Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,053
- 15,777
Kambona aliwahi kumshutumu nyerere kuhusiana na suala hilo na pia akasema Malecela nae ni Mcongo.
Haya sasa
Kambona aliwahi kumshutumu nyerere kuhusiana na suala hilo na pia akasema Malecela nae ni Mcongo.
ha ha ha
Nyerere hata Lowasa ni mtoto wa Nyerere angalia mvi kichwani kichwa Cha Lowasa na Nyerere na sura
Naweza kurudia zaidi ya mara 100!Bwana J uko tayari kurudia sentensi hii mbele ya afisa wa uhamiaji?
Hapa kuna changamoto.
Kuna wageni (rundi na Rwanda)hivi hawa wakipewa uraia huwa wanakwa kabila gani??
Ngoja wakuchukue hapo Zenji wakurudishe kwenu Kgm ukawatamkie.Naweza kurudia zaidi ya mara 100!
Wakiwa mara WAZANAKIWatutsi inasemekana siyo kabila, ila ni jamii ya watu walipofika kusini mwa Afrika. Walijizolea umaarufu wa kuwa watu wema, wakaaminiwa, wakashiriki utawala na wakawa watawala.
Neno Mtutsi, wanasema linamaanisha mtu mwema. Siyo kabila. Wana kabila zao lakini walizipoteza, ndiyo maana hakuna lugha ya Kitutsi ila kuna watu wamepewa icon ya Ututsi.
Wakiwa na kabila fulani, huchukua mila hizo na hujiita wa kabila hilo. Wakiwa Kigoma ni Waha tu. Wakiwa Buhaya ni Wahaya, Uganda ni Wanankole, Usukumani watajiita Wasukuma.
Wakiwa mara WAZANAKI
Da h!Kambona aliwahi kumshutumu nyerere kuhusiana na suala hilo na pia akasema Malecela nae ni Mcongo.
Da h!
Kwa mbaaali...
Hahaha......Sa mbona wahindi hawamo kwenye makabila yetu
Hakuna kabila hilo duniani.Watusi ni moja kabila moja kubwa hapa nchini kwetu ambalo linapatikana haswa baadhi ya maeneo hapa nchini kama vile Tabora, Mpanda, Kigoma, Geita, Kagera, Karagwe, Bukoba na Kahama.
Ukifika maeneo ya Utusini katika hii mikoa, tamaduni nyingi za Kitusi zinafahamika kuanzia uvaaji, ufugaji na watu wanaofahamika. Lakini, je ni kwanini kabila hili halimo miongoni mwa makabila 120 yanayopatikana hapa nchini? Ukiangalia hili kabila ni la muda mrefu sana tangu karne ya 21 na pia kuna watemi wengi wa Kitusi .
Lakini twende mbele turudi nyuma, ni kwanini Watusi siyo miongoni mwa makabila yanayopatikana hapa nchini?
Wataalam wa historia nisaidieni.
Kesho na keshokutwa utakuja na hoja ya kabila la wachina kwanini halipatikani hapaWatusi ni moja kabila moja kubwa hapa nchini kwetu ambalo linapatikana haswa baadhi ya maeneo hapa nchini kama vile Tabora, Mpanda, Kigoma, Geita, Kagera, Karagwe, Bukoba na Kahama.
Ukifika maeneo ya Utusini katika hii mikoa, tamaduni nyingi za Kitusi zinafahamika kuanzia uvaaji, ufugaji na watu wanaofahamika. Lakini, je ni kwanini kabila hili halimo miongoni mwa makabila 120 yanayopatikana hapa nchini? Ukiangalia hili kabila ni la muda mrefu sana tangu karne ya 21 na pia kuna watemi wengi wa Kitusi .
Lakini twende mbele turudi nyuma, ni kwanini Watusi siyo miongoni mwa makabila yanayopatikana hapa nchini?
Wataalam wa historia nisaidieni.
Hahahahaaa Kwani Kigoma ni nchi gani? Mi nikadhani wanirudishe KigaliNgoja wakuchukue hapo Zenji wakurudishe kwenu Kgm ukawatamkie.