Hata mimi nashangaa mkuu Habari hii imewataja wengi watu mashuhuri na viongoz lakini cha ajabu kichwa cha habari juu Kawekwa Mange Kimambi why!! Lemutuz aache ushankupe wake bwana ampumzishe mdada wa watu
Kazi kweli kweli, hivi inakuwaje mtu anafuatilia maisha ya mtu kiasi hiki? Amefahamuje taarifa za KIM hizi zote? It means wako close, huu urafiki wa mashaka kwa kweli. Bora Kuishi kivyako kama ngozi nyeupe