Kwanini ISRAEL haishambuliwi na magaidi?

Kwanini ISRAEL haishambuliwi na magaidi?

Status
Not open for further replies.
waisrael hawacheki na kima. Mambo sijui ya kupokea wakimbizi wa kigaidi kwao hakuna. Wakikuhisi tu ni shaba.
 
Lile hekalu la Jerusalem upande mmoja wanasali Jews na upande mwingine wanasali waislamu kwa idadi wanayotaka askari waingie, pale ukijiita mkristo mfuasi wa yesu marufuku Hata kusogeza pua yako,
Lakini ajabu wafuasi wa yesu Africa wako busy na kuwalamba Jews miguu tu, hivi mnampenda asiowapenda?
 
Someni maandiko vizuri, bible imeeleza vizuri sana. Since Abraham wana agano la milele na Taifa teule
 
Mkuu, hili swali unawaonea wana JF, kawaulize HAMAS watakwambia!!!
 
pamoja na ubabe wake kwa mataifa jirani,Hii nchi imezingirwa na mataifa ambayo kwa kiwango fulani yametapakaa makundi ya kigaidi lakini hatujawahi sikia imeshambuliwa.ni kwanini

Hatujawahi wewe na nani? kuna nchi iliyoshambuliwa na magaidi dunia hii kuizidi Israel? kwanza umezaliwa mwaka gani wewe? isije kuwa ni Mulugo product unatupotezea muda tu.
 
Nasikia wana dini Yao Na Ni tofauti kabisa hawamtambui yesu Na wala sio wakiskristo lkn wabongo tunawaunga mkono
Sasa kitu kama hujui ni bora uulize upewe elimu, Israel waislamu ni wengi kuliko wakristo, Wayahudi wanamtambuwa Yesu ila bado wanamsubili ujio wake wanaamini hajazaliwa bado. achana na mambo ya kusikiasikia badala ya kusoma.
 
wale jamaa wana visasi akifa muisrael mmoja,,walioshambulia watakufa 1000
 
wanarushiwa rocket kila siku na hamas na hizbollah fuatilia mambo. walize waisreli quasum ni nini watakuambi. pamoja na kua na iron dome
 
Sasa hapa ndio umeandika nini?

kulikuwa kuna haja gani ya kuni nukuu wakati sijakujibu wewe?
Nimemjibu mdau hapo juu nadhani amenielewa sasa wewe kiherehere cha nini?
 
Kwani hukusikia Palestinians knives attacks, car ramming and stoning? Kama unatarajia kuyasikia hayo CNN sahau. Ukitaka kujua tafiti.

As of Syrian crisis Israel maintain a neutral stance. Isis walishasema wakimaliza Syria wanakwenda Jerusalem.

Fanya utafiti wako punguza uvivu 🙂
 
Humu kuna watu hawazishughulishi akili zao Israel ni taifa linaloshambuliwa sana na magaidi kuliko yote duniani,pili Israel ni taifa lisilomtambua jesus ( yesu) na kwao yesu ni mwana wa haramu aliyezaliwa nje ya ndoa. Waisrael idadi ya watu ni 8,238,000 kati yao wa dini ya judism ( dini yao kuu) 74% islams 20% na dini zingine 6% ktk lugha rasmi 70% hebrew 24% arabic na 6% lugha zingine, ukiangalia hapo uislamu na lugha ya kiarabu ndani ya Israel unanguvu mno kuliko ukristo kwaiyo waisrael si ndugu zenu ktk imani ila munawashoboka tu wenyewe hawawajui wala hawatambui.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom