Kwanini Iran inakatazwa kuwa na Nuclear?

Kwanini Iran inakatazwa kuwa na Nuclear?

Uchambuzi famba sana
Hata pakistani ilikuwa hivo hivo walitaka kushambulia wakawekewa ndege za one way kwenda kufumua dimona mutuala assured destruction wakachill.
Shida ni Israel nchi zote zenye asili ya kiislamu au ambazo ni pro -palestina ni tishio kwa israel kwa maana siku moja zinaweza kuwasaidia wapalestina kwa kuwa israel anakalia hapo alipo kimabavu ilikuwa hivyo kwa Saddam hussein ambaye alikuwa hafadhili kundi lolote na imekuwa hivyo kwa Libya hivyo israel anafurahi akiwa yeye ndio mwenye nguvu kubwa ya kijeshi eneo hilo kuliko wenzake akitoa mbabe lazima atamletea visa vingi ili kujihakikishia usalama wake hivyo anapenda mataifa ambayo ni pro usa maana anayaweza kuyamudu ila mataifa yenye misimamo huru hayapendi hata kama hayana nguvu kuliko yeye mfano syria au algeria etc.
Pakistani wako wise zaidi na ni rafiki na magharibii, Irani kuna mtu anaitwa supreme leader huyo anajua dini tu, na ndiye anayweza toa final ruksa ya ku ya rusha ma nuklia, bahati mbaya mpaka leo hawana hata bomu moja la nuclear
 
Pakistani wako wise zaidi na ni rafiki na magharibii, Irani kuna mtu anaitwa supreme leader huyo anajua dini tu, na ndiye anayweza toa final ruksa ya ku ya rusha ma nuklia
Ayatollah Ali Khamenei kwa sasa. Ila muasisi wake ni Ayatollah Khomeiny aliyefanya mapinduzi ya mwaka 1978/9.

Imani ya Shia siyo hatari kwa Israel tu bali hata kwa Waislamu wa imani ya Sunni
 
Shida moja kuu ya iran anafadhili makundi ya kigaidi hapo middle east Iran ni kama mwendawazimu anagawa silaha kwa makundi ya kigaidi alafu anawatuma wakavamie israel na meli za wazungu

Yaani Iran anawapiga wazungu kwa mkono wa vikundi vya wanamgambo so wazungu wanaona akifanikiwa kumiliki hayo mabomu hapo midle east ndio hapata tulia tena na hadi hao wanamgambo wanaweza miliki hzo silaha kabisa so ili kuepusha kufikia huko wanataka wamvunje hiyo nguvu kabisq
Sasa mbona hiki unachosema walikianzisha marekani na washirika wake?
Islamic state alianzisha Iran? Vipi Boko Haram ambapo serikali ya marekani imekiri kwamba limekua likifadhiliwa na serikali ya marekani kupitia fedha zinazoitwa za msaada?
Hapo Syria penyewe marekani imekua ikishirikiana na makundi yanayolinda maslahi ya marekani.... Tafuteni utetezi mwingine
 
Shida moja kuu ya iran anafadhili makundi ya kigaidi hapo middle east Iran ni kama mwendawazimu anagawa silaha kwa makundi ya kigaidi alafu anawatuma wakavamie israel na meli za wazungu

Yaani Iran anawapiga wazungu kwa mkono wa vikundi vya wanamgambo so wazungu wanaona akifanikiwa kumiliki hayo mabomu hapo midle east ndio hapata tulia tena na hadi hao wanamgambo wanaweza miliki hzo silaha kabisa so ili kuepusha kufikia huko wanataka wamvunje hiyo nguvu kabisq
Nyie mmelishwa ujinga Kuna nchi inaogoza kufadhili Magaidi kama USA kiongozi wa sasa wa Syria alieongoza Mapinduzi Syria unamjua vizuri Acheni ujinga na propaganda za kijinga
 
Nyie mmelishwa ujinga Kuna nchi inaogoza kufadhili Magaidi kama USA kiongozi wa sasa wa Syria alieongoza Mapinduzi Syria unamjua vizuri Acheni ujinga na propaganda za kijinga
Mkuu jf ya sasa, imekua na watoto wengi.
 
Islamic Republic of Pakistan
Kama Pakistani nayo ni Islamic republic, basi itakuwa haina mpango wa kuangamiza watu kama walio nao Iran.

Iran muda wote wanahubiri kuwafuta wayahudi, wakipata nyuklia si watawafuta mara moja.

Vipi yale makombora 300 yaliyorushwa kwenda Israel mwaka jana, yangekuwa ya nyuklia je?
 
Kama Pakistani nayo ni Islamic republic, basi itakuwa haina mpango wa kuangamiza watu kama walio nao Iran.

Iran muda wote wanahubiri kuwafuta wayahudi, wakipata nyuklia si watawafuta mara moja.

Vipi yale makombora 300 yaliyorushwa kwenda Israel mwaka jana, yangekuwa ya nyuklia je?
U.S ndio taifa pekee mpaka sasa kutumia mabomu hayo hatari kuua watu.

Unafikiri nyuklia unaitumia tu vyovyote vile ukijisikia ? Lakini mwendawazimu mmoja Marekani katika historia ya dunia hakujali lolote alifanya maamuzi hayo ya kiwendawazimu.
 
Nae anatakiwa kupokonywa nyuklia.

Kumpokonya sasa ni ngumu maana ni kichaa, hatutaki kichaa mwingine Iran nae aje atusumbue kumpokonya, ni bora azuiliwe kuipata.
Nafikiri kichaa ni yule ambaye amewahi kuitumia nyuklia.

Ni rahisi zaidi yule mwenye historia ya kuwahi kutumia nyuklia kushambulia taifa lengine kurudia tena kufanya hivyo, au haukubaliani na hii hoja mkongwe?
 
Sababu huijui????

Waislamu hawaaminiki, watalipuana wao kwa wao kisha wataleta fujo duniani, Usimpe muislamu panga, atakata mdugu zake akimaliza atakugeukia
Mmarekani ndiye aliyewahi kutumia Nuclear weapons je naye ni muislamu??
 
U.S ndio taifa pekee mpaka sasa kutumia mabomu hayo hatari kuua watu.

Unafikiri nyuklia unaitumia tu vyovyote vile ukijisikia ? Lakini mwendawazimu mmoja Marekani katika historia ya dunia hakujali lolote alifanya maamuzi hayo ya kiwendawazimu.
Ndio maana hatutaki sasa wendawazimu wengine waendelee kupata nyuklia, yatakuja kufanya uwendawazimu kama mwenzao US alivyofanya, yataiangamiza dunia.
 
Naomba kuuliza ni kwanini Iran haruhusiwi kua na Nuclear? Wakati India, south africa, uk, russia, israel, pakistan, china nk wanazo!!! Kwanini Iran haruhusiwi?
Pakistan ni makosa makubwa yalifanyika na mataifa makubwa yanajuta.
Hivi wewe Allah, unaweza kumuamini awe na silaha mbaya hizo za maangamizi kwa binadamu!!??
 
Back
Top Bottom