Kwanini hivi jamani...

Una akili
 
Mtahadarishe tu hakuna
Sehem salama maana
Kokote ukililoroga tu lazma
Ulinywe

[Color= yellow]Triple A[/color]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mie kwa kweli siku yangu ikifikaaa[emoji57] [emoji86] [emoji86] [emoji85] [emoji85] [emoji85] sijui yaani ntavaa pensi ganii

na watu wanasubiriaa

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Unaona unavyojidhihirisha ulivyo mbea? Ha ha ha ile siku hawa kufanya makosa kukuchamba. Maana ulikuwa haueleweki unatetea au una shutumu.
Acha kuwa kigeugeu , wewe ni mwanaume kuwa na msimamo.
Si ulikimbia jf ? Ha ha ha kilichokurudisha..
Hii ni chungu meza hivyo hivyo dawa chungu ndiyo huwa inatibu.
Good day

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mi zangu sambazeni whole jf i dont care

kwanza nilivyo mkyuti sasaa....[emoji12] [emoji12] [emoji12] mtajua wenyeweee[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

sent from motorola bapa and nokia jeneza
Naomba kuja Piiiiemu nikuone Mdada mkyuti.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…