Kwanini Kanda ya Ziwa hakuna Uwanja wa ndege wa Kimataifa?

Alice Gisa

Senior Member
Sep 6, 2014
172
417
Ikiwa ni Kanda kubwa kwa uchumi na idadi ya watu. Kwa takwimu za juzi katika mikoa kumi inayozalisha Pato kubwa la taifa. Kanda ya Ziwa ndiyo imetoa mikoa mingi zaidi.

Imetoa mikoa mitatu mkoa wa Mwanza, Geita na Shinyanga. Hii hufanya 3\10 ni kama asilia 33 ya pato la taifa hili hutoka Kanda ya ziwa.

Inakuaje Zanzibar, Kilimanjaro na Songwe Kuna viwanja vya ndege vya kimataifa lakini Mwanza hakuna. Dodoma unajengwa pale Msalato.

Mwanza ambako ni kitovu cha Kanda ya Ziwa kunasitahili kuwa na uwanja wa ndege wa Kimataifa.

Ni wakati Kanda ya Ziwa kuamka
 
Ikiwa ni Kanda kubwa kwa uchumi na idadi ya watu. Kwa takwimu za juzi katika mikoa kumi inayozalisha Pato kubwa la taifa. Kanda ya Ziwa ndiyo imetoa mikoa mingi zaidi.

Imetoa mikoa mitatu mkoa wa Mwanza, Geita na Shinyanga. Hii hufanya 3\10 ni kama asilia 33 ya pato la taifa hili hutoka Kanda ya ziwa.

Inakuaje Zanzibar, Kilimanjaro na Songwe Kuna viwanja vya ndege vya kimataifa lakini Mwanza hakuna. Dodoma unajengwa pale Msalato.

Mwanza ambako ni kitovu cha Kanda ya Ziwa kunasitahili kuwa na uwanja wa ndege wa Kimataifa.

Ni wakati Kanda ya Ziwa kuamka
Mwendazake hakuwajengea? Chato International airport veepe?
 
Loading......
airtanzania_atcl_1633971769985660.jpg
airtanzania_atcl_163397176998750.jpg
airtanzania_atcl_1633971769987875.jpg
 
Ikiwa ni Kanda kubwa kwa uchumi na idadi ya watu. Kwa takwimu za juzi katika mikoa kumi inayozalisha Pato kubwa la taifa. Kanda ya Ziwa ndiyo imetoa mikoa mingi zaidi.

Imetoa mikoa mitatu mkoa wa Mwanza, Geita na Shinyanga. Hii hufanya 3\10 ni kama asilia 33 ya pato la taifa hili hutoka Kanda ya ziwa.

Inakuaje Zanzibar, Kilimanjaro na Songwe Kuna viwanja vya ndege vya kimataifa lakini Mwanza hakuna. Dodoma unajengwa pale Msalato.

Mwanza ambako ni kitovu cha Kanda ya Ziwa kunasitahili kuwa na uwanja wa ndege wa Kimataifa.

Ni wakati Kanda ya Ziwa kuamka
Umesahau chatle.But kuna nini huko kanda ya ziwa kuwezesha ndege za kimataifa kutua.au minofu ya samaki?
 
Ikiwa ni Kanda kubwa kwa uchumi na idadi ya watu. Kwa takwimu za juzi katika mikoa kumi inayozalisha Pato kubwa la taifa. Kanda ya Ziwa ndiyo imetoa mikoa mingi zaidi.

Imetoa mikoa mitatu mkoa wa Mwanza, Geita na Shinyanga. Hii hufanya 3\10 ni kama asilia 33 ya pato la taifa hili hutoka Kanda ya ziwa.

Inakuaje Zanzibar, Kilimanjaro na Songwe Kuna viwanja vya ndege vya kimataifa lakini Mwanza hakuna. Dodoma unajengwa pale Msalato.

Mwanza ambako ni kitovu cha Kanda ya Ziwa kunasitahili kuwa na uwanja wa ndege wa Kimataifa.

Ni wakati Kanda ya Ziwa kuamka
Kwani uncle lile banda kijijini alijenga la Nini? Roma na Stamina voice
 
Ikiwa ni Kanda kubwa kwa uchumi na idadi ya watu. Kwa takwimu za juzi katika mikoa kumi inayozalisha Pato kubwa la taifa. Kanda ya Ziwa ndiyo imetoa mikoa mingi zaidi.

Imetoa mikoa mitatu mkoa wa Mwanza, Geita na Shinyanga. Hii hufanya 3\10 ni kama asilia 33 ya pato la taifa hili hutoka Kanda ya ziwa.

Inakuaje Zanzibar, Kilimanjaro na Songwe Kuna viwanja vya ndege vya kimataifa lakini Mwanza hakuna. Dodoma unajengwa pale Msalato.

Mwanza ambako ni kitovu cha Kanda ya Ziwa kunasitahili kuwa na uwanja wa ndege wa Kimataifa.

Ni wakati Kanda ya Ziwa kuamka
Kuna uwanja wa ndege mkubwa chato . Chato ni kanda ya ziwa
 
Chato siyo International airport. Chuki tu na Kanda ya Ziwa. Hakuna chuo kikuu lakini ndiyo leading kwa graduates haha
 
Ikiwa ni Kanda kubwa kwa uchumi na idadi ya watu. Kwa takwimu za juzi katika mikoa kumi inayozalisha Pato kubwa la taifa. Kanda ya Ziwa ndiyo imetoa mikoa mingi zaidi.

Imetoa mikoa mitatu mkoa wa Mwanza, Geita na Shinyanga. Hii hufanya 3\10 ni kama asilia 33 ya pato la taifa hili hutoka Kanda ya ziwa.

Inakuaje Zanzibar, Kilimanjaro na Songwe Kuna viwanja vya ndege vya kimataifa lakini Mwanza hakuna. Dodoma unajengwa pale Msalato.

Mwanza ambako ni kitovu cha Kanda ya Ziwa kunasitahili kuwa na uwanja wa ndege wa Kimataifa.

Ni wakati Kanda ya Ziwa kuamka

Kweri kabisa mkuu. Kuritakiwa kuwe na uwanja wa kimataifa kama wa dar.

Ongeza na Mara na Kagera.

Mwanza
Shinyanga
Mara
Kagera
Geita
Chato inadownload kuwa mkoa
 
Ikiwa ni Kanda kubwa kwa uchumi na idadi ya watu. Kwa takwimu za juzi katika mikoa kumi inayozalisha Pato kubwa la taifa. Kanda ya Ziwa ndiyo imetoa mikoa mingi zaidi.

Imetoa mikoa mitatu mkoa wa Mwanza, Geita na Shinyanga. Hii hufanya 3\10 ni kama asilia 33 ya pato la taifa hili hutoka Kanda ya ziwa.

Inakuaje Zanzibar, Kilimanjaro na Songwe Kuna viwanja vya ndege vya kimataifa lakini Mwanza hakuna. Dodoma unajengwa pale Msalato.

Mwanza ambako ni kitovu cha Kanda ya Ziwa kunasitahili kuwa na uwanja wa ndege wa Kimataifa.

Ni wakati Kanda ya Ziwa kuamka
Upo Chato.
 
Ikiwa ni Kanda kubwa kwa uchumi na idadi ya watu. Kwa takwimu za juzi katika mikoa kumi inayozalisha Pato kubwa la taifa. Kanda ya Ziwa ndiyo imetoa mikoa mingi zaidi.

Imetoa mikoa mitatu mkoa wa Mwanza, Geita na Shinyanga. Hii hufanya 3\10 ni kama asilia 33 ya pato la taifa hili hutoka Kanda ya ziwa.

Inakuaje Zanzibar, Kilimanjaro na Songwe Kuna viwanja vya ndege vya kimataifa lakini Mwanza hakuna. Dodoma unajengwa pale Msalato.

Mwanza ambako ni kitovu cha Kanda ya Ziwa kunasitahili kuwa na uwanja wa ndege wa Kimataifa.

Ni wakati Kanda ya Ziwa kuamka
Wenyewe watakwambia kuwa chato ni wa kimataifa
 
Back
Top Bottom