploration projections.this is a fit candidate of a PIPE dream.
- Kuna uwekano mkubwa wa kuunganisha bandari ya Lamu hadi Cameroon na atlantic ocean. Hiyo itatuwezesha kufuatilia mizigo ya West African ambayo inazunguka cape of good hope kutoka Uchina na Asia. Ongezea Kenya airways ambayo mipango yake ni kuwa indispensable logistics hub for east and central africa.

Bandari ya Bagamoyo labda itashindana na Durban. na ukiunganisha uwezo wake na wa Mombasa na Lamu hadi na hata ya Dar, Afrika Mashariki itakua eneo muhimu sana

at least you said something that is close to the truth, Bagamoyo and Mombasa ports are incomparable. it's more like comparing Chelsea and Gor Mahia..
 
So unachukua sample space ya mleta mada mmoja kwenye website yenye mebers laki moja inayotembelewa na chini ya asilimia 1 ya watanzania wote kama kipimo cha sentiments za watanzania. Unajua combined probability ya hiyo set of events to make any educated assumptions? You must have a very tinny brain, or nothing at all between your ears.

Nothing about TZ economy is rocket science,its an economy growing at a pace of 7+ percentage and predictate to grow at 8+ fo rthe next 10 years. if you are just so-so at math you can find cumulative GDP 10 years later.

If you can't comprehend that, go blame you math teacher for your misery.

when i am dealing with mental cases kama yako I do not waste my precious time kwani unaitaji rebab. seek some facility you can fit in. when you sober up njoo JF kwa debate na akili timamu. wishing you well with your sickness.
 
Hizi mimi huita yadayada yada, yani wewe kiongozi wa Bongo asimame kwenye jukwaa kuomba kura aanze kuitaja Kenya Ileje,mbinga, narung'ombe,kimanzichana, are you retarteded? Ni lini mtajifunza kuwa echo chamber y akurudia kitu mara kwa mara na uhalisia ni vitu viwili tofauti?hujaona humu ndani kila post inasema CDM inachukua nchi halafu wanaishia kupat amadiwani wawili kati ya 40.wanashinda halmashauri 5 kati ya mia 2, hujifunzi?



Huu ndio upimbi wa kikikuyu, unataka kuleta fiksi kuwa kila mkenya anajua kilichopo kwenye vision 2030 na kukitekeleza.u are very naive.,Huko mlikokopi hizi hadithi za vision ngapi ngapi kwenyewe tu hakuna mwananchi wa kawaida mwenye habari nazo. hizi ni slogan za kwenye makongamano na kitengo cha propaganda tu, kwenye uhamasishaji, kazi ya utekelezaji ni kazi ya watendaji wa serikali husika, sio wananchi. Ndio hizi sampuli za barabara zisipojengwa wanalaumu wananchi wakati wananchi walishatoa kodi zao.



Nashukuru umeliweka hili wazi, vice versa is also true.



Sidhani kama kuna anayetaja progress ya bandari ya Bagamoyo bila kuulizwa, huwa mnakumbushwa huu ukweli mchungu pindi mnapou-provoke.Nani aliyekuambia bandari haitanufaisha wakenya?ofcourse itanufaisha ukanda wote wa afrika mashariki ya kati na kusini, pale bandarini hakutakuwa na nationality clause, utaenda utahudumiwa, kama wananchi wa kaskazini ya tanzania wanavyonufaika na bandari ya mombasa.its plain business 101.

Bandari ya bagamoyo haitamaliza kitu chochote, bandari yenu ya mombasa itaendelea kuwepo, just a t a lower level of relevancy.


Unaleta hadithi za optical fibre hujui mtandao wa Optical fibre ni mkubwa kiasi gani TZ?unajenga bandari kwa ajili ya kusafirisha mafuta ambayo hata exploratoin stage hamjavuka?phew..,talk about putting the cart before the horse.
FYI, petrobas spent a few hundred million dollars in Mtwara and they didn't even get commercially viable gas.they have to start again which will take 3-4 years.So, no sane investor will build a pipe based on exploration projections.this is a fit candidate of a PIPE dream.




at least you said something that is close to the truth, Bagamoyo and Mombasa ports are incomparable. it's more like comparing Chelsea and Gor Mahia..

Reading through your responses just leaves me with a conclusion you're a damn horrible debater, when talking, do you normally spend sometime to listen and understand. Why are you hitting reply button even before reading between the lines properly. You're just good at African sort of politics, this one can tell from most of your posts. I've seen you pounding even a fellow Tanzanian who was attempting to debate with you on facts, you just went berserk with your usual metaphors, until the guy just gave up.
- I talked of politicians blogs, I didn't mention campaigns. Example being this one Imagining Tanzania: 5th largest Economy in Africa and largest in EAC by 2025 | Zitto na Demokrasia
- At no time did I insinuate that every Kenyan has the vision written in hi heart. This is a document mostly popular with middle-class.
- As for fibre cable, before you rush into spewing your ignorance, note am talking about inter-country connectivity. We already have fiber deployed in the country.
 
Back
Top Bottom