maongezi gani mkuu ambayo hausikii?hiyo ni ISUkiishia kifuani kwako si hata wakati wa maongezi inakuwa changamoto.
Maana akitaka kuongea na wewe inabidi anyanyue shingo.
Yep! Why not?Na unakuwa comfortable kabisa mkiongozana mtaani ?
Mimi wakwangu anaishia masikioni, na tunanoga vibayamwanamke urefu wake uishie kifuani kwako au shingoni zaidi ya hapo hatonoga
anakunyonya masikio halafu anakung'ata,bila shaka wewe ni andunje mkuu....Mimi wakwangu anaishia masikioni, na tunanoga vibaya
Kwani hiyo balansi unayoisema, haiwezi kutokea mwanamke akiwa mrefu??!Wanaume warefu huwa wanapenda wanawake wafupi ili ku-balance uzao wao wawe warefu wastani.
Mf. Chukulia Peter Clouch (mchezaji ) amuoe binti Kagame, huo uzao wao utakuwa mangongoti.
Pia kwa wafupi ni hivyo.
Nimewahi mwanaume mfupi alioa mke mfupi, Yaani watoto wao ni wafupi wafupi mno.
Itokee sasa mwanaume kazidiwa urefu, hela, unene, etc... Kwa maneno ya wanawake, HIYO NDO ITAKUFA WAO WAKIWA HAIWanaume wengi wana inferiority complex na fragile masculinity.
Ndo maana mwanamke akimzidi kidogo urefu anajiona ana kasoro.
Kwa wastani, wanaume huwa warefu kuliko wanawake...
Hivyo tarajia hata couples kuwa na the same effect...
Watu ni waoga tu hawajiamini,mwanamke yeyote mfupi au mrefu anaolewa na mwanaume yeyote mwenye kujiamini.Wanaume wengi wana inferiority complex na fragile masculinity.
Ndo maana mwanamke akimzidi kidogo urefu anajiona ana kasoro.
Kwa niaba ya wanaume wafupi tunatangaza kuwasusia wanawake warefu wote hadi huu uzi utakapotoa. Mrejesho kwa nn wanatukataa.Habari za asubuhi wakuu!
Kama heading inavyojieleza hapo juu, katika tathmini yangu ya muda mrefu kila couple/wapenzi nnaokutana nao au nnaowafahamu ni nadra sana tena sana kukuta mwanamke ni mrefu zaidi kumzidi mwanaume.
Swali langu ni kwa nini wanaume hatupendi wanawake waliotuzidi kimo na wanawake hawapendi wanaume waliowazidi kimo ? View attachment 1114910
Una uhakika wanaume wafupi wamekuhusu uwawakilishe ?Kwa niaba ya wanaume wafupi tunatangaza kuwasusia wanawake warefu wote hadi huu uzi utakapotoa. Mrejesho kwa nn wanatukataa.