cheti, diploma, bachelor?Aisee wadau kuna mtu kaniuliza mshahara wa IT hapa Bongo umekaaje na soko likoje kwa mtu aliesoma IT, COMPUTER SCIENCE au COMPUTER ENGINEERING na kozi relevant na hizo.
Kiande nini?300k private huko maana IT wengi ni viande.
Weupe kichwani na ktk Ubunifu.
Ndezi.Kiande nini?
mkuu sema suu tuhack account hiyooo300k private huko maana IT wengi ni viande.
Weupe kichwani na ktk Ubunifu.
IT ni pana sana, inategemea unafanya kazi gani na unaifanyia wapiAisee wadau kuna mtu kaniuliza mshahara wa IT hapa Bongo umekaaje na soko likoje kwa mtu aliesoma IT, COMPUTER SCIENCE au COMPUTER ENGINEERING na kozi relevant na hizo.
Hahah au siomkuu sema suu tuhack account hiyooo
Mshahara huwa unategemea wapi unafanya kaziAisee wadau kuna mtu kaniuliza mshahara wa IT hapa Bongo umekaaje na soko likoje kwa mtu aliesoma IT, COMPUTER SCIENCE au COMPUTER ENGINEERING na kozi relevant na hizo.
IT mshahara unajilipa wewe mwenyeweAisee wadau kuna mtu kaniuliza mshahara wa IT hapa Bongo umekaaje na soko likoje kwa mtu aliesoma IT, COMPUTER SCIENCE au COMPUTER ENGINEERING na kozi relevant na hizo.