Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Watusi ni moja kabila moja kubwa hapa nchini kwetu ambalo linapatikana haswa baadhi ya maeneo hapa nchini kama vile Tabora, Mpanda, Kigoma, Geita, Kagera, Karagwe, Bukoba na Kahama.
Ukifika maeneo ya Utusini katika hii mikoa, tamaduni nyingi za Kitusi zinafahamika kuanzia uvaaji, ufugaji na watu wanaofahamika. Lakini, je ni kwanini kabila hili halimo miongoni mwa makabila 120 yanayopatikana hapa nchini? Ukiangalia hili kabila ni la muda mrefu sana tangu karne ya 21 na pia kuna watemi wengi wa Kitusi .
Lakini twende mbele turudi nyuma, ni kwanini Watusi siyo miongoni mwa makabila yanayopatikana hapa nchini?
Wataalam wa historia nisaidieni.
Ukifika maeneo ya Utusini katika hii mikoa, tamaduni nyingi za Kitusi zinafahamika kuanzia uvaaji, ufugaji na watu wanaofahamika. Lakini, je ni kwanini kabila hili halimo miongoni mwa makabila 120 yanayopatikana hapa nchini? Ukiangalia hili kabila ni la muda mrefu sana tangu karne ya 21 na pia kuna watemi wengi wa Kitusi .
Lakini twende mbele turudi nyuma, ni kwanini Watusi siyo miongoni mwa makabila yanayopatikana hapa nchini?
Wataalam wa historia nisaidieni.