Kwanini hawa maaskofu hawakuwepo Ikulu?

Kwanini hawa maaskofu hawakuwepo Ikulu?

Na nyie iteni maaskofu wenu hapo Ufipa
We jamaa bhana! Na ukongwe wako wote humu, lakini bado unaonekana ni wale wale tu!

Mfano hiyo picha kwenye avatar yako unaona kama vile ndo ufahari wa mtanzania! Ndo maisha hayo mnayojisifia kuwaletea wananchi toka uhuru!

Swain kabisa.
 
Umewapigia simu ukawauliza kwanini hawakuwepo?. Muwe waangalifu sana katika kila mnachoamua kukifanya.

Mnatengeneza mazingira ya kipuuzi ya kuhalalisha ugomvi na viongozi wa dini, wakati kesho au kesho kutwa watu hawa hawa mtawahitaji kisiasa au kijamii.

Mnahitaji uwepo wa mtu au watu wachache wenye hekima inayoyaongoza maamuzi, vinginevyo mwisho wenu haupo mbali.
Misimamo ya Maaskofu hawa inajulikana, hivyo Jibu hoja iliyo mezani: Kwa Nini hawakuwepo kikaoni!!? Ni kwa sababu walikuwa isolated makusudi, au walialikwa ila wakatoa udhuru.
Maana tunafahamu tabia ya mkulu kutoweza kuhold hoja zenye mashiko.
 
Baraza la Maaskofu katoliki Tanzania lina maaskofu wangapi? KKKT wana waaskofu wangapi? Kwanini hao tu na isiwe maaskofu wote?
 
Hawa ambao hawakuwepo wao wamekuwa wanasiasa kwa hiyo walijidisqulify wenyewe kwa MATAMKO yao
Kama walitaka muumini wao atubu kanuni ya biblia ktk Mat 18 inasema wangemuona faragaha ili atubu. Sijawahi kuona kitubio cha hadhara au jukwaani.
Wasubiri kikao cha chama wataitwa


Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kakobe na gwajima wamefuzu?

Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
 
Hakuna sababu ya kuungwa mkono na viongozi wa dini wanafiki. Viongozi wa dini wanatakiwa na kauli zinazosimamia ukweli na siyo kumfurahisha mtu.

Bila ya kujali anayefanya ni nani, ni lazima wasimame karika ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walipoandika waraka hawakuwa wanafiki. Kakobe alipomwambia mkuu wa nchi atubu hakuwa mnafiki.

Unafiki wao unaanza pale wanapokwenda ikulu kuongea na yule yule waliyemkosoa katika waraka!!.

Halima Mdee keshapewa ujumbe wa kutubu, mdomo wake utakiponza kichwa chake.
 
Umewapigia simu ukawauliza kwanini hawakuwepo?. Muwe waangalifu sana katika kila mnachoamua kukifanya.

Mnatengeneza mazingira ya kipuuzi ya kuhalalisha ugomvi na viongozi wa dini, wakati kesho au kesho kutwa watu hawa hawa mtawahitaji kisiasa au kijamii.

Mnahitaji uwepo wa mtu au watu wachache wenye hekima inayoyaongoza maamuzi, vinginevyo mwisho wenu haupo mbali.
Nafikiri jamaa kauliza tu, sidhani kama ana maana mbaya, yeyote mwenye majibu ya maswali yake anaweza tu kumjibu kwamba Fulani na Fulani hawakuwepo kwasababu ya ABCD!
 
Misimamo ya Maaskofu hawa inajulikana, hivyo Jibu hoja iliyo mezani: Kwa Nini hawakuwepo kikaoni!!? Ni kwa sababu walikuwa isolated makusudi, au walialikwa ila wakatoa udhuru.
Maana tunafahamu tabia ya mkulu kutoweza kuhold hoja zenye mashiko.
Hao wachache kuwa isolated haipunguzi umuhimu wa kikao cha rais na maaskofu wengine waliobakia.

Mnarudi kule kule kwenye dramatization, kwamba hao jamaa ni wa kipekee sana.
 
We jamaa bhana! Na ukongwe wako wote humu, lakini bado unaonekana ni wale wale tu!

Mfano hiyo picha kwenye avatar yako unaona kama vile ndo ufahari wa mtanzania! Ndo maisha hayo mnayojisifia kuwaletea wananchi toka uhuru!

Swain kabisa.
Kamanda tuliza ball. Iteni hao maaskofu wenu hapo Ufipa na nyie mtoe tamko lenu
 
NILITAMANI MZEE LUSEKELO UPAKO AONGEE SIJUI KWA NINI ALIKAA KIMYA HUWA ANA MANENO YA HEKMA SANA


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kungekuwa na watoa sadaka angeongea.
 
Umewapigia simu ukawauliza kwanini hawakuwepo?. Muwe waangalifu sana katika kila mnachoamua kukifanya.

Mnatengeneza mazingira ya kipuuzi ya kuhalalisha ugomvi na viongozi wa dini, wakati kesho au kesho kutwa watu hawa hawa mtawahitaji kisiasa au kijamii.

Mnahitaji uwepo wa mtu au watu wachache wenye hekima inayoyaongoza maamuzi, vinginevyo mwisho wenu haupo mbali.
Mwisho wa nani hauko mbali.
 
Back
Top Bottom