Kwanini hivi jamani...

Una akili
 
Unaona unavyojidhihirisha ulivyo mbea? Ha ha ha ile siku hawa kufanya makosa kukuchamba. Maana ulikuwa haueleweki unatetea au una shutumu.
Acha kuwa kigeugeu , wewe ni mwanaume kuwa na msimamo.
Si ulikimbia jf ? Ha ha ha kilichokurudisha..
Hii ni chungu meza hivyo hivyo dawa chungu ndiyo huwa inatibu.
Good day

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…