BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
5 years ni muda mrefu sana kutogusia suala la mwanae. Usikute mwanaume alishtuka kweli maana imekuwa ghafla bin vuu!
She messed up bigtyme!!
She messed up bigtyme!!
Duh! Miaka mitano hujamwambi kisha few days b4 engmnt ndo unasema lazima jamaa adate
aah wapi ni mfumo dume tu huo; na ujinga uliopitiliza haiajalisha unaambiwa lini ilimradi ni kabla ya kuingia kwenye fungamano!...............
Hapo mshkaji kaonyesha utoto uliopitiliza na ahafai kuwa mume wa mtu yeyote kwani yaonyehsa wazi kukosa kwake uvumilivu!