Kwanini hawa maaskofu hawakuwepo Ikulu?

Kwanini hawa maaskofu hawakuwepo Ikulu?

Wale walikua ni viziwi hawasikii taabu tuzipatazo, vipofu hawoni shida zinazotusibu na mabubu hawjui kutusemea shida tuzipatazo. Wao wanachojua ni kukusanya sadaka kutoka kwetu sisi wafaidi wao na familia zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Asingeweza kuwaita. Walioalikwa ni wale ambao walijulikana mapema watasema kilichotakiwa (kilichoandaliwa kusemwa).
 

Ukumbi husika haupokei na pia una ' allergy ' na Watu ambao ni Wakosoaji wa Kujenga na Wasema ukweli daima bila chembe za ' Unafiki ' iwe ni Usiku au Mchana au kuwe na Jua au Mvua.
 
wewe jamaa unaendana na avatore yako.

hawa uliowaleta hapa hawapendi masiha ya kuigiza. mtu kama Kakobe si unaona kabisa anaigiza?
 


MKUU KWA HAO WA UPANDE WA KANISA KATOLIKI AMBAO HAWAKUUDHURIA NI KWA SABABU WALIOKUJA KUWAKILISHA TEC NI MAASKOFU WAKUU (ARCH-BISHOPS) WA METROPOLITAN ZA KANISA KATOLIKI KWA UTARATIBU WA KANISA. NIWEMUGIZI NA NGALALEKUMTWA SIO MAASKOFU WAKUU. IRINGA IKO CHINI YA METROPOLITAN MPYA YA MBEYA AMBAPO ASKOFU MKUU MTEULE NI MHASHAMU GERVAS NYAISONGA NA NIWEMUGIZI YUPO KATIKA METROPOLITAN YA MWANZA AMBAPO KWA SASA NADHANI MSIMAMIZI WA KITUME NI ASKOFU RENATUS NKWANDE.
 
Back
Top Bottom