Kwanini Kara Sevda ilibidi aishe vile?

Kwanini Kara Sevda ilibidi aishe vile?

usimsahau mke wa mr agha anajua kudekeza watoto wake hasa yule muhuni mpenda totozi jana alitaka kulia baada ya mr agha kumpatia nedim yule muuguzi kumbe kasha data.
Sidhani kama ni hivyo sio kwamba ameogopa kumuona nedim hapo akakumbuka mabaya aliyomfanyia

Nahisi mke wa mr agah na mtoto wake wa kiume wanahusika na ugonjwa wa nedim
 
Itoshe kusema tamthilia yangu ya mwisho kuiangalia ni "Marimar" mwaka 2011, baada ya hapo ni short movies tu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
ila
Sidhani kama ni hivyo sio kwamba ameogopa kumuona nedim hapo akakumbuka mabaya aliyomfanyia

Nahisi mke wa mr agah na mtoto wake wa kiume wanahusika na ugonjwa wa nedim
atakuwa kamzimia mazima muuguzi maana muuguzi nae ni bonge la pisi sema tu ndo ivo hawana tako 😄😄
 
Mkuu sikia filamu ikiisha kwa mwisho usiotabirika ndo kuna utamu wake au unataka iwe kama bongo unajua kila kitu kabla ya kufika mwisho.

Nb:huwa sifuatilii hizo tamthilia.
Kuna mwisho usio tabirika na meisho wa kusikitisha ....huu ni mwisho wa kisikitsha sana mnoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom