Jumannenavali
Member
- Oct 10, 2015
- 24
- 0
We umeona Israel tu, Mbona Cuba husemi
wengi wao hawamwamini, na hata wanaomwamini hawafiki 5% ya waisraeli wote.
Hivi kama wewe mmatumbi unayajuwa yote haya je wao ndio wasiyajuwe yote haya? unataka kunishawishi kwamba wewe una IQ kuwapita Ashkenazi? ndio maana vijana wa ulaya wana mashaka makubwa na hizi dini.Yes but there is a time coming where majority of them will come to believe in HIM. It's prophesized in the bible, just take your home work to read the books of Zechariah, Ezekiel, Isaiah & Jeremiah ...
Ukisoma kitabu cha Ezekieli kinatabiri kuwa, kuna siku zinakuja ambapo Israeli itakuwa imejijenga kijeshi mataifa kadhaa yataungana kuleta vita dhidi yao. Ezekieli anaenda mbali na kusema kuwa mataifa hayo yatashirikiana na Taifa moja kubwa.
Nao watakwea na kuizunguka Israeli ... Nao watamkumbuka Yesu na kumlilia, wataukumbuka unabii huu ... Ndipo Yesu atashuka katika mlima Sayuni na kupigana na mataifa yale kwa ajili ya agano aliloweka na Ibrahimu (How? Itabaki kujulikana kwa wale watakao kuwa hai by that time).
Na baada ya hapo wengi wao watatubu & watamwamini Yesu.
Lakini hili tukio ni litatokea baada ya mpinga Kristo kufanikisha kumaliza mzozo unaohusu "HEKALU LA SULEMANI." Ambapo atatumia hekima kuwapatanisha waarabu + wayahudi, lkn baada ya tukio lile atataka asujudiwe yeye badala ya Mungu. Hii itawazindua waisraeli na kujua kosa lao, and by that tym vita itakuwa mlangoni.
Na hii ni ishara ya siku za mwisho. Anywys, nimejaribu kusummarize. Zaidi sn kajisomee mwenyewe vitabu!
Hivi kama wewe mmatumbi unayajuwa yote haya je wao ndio wasiyajuwe yote haya? unataka kunishawishi kwamba wewe una IQ kuwapita Ashkenazi? ndio maana vijana wa ulaya wana mashaka makubwa na hizi dini.
Umejitahidi kutililika vizuri lakini nawe umepatwa na mhemko, Wayahudi wanamtambuwa Yesu ambaye ndiye masiha na bado wanamsubili, hayo maelezo mengine ni mbwembwe tu za uandishi.Humu kuna watu hawazishughulishi akili zao Israel ni taifa linaloshambuliwa sana na magaidi kuliko yote duniani,pili Israel ni taifa lisilomtambua jesus ( yesu) na kwao yesu ni mwana wa haramu aliyezaliwa nje ya ndoa. Waisrael idadi ya watu ni 8,238,000 kati yao wa dini ya judism ( dini yao kuu) 74% islams 20% na dini zingine 6% ktk lugha rasmi 70% hebrew 24% arabic na 6% lugha zingine, ukiangalia hapo uislamu na lugha ya kiarabu ndani ya Israel unanguvu mno kuliko ukristo kwaiyo waisrael si ndugu zenu ktk imani ila munawashoboka tu wenyewe hawawajui wala hawatambui.
Sema baadhi ya waisrael ndo hawaamin ktk Jesus bt n makosa makubwa kusema hawaamin
Yes but there is a time coming where majority of them will come to believe in HIM. It's prophesized in the bible, just take your home work to read the books of Zechariah, Ezekiel, Isaiah & Jeremiah ...
Ukisoma kitabu cha Ezekieli kinatabiri kuwa, kuna siku zinakuja ambapo Israeli itakuwa imejijenga kijeshi mataifa kadhaa yataungana kuleta vita dhidi yao. Ezekieli anaenda mbali na kusema kuwa mataifa hayo yatashirikiana na Taifa moja kubwa.
Nao watakwea na kuizunguka Israeli ... Nao watamkumbuka Yesu na kumlilia, wataukumbuka unabii huu ... Ndipo Yesu atashuka katika mlima Sayuni na kupigana na mataifa yale kwa ajili ya agano aliloweka na Ibrahimu (How? Itabaki kujulikana kwa wale watakao kuwa hai by that time).
Na baada ya hapo wengi wao watatubu & watamwamini Yesu.
Lakini hili tukio ni litatokea baada ya mpinga Kristo kufanikisha kumaliza mzozo unaohusu "HEKALU LA SULEMANI." Ambapo atatumia hekima kuwapatanisha waarabu + wayahudi, lkn baada ya tukio lile atataka asujudiwe yeye badala ya Mungu. Hii itawazindua waisraeli na kujua kosa lao, and by that tym vita itakuwa mlangoni.
Na hii ni ishara ya siku za mwisho. Anywys, nimejaribu kusummarize. Zaidi sn kajisomee mwenyewe vitabu!
pamoja na ubabe wake kwa mataifa jirani,Hii nchi imezingirwa na mataifa ambayo kwa kiwango fulani yametapakaa makundi ya kigaidi lakini hatujawahi sikia imeshambuliwa.ni kwanini
Ujafuatilia mambo..hamas walipiga kambi ya Israel na kuua wanajeshi kadhaa wao kwa hasira zao walishambua hospatal na shule za UN..hawana lolote
Wayahud kama wangekufa woote...kusingekuwa na upuuz huu wa watu kuamini et taifa la mungu.....??
Isral inachapwa sana sema hufuatilii history ...waulize wanawajua hizbu llah
f.uck you
Nasikia wana dini Yao Na Ni tofauti kabisa hawamtambui yesu Na wala sio wakiskristo lkn wabongo tunawaunga mkono
Hakuna wa kuweza kuchezea Israel, kuchezea Israel ni sawa na kufungulia mzinga wa nyuki ndani ya nyumba yako, Israel maana yake kwa ufupi ni kushinda tu jina alilitoa Mungu mkuu muumba mbingu na nchi, nikisema Mungu mkuu helewa kuwa kuna miungu
Kwani hukusikia Palestinians knives attacks, car ramming and stoning? Kama unatarajia kuyasikia hayo CNN sahau. Ukitaka kujua tafiti.
As of Syrian crisis Israel maintain a neutral stance. Isis walishasema wakimaliza Syria wanakwenda Jerusalem.
Fanya utafiti wako punguza uvivu 🙂