Chukulia watumishi wa umma. Wanalipwa kwa kodi za wananchi. Wananchi hawana haki ya kujua kodi zao zinatumiwaje? Angalia kampuni yenye shareholders wengi, wenye share hawana haki ya kujua wafanyakazi wao wanalipwaje?
Sababu hasa ni mishahara duni.
Hivi unadhani ingekuwaje kama notice board ya kazini kwenu ingeorodhesha mshahara wa kila mtu?
Ufisadi na wizi vingefanywa bila huruma.