Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

Yericko nyerere nimeamini sasa siasa zimekufumba macho umekuwa kipofu asiyetarajia kuona tena. Kila atakachosema raisi kikwete basi wewe kwako ni hoja. Historia ya nchi husika inaandikwa na wenye nchi wenyewe. Wenyewe wazanzibari wanasema karume ndiye aliyefanya mapinduzi, unataka kubishana nao? Heshimu historia ya wahusika huyo john okelo wakati anafanya mapinduzi ulikuwepo? Acha kuamini historia za kusimuliwa. Kuna wazee walioshiriki mapinduzi takatifu ya zanzibar mpaka leo wapo na hawamtaji john okelo kama kiongozi iweje wewe wa kutoka bara ushikilie issue isiyokuhusu. Sawa unatofautiana kiitikadi na aliyesema hayo lakini isiwe sababu ya kutuaminisha uongo na kuleta mada za kutugawa. Heshimu historia ya watu na kumbuka kuwa upinzani haimaniishi kupinga hata mazuri anayofanya mwenzio wa upande wa pili.

Hii mada umeijibu bila kutulia ndugu,

Unaposema nataka kuwagawa, hapa unamaanisha ugavi upi?

Hebu fafanua zaidi ndugu.
 
kuwa dar sio tatizo.okello aliiteka zanzibar.tofautisha utekaji na mapinduzi.karume alifanya mapinduzi wakati okello alifanya utekaji.hapo ndio kuna tofauti
Kwa hiyo Karume alimpindua Okello na siyo Serikali dhalimu ya kikoloni?
 
Dah ! Inabidi niwakalishe chini wanangu ili niwasimulie upya kuhusu mapinduzi ya zanzibar , wamepotoshwa sana .
 
Ningekujibu lakini niko Busy tunatafuta Simu ya Balozi iliyoibiwa pale Ikulu kwenye ile dhifa ya kitaifa siku ya Mapinduzi!
tehe hehe he. ngoja nijiondokee kimya kimya. cm ilifichwa kwenye matiti ya bidada wakamuacha ajiondokee pasipo kumtilia shaka.
 
Nikusaidie ndugu yangu,

Kwenye mapinduzi ya ukombozi wa muafrika kwanza ilikuwa ni uafrika, pili dhamira,

Utaifa yaikuwa ishu yamsingi,

Che Guevara ndie baba wa Taifa la Cuba, lakini yeye alikuwa ni Muajentina,

Vilevile alishitiki harakati za ukombozi wa DRC dhidi ya dikteta Mobutu,

Alishiriki akiwa sambamba na R. Kabila, na moja ya karipio lake kwa tabia mbaya ya Kabila ilikuwa ni,

"...Ni vigumu kutegemea vijana waliogubikwa na mawazo ya ngono na wasio na elimu endelevu kuleta mapinduzi katika nchi maskini! Mapinduzi hayaletwi na watu wanaoabudu `Ngono' na `Pombe!" ~ CHE GUEVARA (Maneno haya alimwambia kijana shupavu wa kivita, pale Congo DRC LAULENT KABILA 1964)

Uafrika unaujuwa au unajisemea uliyodanganywa tu?


untitled-1-copy.jpg

Komred Badawi Qullatein zama za uhai wake

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bar-bado-kuna-maswali-bila-majibu-1-a-13.html
 
Hii mada umeijibu bila kutulia ndugu,

Unaposema nataka kuwagawa, hapa unamaanisha ugavi upi?

Hebu fafanua zaidi ndugu.

Post yako umeiweka kisiasa zaidi. Unaposema ikulu imedanganya unamaanisha ikulu ipi ikulu ya magogoni au ikulu ya zanzibar. Sherehe za mapinduzi muhusika ni raisi wa zanzibar. Kumbuka Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na zanzibar, Na mapinduzi yalifanyika kabla ya muungano hivyo taarifa yoyote itakayotolewa na ikulu ya magogoni kuhusu mapinduzi fahamu kuwa kwa asilimia mia moja imeletwa na raisi wa zanzibar. Hivyo kama kweli ulitaka tuchangie mada yako then ungeandika. IKULU YA ZANZIBAR YAIDANGANYA IKULU YA MAGOGONI KUHUSU UKWELI WA HISTORIA YA MAPINDUZI.

Yaani ulichokipost ni sawa na mkenya aje hapa aseme nyerere hakupigania uhuru. sisi kama watanganyika tuna historia yetu, na wao kama wazanzibari wanahistoria yao. Misingi ya kutugawa inakuja hapo. Wazanzibari wenyewe wanaamini na katika sherehe wameeleza karume ndiye baba na muasisi wa nchi yao Raisi JK kasema hivyo hivyo kama walivyosema wao, HAPO KUDANGANYA KUNATOKEA WAPI?
NOTE: Napata shida sana ku imagine Tanzania itakavyokuwa siku chama chako kikishika nchi. Kama mawazo yenu yenyewe ndiyo haya, mtavuruga sana amani, upendo, umoja na mshikamano uliojengeka miongoni mwetu.
 
okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere

Huelewi unachozungumza wewe................... Okello ndiye aliyeongoza mapinduzi ya kumwondoa sultani wa zanzibar, hutaki unaacha. Mnasema ni gaidi kwakuwa hakuwa Alqaeda siyo!
 
Mbowe alikuwepo?
Kwakua mpaka sasa hivi TV yangu iko kwenye mfumo wa Analogia sikuweza kumuona Muheshimiwa Mbowe kwenye hiyo Dhifa lakini nimesikia kua wenye TV zenye kutumia mfumo wa DIGITALI walimuona Maalim Seif Sharifu Hammadi kua alikuwepo kwenye hiyo Dhifa na ni yeye peke yake alikua amevalia Kanzu!
 
Mambo mengine bwana,
Hivi mama yako akikuambia Juma ni baba yako then baadae ukagundua (lazima umesimuliwa) aliitwa John utauminishaje umma kuwa Juma si baba yako? Elewa siasa haina DNA
 
okello hakuwa mzanzibar wewe.yule alikuwa gaidi.hawezi kuingia kwenye historia ya zanzibar.mapinduzi yaliongozwa na karume. mbona wewe unatudanganya ni mtoto wa nyerere

Kutokumuingiza Okello kny history ya ukombozi wa Zbr ni uhuni tu wa watawala. Okello ndiye aliyeongoza yale mapinduzi, wkt huo Karume kajificha kny mitaa ya Kariakoo, DSM. Karume alikuwa mwoga tu, hajawahi kuwa shujaa. Okello ndiye aliyeiteka Radio na kutangaza Mapinduzi. Karume amshukuru Nyerere kwa kumhifadhi na kumkabidhi nchi on a silver plate!!
 
hivi harakati za kumng'oa mabutu zilianza lini?kabila aliingia lini madarakani?acha uongo kabila hajawahi kusaidiwa na che guevara hata siku moja wewe.harakati za kumtoa kabila zilianza wakati che guevara ameshakufa siku nyingi

mkuu uko mbali sana na ukweli....
 
hivi harakati za kumng'oa mabutu zilianza lini?kabila aliingia lini madarakani?acha uongo kabila hajawahi kusaidiwa na che guevara hata siku moja wewe.harakati za kumtoa kabila zilianza wakati che guevara ameshakufa siku nyingi

HISTORIA YA KABILA....

Kabila was born into the Luba tribe in the southern province of Katanga. He studied political philosophy at a French university and attended the University of Dar es Salaam in Tanzania, where he met and formed a friendship with Yoweri Museveni, the future president of Uganda.

In 1960 Kabila became a youth leader in a political party allied to Congo's first postindependence prime minister, Patrice Lumumba. In 1961 Lumumba was deposed by Mobutu and later killed.

Assisted for a time in 1964 by guerrilla leader Che Guevara, Kabila helped Lumumba supporters lead a revolt that was eventually suppressed in 1965 by the Congolese army led by Mobutu, who seized power later that year; in 1971 Mobutu renamed the country Zaire.

n 1967 Kabila founded the People's Revolutionary Party, which established a Marxist territory in the Kivu region of eastern Zaire and managed to sustain itself through gold mining and ivory trading. When the enterprise came to an end during the 1980s, he ran a business selling gold in Dar es Salaam.

In the mid-1990s Kabila returned to Zaire and became leader of the newly formed Alliance of Democratic Forces for the Liberation of Congo-Zaire. As opposition to the dictatorial leadership of Mobutu grew, he rallied forces consisting mostly of Tutsi from eastern Zaire and marched west toward the capital city of Kinshasa, forcing Mobutu to flee the country. On May 17, 1997, Kabila installed himself as head of state and reverted the country's name to the Democratic Republic of the Congo.

As president, Kabila initially banned political activity but in May 1998 promulgated a decree that established a national constituent and legislative assembly. The subsequent arrest of oppositionists, however, undermined the apparent move toward democracy, and allegations of human-rights abuses against Kabila's forces continued.

In August 1998 the Banyamulenge, people of Tutsi origin who had helped bring Kabila to power, launched an open rebellion in the eastern part of the country. Resentful of Kabila's seeming favouritism to members of his own ethnic group and fearful of reprisals from rival factions, they were supported by the governments of Uganda and Rwanda, which had been angered by Kabila's failure to prevent raiders from threatening their borders. Though a cease-fire was reached in July 1999, sporadic fighting continued.

On January 16, 2001, Kabila was shot by a bodyguard at his presidential palace in Kinshasa. Initial accounts stated that he was killed during the attack, but Congolese officials denied the reports. On the 18th, however, it was announced that Kabila had died while on an airplane en route to Harare,Zimbabwe. On January 26 his son, Joseph Kabila, was inaugurated as Congo's president.
 
Back
Top Bottom