Kwanini katika Nchi zote Afrika, ni Kenya tu!

Kwanini katika Nchi zote Afrika, ni Kenya tu!

Kenya wako serious na makini katika mambo yao ya msingi. Wanafanya kazi kwa bidii. Wanatofauti zao na ukabila lakini kwenye mambo ya msingi ya kulijenga taifa lao hawataki mzaha hata kidogo.
Kwa staili hii ya kutoelewa mada waalimu wana kazi.
 
Hivi ni kwanini ktk nchi zooote barani Afrika zaidi ya 50, Watz wengi hupenda kujipima na kujilinganisha na Kenya tu?
Na hii ni kuanzia Viongozi mpaka Wananchi yaani kwa mfano kuna nchi nyingi sana Afrika ambazo zinaizidi Nchi yetu kiuchumi kwamba zina Uchumi mkubwa kuliko wetu, sasa ni kwa nini tuwe tunajilinganisha na Kenya tu?

Hata kwenye malengo ya Nchi utasikia Viongozi (wetu) mwaka fulani tutaipita Kenya, hata kama tukijenga Kiwanja cha mpira utasikia ni kikubwa AM nzima (na hapo wanamaanisha nchi mbili tu UG na hasa Kenya), hata kama ni ukumbi wa Disko tu utasikia ni mkubwa hata Kenya hamna, kwanini tusiseme hiki Kiwanja ni kikubwa Afrika Nzima?


Hata kwenye bandari lengo ni kuizidi Bandari ya Mombasa tu, sasa kwanini isiwe kuwa na Bandari kubwa na yenye ufanisi kushinda zote Afrika nzima? yaani tushindane na Beira, Durban, Djibouti n.k ni kwa nini Kenya tu?

Ukija kwenye Reli ni hivyo Mshindani na wakujilinganisha naye ni Kenya tu! Kwanini isiwe Kongo, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Ethiopia n.k

Ukija kwenye Utalii ni hivyo hivyo lengo SIYO kupata watalii wengi kuliko nchi zote Afrika, hapana bali ni kuwa na Watalii wengi kuliko Kenya, sasa ni kwanini? Kwa nini Siyo lkuliko Zimbabwe au AK au Misri?

Kuna anaye jua sababu hasa, ni kwa nini Kipimo chetu ni Kenya tu? Na je kama tukifanikiwa kuwazidi Kenya Kiuchumi, tutakuwa tumefanikiwa nini hasa?



hata mirungi tunafuata Kenya
 
unapopiga hatua huanzia uliposimama kwenda eneo linalofuata na baadae kuendelea mbele. Kama kuna kikwazo chochote ulipofikia unaangika nacho kwanza ndipo unaendelea. Katika East and Central Afrika Tanzania and Kenya are opening to other enterior country. Kwa hiyo wana competition ya kudominenti enterior opening, ukiacha sababu nyingine .
 
Mgeni pekee aliyekaribishwa kwenye Bunge la katiba kutoa mada alikua Amos Wako!
Hii Kenya isije ikatuwowa !
 
Hivi ni kwanini ktk nchi zooote barani Afrika zaidi ya 50, Watz wengi hupenda kujipima na kujilinganisha na Kenya tu?
Na hii ni kuanzia Viongozi mpaka Wananchi yaani kwa mfano kuna nchi nyingi sana Afrika ambazo zinaizidi Nchi yetu kiuchumi kwamba zina Uchumi mkubwa kuliko wetu, sasa ni kwa nini tuwe tunajilinganisha na Kenya tu?

Hata kwenye malengo ya Nchi utasikia Viongozi (wetu) mwaka fulani tutaipita Kenya, hata kama tukijenga Kiwanja cha mpira utasikia ni kikubwa AM nzima (na hapo wanamaanisha nchi mbili tu UG na hasa Kenya), hata kama ni ukumbi wa Disko tu utasikia ni mkubwa hata Kenya hamna, kwanini tusiseme hiki Kiwanja ni kikubwa Afrika Nzima?


Hata kwenye bandari lengo ni kuizidi Bandari ya Mombasa tu, sasa kwanini isiwe kuwa na Bandari kubwa na yenye ufanisi kushinda zote Afrika nzima? yaani tushindane na Beira, Durban, Djibouti n.k ni kwa nini Kenya tu?

Ukija kwenye Reli ni hivyo Mshindani na wakujilinganisha naye ni Kenya tu! Kwanini isiwe Kongo, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Ethiopia n.k

Ukija kwenye Utalii ni hivyo hivyo lengo SIYO kupata watalii wengi kuliko nchi zote Afrika, hapana bali ni kuwa na Watalii wengi kuliko Kenya, sasa ni kwanini? Kwa nini Siyo lkuliko Zimbabwe au AK au Misri?

Kuna anaye jua sababu hasa, ni kwa nini Kipimo chetu ni Kenya tu? Na je kama tukifanikiwa kuwazidi Kenya Kiuchumi, tutakuwa tumefanikiwa nini hasa?


I respectifully disagree, wanaojilinganisha na Kenya ni wale ambao hata Nje ya EA hawajawahi kwenda.hii ni mitazamo ya miaka ya 80. Kwa sasa TZ hatujilinganishi na wakenya, ila ni wakenya wana hitch the ride ili kubakia kuw arelevant kama regional power.
Western Powers walipokuwa on top, we had every right to compare ourselves to them as they were the product of Western Success, At the moment Western powers are a shadow of what they used to be, and so is their offspring.

In a world that is increasingly facing East, in 10-15 years kila mtu atakuwa anajilinganisha na TZ. ni subira tu, kwa wanaotazama maendeleo ya nchi kwa span za miaka 2-3 hawawezi kuona hilo, lakini kwa wanaotazama kwa span za 10-30 years onwards watagundua kuwa pwani ya Africa mashariki, TZ and Mozambique are the places to be.

Sorry Kenya, but it seems bordering Somalia has been your worst Nightmare and to the Chinese eyes Kenya is more of the buffer zone to chaotic Northern Africa.
 
And mods please transfer this to Kenyan news section

Kwani ikikaa Hapa inakusinya nini hasa? Kama huipendi si usiifungue tu, mbona unakuwa mbinafsi namna hiyo?
Yaani kwa kuwa Mada haikupendezi basi unataka ihamishwe au ifutwe, acha hizo, Usijione wewe una umuhimu sana kuliko wengine!
 
Wakenya wako serious sana,hata Mwl Nyerere alikuwa anawakubali wakenya kwa kuifananisha Kenya na Ulaya!
 
Region
Rank
World
Rank
Country2013 GDP (nominal)
millions of International dollars
——Africa2,263,744
124
23px-Flag_of_Nigeria.svg.png
Nigeria
522,470
234
23px-Flag_of_South_Africa.svg.png
South Africa
350,779
341
23px-Flag_of_Egypt.svg.png
Egypt
271,427
4
50
23px-Flag_of_Algeria.svg.png
Algeria
211,906
560
23px-Flag_of_Angola.svg.png
Angola
121,704
661
23px-Flag_of_Morocco.svg.png
Morocco
105,101
767
23px-Flag_of_Sudan.svg.png
Sudan
70,127
868
23px-Flag_of_Libya.svg.png
Libya
67,622
979
23px-Flag_of_Ethiopia.svg.png
Ethiopia
48,145
1081
23px-Flag_of_Tunisia.svg.png
Tunisia
47,439
1185
23px-Flag_of_Kenya.svg.png
Kenya
45,082
1283
23px-Flag_of_Ghana.svg.png
Ghana
44,223
1394
23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania
34,238
1394
20px-Flag_of_the_Democratic_Republic_of_the_Congo.svg.png
Democratic Republic of the Congo
30,639
1498
23px-Flag_of_Cameroon.svg.png
Cameroon
27,957
1597
23px-Flag_of_C%C3%B4te_d%27Ivoire.svg.png
Ivory Coast
28,288
16102
23px-Flag_of_Uganda.svg.png
Uganda
23,053
17103
23px-Flag_of_Zambia.svg.png
Zambia
22,416
18107
20px-Flag_of_Gabon.svg.png
Gabon
19,228
19114
23px-Flag_of_Equatorial_Guinea.svg.png
Equatorial Guinea
15,574
20115
23px-Flag_of_Mozambique.svg.png
Mozambique
15,329
21116
23px-Flag_of_Senegal.svg.png
Senegal
15,154
22117
23px-Flag_of_Botswana.svg.png
Botswana
14,837
23120
23px-Flag_of_the_Republic_of_the_Congo.svg.png
Republic of the Congo
13,781
24122
23px-Flag_of_Chad.svg.png
Chad
13,411
25123
23px-Flag_of_Zimbabwe.svg.png
Zimbabwe
12,951
26125
23px-Flag_of_Namibia.svg.png
Namibia
12,318
27126
23px-Flag_of_Burkina_Faso.svg.png
Burkina Faso
12,247
28127
23px-Flag_of_Mauritius.svg.png
Mauritius
11,930
29130
23px-Flag_of_Madagascar.svg.png
Madagascar
11,210
30131
23px-Flag_of_Mali.svg.png
Mali
11,070
31139
23px-Flag_of_Benin.svg.png
Benin
8,310
32141
23px-Flag_of_Rwanda.svg.png
Rwanda
7,431
33142
18px-Flag_of_Niger.svg.png
Niger
7,359
34145
23px-Flag_of_Guinea.svg.png
Guinea
6,282
35150
23px-Flag_of_Togo.svg.png
Togo
4,360
36154
23px-Flag_of_Malawi.svg.png
Malawi
3,814
37152
23px-Flag_of_Mauritania.svg.png
Mauritania
4,187
38155
23px-Flag_of_Swaziland.svg.png
Swaziland
3,620
39156
23px-Flag_of_Eritrea.svg.png
Eritrea
3,444
40158
23px-Flag_of_Burundi.svg.png
Burundi
2,723
41159
23px-Flag_of_Lesotho.svg.png
Lesotho
2,276
42162
23px-Flag_of_Liberia.svg.png
Liberia
1,933
43163
23px-Flag_of_Cape_Verde.svg.png
Cape Verde
1,920
44166
23px-Flag_of_the_Central_African_Republic.svg.png
Central African Republic
1,538
45167
23px-Flag_of_Djibouti.svg.png
Djibouti
1,457
46168
23px-Flag_of_Seychelles.svg.png
Seychelles
1,398
47172
23px-Flag_of_The_Gambia.svg.png
The Gambia
850
48173
23px-Flag_of_Guinea-Bissau.svg.png
Guinea-Bissau
845
49179
23px-Flag_of_the_Comoros.svg.png
Comoros
652
 
Region
Rank
World
Rank
Country2013 GDP (nominal)
millions of International dollars
--Africa2,263,744
124
23px-Flag_of_Nigeria.svg.png
Nigeria
522,470
234
23px-Flag_of_South_Africa.svg.png
South Africa
350,779
341
23px-Flag_of_Egypt.svg.png
Egypt
271,427
450
23px-Flag_of_Algeria.svg.png
Algeria
211,906
560
23px-Flag_of_Angola.svg.png
Angola
121,704
661
23px-Flag_of_Morocco.svg.png
Morocco
105,101
767
23px-Flag_of_Sudan.svg.png
Sudan
70,127
868
23px-Flag_of_Libya.svg.png
Libya
67,622
979
23px-Flag_of_Ethiopia.svg.png
Ethiopia
48,145
1081
23px-Flag_of_Tunisia.svg.png
Tunisia
47,439
1185
23px-Flag_of_Kenya.svg.png
Kenya
45,082
1283
23px-Flag_of_Ghana.svg.png
Ghana
44,223
1394
23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania
34,238
1394
20px-Flag_of_the_Democratic_Republic_of_the_Congo.svg.png
Democratic Republic of the Congo
30,639
1498
23px-Flag_of_Cameroon.svg.png
Cameroon
27,957
1597
23px-Flag_of_C%C3%B4te_d%27Ivoire.svg.png
Ivory Coast
28,288
16102
23px-Flag_of_Uganda.svg.png
Uganda
23,053
17103
23px-Flag_of_Zambia.svg.png
Zambia
22,416
18107
20px-Flag_of_Gabon.svg.png
Gabon
19,228
19114
23px-Flag_of_Equatorial_Guinea.svg.png
Equatorial Guinea
15,574
20115
23px-Flag_of_Mozambique.svg.png
Mozambique
15,329
21116
23px-Flag_of_Senegal.svg.png
Senegal
15,154
22117
23px-Flag_of_Botswana.svg.png
Botswana
14,837
23120
23px-Flag_of_the_Republic_of_the_Congo.svg.png
Republic of the Congo
13,781
24122
23px-Flag_of_Chad.svg.png
Chad
13,411
25123
23px-Flag_of_Zimbabwe.svg.png
Zimbabwe
12,951
26125
23px-Flag_of_Namibia.svg.png
Namibia
12,318
27126
23px-Flag_of_Burkina_Faso.svg.png
Burkina Faso
12,247
28127
23px-Flag_of_Mauritius.svg.png
Mauritius
11,930
29130
23px-Flag_of_Madagascar.svg.png
Madagascar
11,210
30131
23px-Flag_of_Mali.svg.png
Mali
11,070
31139
23px-Flag_of_Benin.svg.png
Benin
8,310
32141
23px-Flag_of_Rwanda.svg.png
Rwanda
7,431
33142
18px-Flag_of_Niger.svg.png
Niger
7,359
34145
23px-Flag_of_Guinea.svg.png
Guinea
6,282
35150
23px-Flag_of_Togo.svg.png
Togo
4,360
36154
23px-Flag_of_Malawi.svg.png
Malawi
3,814
37152
23px-Flag_of_Mauritania.svg.png
Mauritania
4,187
38155
23px-Flag_of_Swaziland.svg.png
Swaziland
3,620
39156
23px-Flag_of_Eritrea.svg.png
Eritrea
3,444
40158
23px-Flag_of_Burundi.svg.png
Burundi
2,723
41159
23px-Flag_of_Lesotho.svg.png
Lesotho
2,276
42162
23px-Flag_of_Liberia.svg.png
Liberia
1,933
43163
23px-Flag_of_Cape_Verde.svg.png
Cape Verde
1,920
44166
23px-Flag_of_the_Central_African_Republic.svg.png
Central African Republic
1,538
45167
23px-Flag_of_Djibouti.svg.png
Djibouti
1,457
46168
23px-Flag_of_Seychelles.svg.png
Seychelles
1,398
47172
23px-Flag_of_The_Gambia.svg.png
The Gambia
850
48173
23px-Flag_of_Guinea-Bissau.svg.png
Guinea-Bissau
845
49179
23px-Flag_of_the_Comoros.svg.png
Comoros
652

Hivyo unataka kusema nini na hizo Tarakimu?
 
Kwani ikikaa Hapa inakusinya nini hasa? Kama huipendi si usiifungue tu, mbona unakuwa mbinafsi namna hiyo?
Yaani kwa kuwa Mada haikupendezi basi unataka ihamishwe au ifutwe, acha hizo, Usijione wewe una umuhimu sana kuliko wengine!

poza moto ndugu, ni mtazamo wangu kuwa hii thread italeta parralels kati ya Kenya na Tanzania,na itapata wachangiaji wengi zaidi ukiipeleka kwenye Jukwaa husika.Humu Jukwaa la siasa zmejaa habari za Bavicha na Uraisis 2015. Muda si mrefu mada itakuwa page ya 7.
 
I respectifully disagree, wanaojilinganisha na Kenya ni wale ambao hata Nje ya EA hawajawahi kwenda.hii ni mitazamo ya miaka ya 80. Kwa sasa TZ hatujilinganishi na wakenya, ila ni wakenya wana hitch the ride ili kubakia kuw arelevant kama regional power.
Western Powers walipokuwa on top, we had every right to compare ourselves to them as they were the product of Western Success, At the moment Western powers are a shadow of what they used to be, and so is their offspring.

In a world that is increasingly facing East, in 10-15 years kila mtu atakuwa anajilinganisha na TZ. ni subira tu, kwa wanaotazama maendeleo ya nchi kwa span za miaka 2-3 hawawezi kuona hilo, lakini kwa wanaotazama kwa span za 10-30 years onwards watagundua kuwa pwani ya Africa mashariki, TZ and Mozambique are the places to be.

Sorry Kenya, but it seems bordering Somalia has been your worst Nightmare and to the Chinese eyes Kenya is more of the buffer zone to chaotic Northern Africa.

I like your 2 cent analysis. so in 15 years other EA countries will be sleeping as tz becomes a "superpower". kichekesho hichi. I hope ndoto ikiisha you will come down to earth.
 
I like your 2 cent analysis. so in 15 years other EA countries will be sleeping as tz becomes a "superpower". kichekesho hichi. I hope ndoto ikiisha you will come down to earth.
Kubali yaishe mazee Kenya aina potential ya Tanzania, what you see now is development in slow motion considering Kenya has enough skilled workers, it has exploited almost all of its known resources i dont know why bado mnaona mna sababu ya kutaka kujifananisha na Tanzania.

We are just waiting for the miracles of the middle east to happen from deserts to mega cities in 50 years viva to oil, gases, land, scattered tourists attractions all over (we even got fossils now soon we will be recalling our Rukwatitan bisepultus and zinjathropus to be displayed at JKN Airport the one in Dar not in Nairobi) bye bye to poverty.
 
Ni kawaida ya viongozi au watu wanaopenda kuiga na kuishi ndoto za wengine. Hawana dream yaani hao watu hawana uwezo wa kubuni lao. Ni watu wavivu kufikiri na wanaona kila kitu hakiwezekani. Hatuitaji pesa kufanya mambo makubwa tunahitaji mipango mizuri. Nchi hii chini ya utawala wa sasa kuna mtu mmoja tu ambaye nimeona kidogo anacho hicho ninachotaka kusema. Huyu ni Neemia Mchechu peke yake.
Hata mimi namkubali huyu jamaa kwa utendajikazi wake kama tungakuwa na watu wengi wenye vision za huyu jamaa hakika Tz ingepaa!
 
Kubali yaishe mazee Kenya aina potential ya Tanzania, what you see now is development in slow motion considering Kenya has enough skilled workers, it has exploited almost all of its known resources i dont know why bado mnaona mna sababu ya kutaka kujifananisha na Tanzania.

We are just waiting for the miracles of the middle east to happen from deserts to mega cities in 50 years viva to oil, gases, land, scattered tourists attractions all over (we even got fossils now soon we will be recalling our Rukwatitan bisepultus and zinjathropus to be displayed at JKN Airport the one in Dar not in Nairobi) bye bye to poverty.

dunia itaisha tanzania na potential waiting to happen and waiting to exhale. my friend ndoto na kwachia ruhusa unayo rudi kitandani uendelee.


[h=2]Leaked agreement shows Tanzania may not get a good deal for gas – By Ben Taylor[/h] Posted on July 4, 2014 by AfricanArgumentsEditor
Another indication of the scale involved here is that since the Norwegian government is Statoil's majority shareholder, the extra revenue to the Norwegian government from this deal could be worth more than double the total of all Norwegian aid to Tanzania since independence[2].
But perhaps just as worrying is the resounding silence that met the leak. It has not been covered in the Tanzanian media, even when reporting on gas-related issues or Statoil's other activities. And aside from a brief reference in a relatively obscure parliamentary committee report (pdf, Swahili) (which itself did not attract media coverage), no leading politician has stood up to publicly make noise about the deal.
Those in the know are discussing it in hushed tones on the side-lines of meetings, in the more private corners of social media, or in coded language. The vast majority are not in the know.
This does not bode well. One of the big political risks with oil and gas is that it can be seen by politicians and senior officials as ‘easy' money that doesn't come with the kind of scrutiny that taxpayers demand when they pay their taxes and donors demand when they provide aid. Unless somebody – the media, politicians, civil society – steps up to fill the gap, decision makers in government will be left free to make whatever decisions they choose, unencumbered by any need to protect the public interest. The Statoil PSA may well have cost Tanzania several billion dollars – yet it appears no-one is trying to hold those responsible to account.
So why the silence? It may be that the media and the politicians don't understand the significance of the deal, don't have the capacity to pick apart the leaked PSA's legal language to find the meat. It's certainly not easy to do. Alternatively, it may be that they don't care. Or it may be that they are scared.
Zitto Kabwe, an outspoken opposition MP, posted a quote on Twitter last week:
"Not a single developing country that derives the bulk of its export earnings from oil and gas is a democracy," wrote Larry Diamond and Jack Mosbacher.
In Tanzania, I fear we may be about to find out why.
Ben Taylor (@mtega) is an analyst and blogger, writing mainly about Tanzanian media and politics at mtega.com. He works for Twaweza, but writes here in a personal capacity – his views do not necessarily represent those of Twaweza.

[1] These figures are calculated based on 500MMscfd / 1000MMscfd of "profit gas", which refers to the value of gas produced after the company's costs have been deducted.

[2] Statoil has a 65% stake in the PSA, of which the Norwegian government owns 67%. The calculation is therefore as follows: 65% x 67% x $900m x 15years = $5.9bn. Norway has given approximately $2.5bn in aid to Tanzania since 1961 (Source: World Bank)
 
I like your 2 cent analysis. so in 15 years other EA countries will be sleeping as tz becomes a "superpower". kichekesho hichi. I hope ndoto ikiisha you will come down to earth.

When China surpassed Taiwan, Taiwan didn't cease to be a developed country, so when Tanzania becomes EA biggest Economy it won't be because of anything under Kenya Control, the fact that you think, it's in anyways related to Kenya, is giving yourself more importance than there is really.

Only time Kenya is a major factor in TZ development is when you post that in JF and really believe that to be the case.How naive.
 
Back
Top Bottom