Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,513
- 52,155
Kwema Wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza, ni sababu gani inayokufanya usitake kuonana na watu wa kijijini kwenu hapa mjini?
Mimi: Kwa sababu mambo yangu hayajakaa sawa. Wewe?
Kama kichwa kinavyojieleza, ni sababu gani inayokufanya usitake kuonana na watu wa kijijini kwenu hapa mjini?
Mimi: Kwa sababu mambo yangu hayajakaa sawa. Wewe?