Kwanini John heche hajatoa pole kifo cha dereva wake?

Kwanini John heche hajatoa pole kifo cha dereva wake?

Muombolezaji wa kweli ni ngumu kuanza kupost mtandaoni wakati ana machungu.
 
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
kipi muhimu sasa hapo?

kutoa pole mtandaoni au kwenda live kutoa pole kwenye familia?

ungekuwa ndugu wa karibu na heche au ndugu wa karibu wa familia ungejua nini kinaendelea kuhusiana na hio msiba

inshort chadema ndio wameubeba huo msiba na mazishi yatafanyika siku ya jumapili uko mkoa wa Mara
 
Nadhani na yeye mwenyewe ana taharuki, Kufiwa na dereva wako Mazingira tata, Ni sawa na kufiwa na Personal Security wako, lazima udate kwanza maana ni ishara circle yako imefikiwa na Izraeli.
 
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
Utakuwa una mapungufu ya kibailojia. Siyo bure. Mtu mzima na akili yako huwezi ukaandika huu ujinga.
 
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
Kwasababu sisi tunaeishi nae hapa jirani Majengo Mapya, Nyegezi, Jijini Mwanza tunajua KAMTOA KAFARA!
 
Post-mortem tayari au bado au hamkujiandaa baada ya tukio kudhani ataropoka mtakavyo
 
Ukipotelewa na mpendwa wako, wewe ndio unastahili upewe pole sio utoe pole, awe rafiki, ndugu , jamaa, nk
Alaf unapata wapi? Nguvu ya kushika simu kipindi umempoteza mtu wako wa karibu Yako sana, haya sio maigizo ni realty
 
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
Wewe ulitoa pole kwenye kifo cha hayati Mama yako?
Qumamayo
 
CCM NI WAPUMBAVU SANA LAKINI NITAKUJIBU KWA KIFUPI ANAEVUNJA UTULIVU/AMANI NA KUSABABISHA MAUAJI NI......

1. Anayeteka watanzania Wenzetu akina Soka, Polepole, Mdude, Chaula nk.

2. Anayepiga watu Risasi Akina TUNDU LISSU, SATIVA AKWILINA MAWAZO NK

3. Anayezuia haki ya Kikatiba ya Mikitano ya Vyama vya siasa.
(Kushiriki mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani.

4. Anayezuia Maandamano ambayo ni haki ya kikatiba ya Tanzania.

5. Anayezuia na Kupora Haki ya watanganyika ya kuchagua kiongozi wanaye mtaka.

6.Anayeficha Kila aina ya mikataba, Bandari, Ardhi, Dhahabu, Gesi nk.

7. Anayekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari
Kuzuia mitandao ya kijamii.
Kuzima Mtandao nk

CCM WAMETUONA WATANGANYIKA NI MALOFA SANA


AMKENI WATANGANYIKA.
Mkuu ujinga ni tatizo kubwa sana kwa watozonia, ukitaka kuamini njoo uishi uswahili, watu ni wajinga sana😬
 
Ni sawa na Umefiwa na Mtoto wako Utoe pole.

Muache Heche aomboleze kwa Ukatili wa CCM
Jamaa amewahi kukatwa mapanga kichwani.

Mtu makini hakurupuki kama Bibi yako..
 
Back
Top Bottom