Elias Mdemu
Member
- Nov 7, 2015
- 14
- 0
Kweli jina la mtu humaanisha alivyo
Kuwachezea israel- wayahudi...
Bila misaada ya USA unahisi israel inaweza kusurvive..!?
Humu kuna watu hawazishughulishi akili zao Israel ni taifa linaloshambuliwa sana na magaidi kuliko yote duniani,pili Israel ni taifa lisilomtambua jesus ( yesu) na kwao yesu ni mwana wa haramu aliyezaliwa nje ya ndoa. Waisrael idadi ya watu ni 8,238,000 kati yao wa dini ya judism ( dini yao kuu) 74% islams 20% na dini zingine 6% ktk lugha rasmi 70% hebrew 24% arabic na 6% lugha zingine, ukiangalia hapo uislamu na lugha ya kiarabu ndani ya Israel unanguvu mno kuliko ukristo kwaiyo waisrael si ndugu zenu ktk imani ila munawashoboka tu wenyewe hawawajui wala hawatambui.
Jesus is with them
israeli imezungukwa na maadui tu. Afadhali kidogo ni Egypt, ila jirani zake wote wanataka wafe.
Siri ni kwamba has best intelligence duniani, na vijana wake tangu shule wanafundishwa kujihami kwasababu wanajua kila jirani hawatakii mema.
Na pia US, kama world super power wanatambua Israeli ni taifa la Mungu na wanawapa vifaa vya kisasa kabisa kuwasaidia kuishi na 'majirani'
Hata hivyo bado wapalestina huwa wanapenyeza na kujitoa muhanga ma hii utokea mara kwa mara ila haitanhazwi sana labda siku ambazo hakuna habari kubwa ndio utasikia bomu au mtu kajilipua israeli.
Let me clarify issue of Christianity and Israel:
historia kubwa ya biblia ni ya falme za Israeli. Daudi ndio alikuwa mfalme bora kuliko wafalme wote wa Israeli.
Pamoja na kwamba Wayahudi (Wa Israeli) walimuua Yesu, ukweli ni kwamba kama Wakristo bado tunawaona Wana Israeli kama taifa la Mungu.
Na kwenye Biblia kuna maandiko yanasema hivyo kabisa.
Biblia pia inasema, Nabii hatakiwi kwao, baadhi ya wayahudi hawampendi Yesu kwasababu waliona anajikweza wakati wanamjua tangu mtoto na alikulia mtaani.
Ila hilo halibadilishi mtazamo wa Israeli kama taifa la Mungu (hii ni IMANI DHABITI ya Wakristo dunia kote)