Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 886
- 664
Ni kweli yeye ndiye Rais Msitaafu aliyebakia anaijua Tanzania na anaijua CCM kuliko wengi wetu au niseme wengine wote, katika kukwama au kufanikiwa kwa baadhi ya Mambo utasikia ni ushauri wa Kikwete,
Aah Huyu shujaa alifanya mengi sana mazuri na kwa kuwa anaipenda Tanzania hawezi kuona Mambo yanaharibika akakaa kimya, na sitegemei kwamba anaweza kuwa chanzo cha Mambo yaharibike.
Sasa basi kama lawama na kelele hasi zinazidi si wakati muafaka akae kando apumzike afurahie kustaafu kwake badala ya kubeti sintofahamu ya kesho. Ni wazo tu naomba nisihukumiwe.
Aah Huyu shujaa alifanya mengi sana mazuri na kwa kuwa anaipenda Tanzania hawezi kuona Mambo yanaharibika akakaa kimya, na sitegemei kwamba anaweza kuwa chanzo cha Mambo yaharibike.
Sasa basi kama lawama na kelele hasi zinazidi si wakati muafaka akae kando apumzike afurahie kustaafu kwake badala ya kubeti sintofahamu ya kesho. Ni wazo tu naomba nisihukumiwe.