Kwanini hukunambia mapema M?

yaani wee ukishasahihisha mtihani wangu nikafaulu basi mwingine habadili msimamo.

Kweli kuna haja ya kufunza mabinti zetu kujiamini kwa vyovyote walivyo.

Mdogo wangu Kongosho,

Kila mtu ana vigezo vyake na ni muhimu kumpa taarifa zote nyeti ili afanye maamuzi...

Sasa huyu dada kaamua kukaa na siri za mtoto wake 5 yrs eti anakuja kusema leo? Labda alidhani kwamba, kwa vile uhusiano umeshafika mbali basi mwanamume keshauvaa mkenge....Weweee.....Sasa amekiona cha moto...Acha kuchezea mwanamume anayejua analolitaka!!

Pamoja na mabinti kujiamini, waache kuzaa zaa hovyo...siyo sifa hata kidogo. Badala yake wanajifungia njia!! Kwa hali ya technology sasa, siwezi kumuelewa binti anayezaa tu bila malengo, kwani kwa upande mmoja ni uzembe wake. Ila wale walioamua kuzaa nawashauri wawe na ujasiri wa kutoficha siri!!

Laiti hawa watoto wangekuwa wananielewa...Ndo maana huyu M natamani kumchapa viboko!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
ndipo hapo ninapozungumzia kuwa upendo wa kweli HAUKUWEPO! Kama upo unasamehe mara moja, kwanza unajiona kuna kitu unakimiss na unajiona hujakamilika bila uwepo wa yule mtu! my dear RR tumepita kwingiiiii, tumevuka mengiiiiiii na kusamehe bila kikomo! ,maana najua ni wangu niliyepangiwa na MUNGU, na HAKUNA KUACHANA KATI YANGU NA YEYE! UPENDO DAIMA ILI UKAMILIKE NI SADAKA, U HAVE TO SACRIFICE! bila hivyo jiulize sana maswali, lazma kuna tatizo!
@cacico, kwanza nikiri kwamba kuiniita dear imeniongezea siku nne na nusu za maisha (ita tena tafadhali, ukiita darling naongeza mwaka wa kuishi kwa furaha) :A S tongue:.

Hii kitu mapenzi huwa inajengwa kwenye 'character' za wahusika (siamini katika mapenzi bila sababu, kila mtu ana sababu ya kupenda).
Ni wazi kwamba N alimpenda M kama 'character'......Sasa kama N alimpenda M kwa sababu aliona na kuamini kwamba M ni 'sincere' kwake, halafu baada ya miaka 5 anagundua kwamba huyo M sio 'sincere', kama alivyodhani....well, inabaki njia moja tu, kuingia mitini!

N asilaumiwe kwa kuvunja uhusiano wake na M, kwa kugundua alidanganywa! Narudia tena, msamaha ni jambo linamotoka moyoni na sio mdomoni!
*NB: Usisahau kuniita dear (au darling kabisa)!
 
kuna wanaume washamba sana?....huyo afai katika jamii..kuzaa kitu gani bwanaaa?....ngoja nisain out maaana..khaaa..kwani mtoto ni sumu?

sio sumu smile, tatizo ni kuficha kwa miaka mitano kwamba huna mtoto, kwani dada angejisemea tu nina mtoto siku ya kidate cha kwanza pangeharibika nini, mkaka wa watu angeamua siku hiyo hiyo.
 
wanawake wakiwa wasiri wanakuwa wasiri sana.five years ya mahusiano,unamficha mwenzako?inashangaza kwa kweli.ila mimi naamini huyo kaka atajirudi tu,mapenzi ya muda mrefu,kuachia just like that,huwa ni ngumu hasa ukiangalia tatizo sio kama mmoja ame cheat kuwa na mtu mwengine,ingawa suala la mtoto kulipokea hapo kwa hapo huwa ngumu,maana jamaa atahisi kama maybe kutakuwa na mahusiano na baba mwenye mtoto.

Kisukari,
Niambie which is so serious, Kucheat na jinsi huyu dada alivyofanya??? Jamani kucheat mbona jambo la kila siku??? ebu wote tujitazame tu wa safi kiasi gani????? then ndio tulalamike
 
Sorry to say this.....Huyu dada anaweza kuwa wale wa style ya kutamani hata mtoto aliyemzaa mwenyewe afe tu....akipata kaibisi kalikomuingia amuue anaweza ua huyu, kwa nini nasema hivyo, ni kwa sababu hawezi kuwa na mtu ambaye anategemea awe baba kwa sehemu kwa mtoto wake kwa muda wote huo halafu asiseme ana mtoto. Amemficha mwanaye, kwa maslahi ya ndoa, amejiletea maumivu yasiokuwa na sababu.

Hapo anaweza kuanza kuirudia historia ya kupatikana kwa huyo mtoto mwanzo mwisho, ikamtafuna mpaka mifupa yote. Roho ya majuto na kukataliwa itamfuata tu na kila akimuangalia huyo mtoto atakuwa anamuona kikwazo.

Dah hata huyo mtoto atakapojua mama yake hana furaha kwa kuwa yeye (mtoto) amekuwa kikwazo kwenye mipango yake ataumia na kujuta kuzaliwa wwakati huo na mama huyo.

Ushauri hata kama nimechelea....Kwanza huyo dada ajikubali na amkubali mtoto wake yeye mwenyewe, kwa watu wote na jamii yote. Ajue tu huyo ndio kiumbe ambaye atasema huyu ni mama yangu, mpendwa wangu, popote pale katika shida na raha ataita mama. Hata akikengeuka akamdharau mama yake lakini ipo siku atakumbuka tu MAMA yangu.

Akiumwa atasema mama yangu, akiwa na furaha atasema mama yangu, POpote pale atasema mama yangu. Huyo ndio mtu pekee ambaye hata dunia yote ikutenge, wakuite majina yote mabaya yaliyopo huku duniani, lakini yeye atasimama na kusema huyu ni mama yangu, pamoja na yote huyu ni MAMA YANGU.

Amheshimu mtoto wake, kumtunza na kumlea.....Kama Mungu amemuandikia NDOA itakuja tu pole pole.....
 
ww kama ni rafiki yako lzm utakuwa unamfahamu huyo kaka, mpeni muda theni ww ukaongee na huyo jamaa kumueleza ni jinsi gani rafiki yako ameumizwa hiyo breaking, but mueleze wazi kwamba rafiki yako anakiri kuwa alikosea kutomweleza tangu awali lkn pia anatakiwa amshukuru kwa kumueleza before marriage hapo kama kweli jamaa anampenda atamsamehe hebu muulize what if angemweleza after marriage? hapo ingekuwa no point of return! Binafsi nasema mdada amefanya makosa sana ila simlaumu jamani ni mapenzi alifikiri ataanzaje ila ni shujaa akaona asife na dhambi ya kumdanganya mtu. Nawatakia kila la heri warudiane kwa upendo.
 
Please nisaidie Dada! .ni kauli ya Meggy hiyo Kwangu.

Jamani mie namsaidiaje huyu rafiki ?

M & N Wamekuwa wapenzi for more than 5 years sasa long distance na wakikutana kila mmoja ana hamu na mwenzie.
Dada yuko 29 yrs old
Kabla ya hapo Bidada aliwahi kuzaa mtoto wake ana miaka tisa na alikuwa anajipanga ni lini amwambie mwenzie.
Jamaa amekuja kutoka huko ovasizi na ilikuwa next jmos wafanye engagement tayari kwa mambo mengine.
Meggy jmos ya tarehe 09 akamuomba mchumba wake watoke out kwa maongezi.
Jamaaa kwa Furaha akaitikia wito..wakiwa wametawaliwa na vicheko vya upendo ndipo Meggy kavunja ukimya kwa kumwambia Mchumba wake
Kuwa ana mtoto wa miaka 9 na alingoja tu wapate muda mzuri ili amwambie.
Jamaa alinyanyuka kwa hasira na kusema Kwa nini hukunambia mapema ?
it is over between us..naomba urudi nyumbani na unisahau milele.
Baada ya hapo Kaenda kwa mchumba nyumba imefungwa..
Toka hapo Meggy anapiga simu hapokei ..
anatuma message hazijibiwi ni week ya pili sasa
kabaki analia tu hata ukiongea nae ni machozi yanabubujika tu.

Jamani akina kaka/baba afanye nini huyu dada maana amekuwa mgonjwa ghafla…
Kina mama/dada mpeni mawazo huyu binti namuona kila siku anazidi kuchanganyikiwa..

Nawasilisha....!

She took long to reveal what is in the closet that is why the guy ran away...hata hivyo ajipe moyo jamaa anaweza kushusha munkari akarudisha tena majeshi
Kumbe JD was light.....Lady Jay Dee - Teja - YouTube
 
Pole yake M kuachwa kubaya jamani sikieni tu hivi hivi! I really feel and understand what you're going thru bidada, haisaidii sana kukulaumu kwa sasa ingawaje mimi natofautiana sana kimtizamo na wewe, mwenzio mwanangu ndio roho yangu jamani! Ana umri wa miaka 8 na ndio kila kitu maishani mwangu! Ohooo nitaanza kukupa story za mwanangu bure badala ya kukupa mawazo.
Machango wangu ni hivi:
1. Najua inauma lakini muache N atulie kwanza, mpe muda wa kutafakari, chukulia kama ingekua wewe je? (ingawa wanawake tu wepesi sana kusamehe)
2. Usisononeke sana tunajifunza kutokana na makosa; usijeficha jambo lolote muhimu ambalo litahusika kwa njia moja ama nyingine katika uhusiano wako huko mbeleni.
3. Kama nilivo sema na 1. Give him space lakini meanwhile piga goti, sali mama sala zoote unazozijua – kama wewe ni mkatoliki funga novena muombe Mungu akuonyeshe njia
- Kama N ni ubavu wa kwako atarudi
- Hata asipo rudi mshukuru Mungu kwa kila jambo atakupa mwingine ambaye ni ubavu wako.
 
ww kama ni rafiki yako lzm utakuwa unamfahamu huyo kaka, mpeni muda theni ww ukaongee na huyo jamaa kumueleza ni jinsi gani rafiki yako ameumizwa hiyo breaking, but mueleze wazi kwamba rafiki yako anakiri kuwa alikosea kutomweleza tangu awali lkn pia anatakiwa amshukuru kwa kumueleza before marriage hapo kama kweli jamaa anampenda atamsamehe hebu muulize what if angemweleza after marriage? hapo ingekuwa no point of return! Binafsi nasema mdada amefanya makosa sana ila simlaumu jamani ni mapenzi alifikiri ataanzaje ila ni shujaa akaona asife na dhambi ya kumdanganya mtu. Nawatakia kila la heri warudiane kwa upendo.
Huyu Jamaa hapokei simu sasa sijui yuko wapi ..kwake amefunga hayupo ..inawezekana kisharudi ovasizi nitampatia wapi.Hapa ngoja tufunge kwa maombi mwenyezi mungu afanye miujiza .
 
hata mimi ningekasirika, nyie wanawake ndio mnapochemsha hapo, kama una mtoto inabidi ile siku ya kwanza mnakutana unamwambia ili hata ki akili aanze kujipanga unajua hivi vitu vina affect sana mental state ya mtu sasa wewe unamwambia mtu una mtoto a few days before the engagement day that's a mistake hata mimi nisingekubali. Hivi vitu ni very sensitive kwa maisha ya mtu kwa sababu yule mtoto atakua part of his life so inabidi umwambie toka mwanzoni kabisa ili ajue anasuka au kunyoa. Mpe pole imekula kwake

Dada hakufanya vibaya kumwamia wakati huo, na hapo ndipo alipotakiwa kuthibitisha upendo wake kwa huyo dada.Kwani huyo kijana alikuwa Bikira? na je alishatoa sifa za mpenzi anayemtaka aweje? Kwani kinachopendwa ni Mtoto wake au huyo Dada?
inawezekana kabisa huyu kijana katika pitapita zake na wadada wengine, alipatikana mtoto kama wa huyo mchumba wake, tofauti tu ni kwamba yeye ( huyo) kijana hakubaki na alama ya mimba na hatimaye mtoto la sivyo wnaume wangekuwa na alama mbaya sana na zisizofutika.

Msamaha ni kitu cha muhimu, na mara nyingi ndoa za aina hii huwa na nidhamu sana hasa kila mmoja akijitambua kuwa hakuwa Malaika kabla ya kuoana.
 
Kwa kifupi jamaa amempigia simu jana na kumwambia It is over na anaomba Meggy azoee hiyo hali
Meggy kambembeleza na kumuomba apate muda wa kufikilia kwani wametoka mbali na walikuwa wanapendana kweli jamaa kasema hana cha kufikilia zaidi.it is over na amamaanisha.
Huo ndio mwisho wa Penzi la Meggy na N :mad:
 
Dah! Pole yake mdada, mimi watoto wangu kwanza, mapenzi baadaye, hutaki SEPA.....

Mimi huwa sielewi unawezaje kaa na mtu kwa wiki nzima hujamtaja mwanao kama unaye.
Hainiingii akilini sababu mwanangu ni part and parcel yangu.

Yaani nikianza kumtamani tu mtu atajua nina watoto 3 kila mmoja na baba yake na hata majina ya baba zao atayajua.

Sio fair hata kidogo kuficha, yaani mtu unalala naye 24hrs hajajua kama una watoto?

Babu Dark City njoo unieleweshe hapa maana mie sioni kwa nini Meggy anashangaa kuachwa na kwa nini aendelee kumsumbua huyo kijana wa watu kwa mimeseji
 
Last edited by a moderator:
Huyu Jamaa hapokei simu sasa sijui yuko wapi ..kwake amefunga hayupo ..inawezekana kisharudi ovasizi nitampatia wapi.Hapa ngoja tufunge kwa maombi mwenyezi mungu afanye miujiza .

Ni haki yake FirstLady .....tena mwacheni mkaka wa watu atulie manake ameshtuka na kuogopa sana.....hapo alipo anajiuliza M amewezaje kuishi na siri kubwa kama hiyo kwa miaka mitano?.....hata hivyo huyo M ni mgumu asee mie bado najiuliza amewezaje?.....miaka mitano humtaji mwanao midomoni???....anampenda kweli jamani khaaa!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kifupi jamaa amempigia simu jana na kumwambia It is over na anaomba Meggy azoee hiyo hali
Meggy kambembeleza na kumuomba apate muda wa kufikilia kwani wametoka mbali na walikuwa wanapendana kweli jamaa kasema hana cha kufikilia zaidi.it is over na amamaanisha.
Huo ndio mwisho wa Penzi la Meggy na N :mad:

Ameyataka mwenyewe atajibeba!
 
Kwa kifupi jamaa amempigia simu jana na kumwambia It is over na anaomba Meggy azoee hiyo hali
Meggy kambembeleza na kumuomba apate muda wa kufikilia kwani wametoka mbali na walikuwa wanapendana kweli jamaa kasema hana cha kufikilia zaidi.it is over na amamaanisha.
Huo ndio mwisho wa Penzi la Meggy na N :mad:


hana Lolote huyu hakuwa muoaji hata kidogo
 
Kudate msichana au mvulana ambae ana mtoto nafikiri its a matter of principle za mtu mwenyewe. Huwezi kusema ya kuwa maadamu una mtoto hakuna tatizo, hai apply kwa kila mtu. Wasihukumiwe watu ambao hawataki kuwa na mtu asiyekua na mtoto. Mathalani ukichunguza ni matokeo ya makuzi,aghalabu mtu familia aliyokulia kama baba au mama yao haikuwahi watokea. Na si semi kuna tatizo kuwa na mtu mwenye mtoto bali inategemea na watu.

Dada alichemka kutosema ana mtoto mapema, period. Kuwa muwazi mwanzoni mwa mahusiano hua inasaidia sana sana huko mbeleni, yaani wewe sema kila kitu kuhusu wewe, kama una ugonjwa- pumu, albinism, huko kwenu etc anything kinachoweza leta doubt, just lay bare, I guanratee wewe huko mbeleni utakua na amani...itakua tu, "But I told you tangu mwanzo"....bottom line is, binadamu tunatofautiana hisia na mitazamo.
 
ni kitu cha kushitukizwa kwakuwa mwanaume hakulitegemea hilo hivyo uamuzi aliouchukua ni kutokana na hasira, ampe muda tena mwanaume kwaajili ya kujifikiria upya endapo anampenda atamrudia na kumuengage lakini kama hampendi, hatorudi tena itapasa msichana amsahau na kusonga maisha yake mbele
 
Back
Top Bottom