gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Kwa mzee Kimambi?Mwele marehemu alikuwa mama wa kambo wa Mange.
Kwa mzee Kimambi?Mwele marehemu alikuwa mama wa kambo wa Mange.
Ndio, Mwele alikuwa mchepuko wa Mzee Kimambi, Mange alipofukuzwa na Mke wa Kimambi (ambaye pia ni mama yake wa kambo) akakimbilia kuishi Kwa mweleKwa mzee Kimambi?
wamezika huku wanafufua makaburiMakubwa
Ndo nani huyo??Biography ya Kim sio mchezo, jamaa lilijua kupiga nyapu zenye faida, kila nikimjengea taswira picha yake inakataa kukaa kwenye kichwa yangu, nimeenda kumgoogle nimeambulia patupu.
Jamaa ninaonekana nililikua smart sana kwenye kucheza na akili za wadada wenye senti zao.
Popote ulipo muheshimiwa Kim Jong Un agiza soda mi nitalipa, na sanamu lako tutalijenga kwenye daraja la Tanzanite.
Kwanini??kila niki-imagine taswira ya kim aliyetajwa na mleta mada na maisha aliyokuwa anaishi, namuona maulidi kitenge anakuja anakataa.
Ukisoma mwanzo wa thread utamjua Kim ni nani.Ndo nani huyo??
Hata sielewi mambo ya kishua hayaUkisoma mwanzo wa thread utamjua Kim ni nani.