Kwanini hawa maaskofu hawakuwepo Ikulu?

Kwanini hawa maaskofu hawakuwepo Ikulu?

Na akina shekhe ponda mbona huwasemi? Pale wameenda viongozi wa taasisi flan za kidin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maaskofu ni viongozi wa makahawanai mali yao ni mali ya dhehebu husika, hao waliohudhuria ni wamiriki wa mabanda ya maombezi ndiyo sababu jana Kakobe aliendesha mkutano wa siasa ndani ya banda lake kwani hakuna wa kumhoji. Leo hii hao waliohudhuria wakifa mabanda yao yanafungwa. Akina Kakobe hawahubiri injiri bali wanapayuka kuhusu majini, mashetani, ulozi na ile sadaka yako tuma kwenye mamba hii! Kudumu kwao kunategemea ushirikiano wao kwa serikali, serikali ikisema inafunga banda la Kakobe basi imemaliza kwani ni hilo moja. Hili umewahi kusikia misa askofu akijisifu ana magari matano! Anawagawia waumini wake magari! Ni tajiri sana wa pesa! Hapana kwani vitu hivyo hawana na hawatakuwanavyo. Hivi hao waliohudhuria ni wa madhehebu gani, kidini ni wakristo wanatumia kama chama la biashara zao pia ninashauri hawa wasipewe msamaha wa kodi ya ardhi.
 
Inawezekana walialikwa lakini hawakufika ILA kama hawakualikwa basi kuna kasoro ambayo inatakiwa isijirudie siku zijazo kama kuna mwaliko kama huo.
 
Kuna tofauti ya viongozi wa dini na viongozi wa kiroho kaka - Jiwe alikutana na mawe menzake!
 
Back
Top Bottom